Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Hatashinda
Leo umebugi Mkuu... Nadhani niendelee kuamini machapisho yako yahapahapa Bongo.

Hamna missile test ilofanywa na Mrusi siku ya ujio wa Biden.

NATO wangekua na Uwezo huo , makombora ya Urusi kuipiga Ukraine wangekua wanafanya yasirushwe.


Watu mnadhan Biden na CIA walifanya opereshen kubwa kumfikisha Biden..

Ukweli ni kwamba CIA waliwataarifu wenzao wa FSB .

Mrusi ana majasusi wakutosha Ukraine hata kabla ya vita kuanza.... Ndio Maana Huwa wanasema, tutapiga maeneo yenu nyeti mnayofanyia vikao vyenu , tunayajua !!.



NEW START , ni mkataba baina wa Urusi na Marekan ,kuhusu silaha za nyukilia, idadi ya Vichwa vya nyukilia ambavyo Kila Nchi inatakiwa kua Nayo.


Mrusi kastuka, huwez kua na mkataba wa Nchi mbili tu, wakati US yupo ndan ya NATO, na NATO wengine kama mfaransa, Muingereza, Wana nyukilia !!....


Sasa kaamua KUACHANA nao , ili NATO ijirudi yenyewe na wakija itabidi Mrusi aweke mashariti mapya ili kubalance.



Kumbuken, Mrusi ndio Nchi pekee aliyefanikiwa kumiliki silaha za Hypersonic na alizozijaribisha kwenye vita Halisi.


Maiichukulie poa .. vita ya Ukraine, hata iweje, hata NATO wapeleke silaha gan, Hatima yake ni Moja tu MRUSI KUSHINDA NA MASHARITI YAKE KUFATWA .
Lini sasa mkuu???
 
Kumbe alienda amejificha? Ndiyo maana alifikia kwenye Bunker anakojificha Zelensiky! Russia ilizijua taarifa hizo lakini isingeweza kumfanya cho chote Biden,kwa sababu haina mpango naye! Ila angenusa pua yake kwenye uwanja wa mapambano akatoka salama ndiyo ungeisifia CIA kwamba ilimpa coverage ya kutosha.
 
"unaambiwa", plain bullshit!

CIA waliwataarifu wenzao wa Russia ili kupata security assurance. Sasa hapo unaongelea siri ipi tena?

Mnajadili mambo yanayaobeba mustakabali wa dunia kama vile mnajadili simba na yanga!

Urusi hawawezi kumdhuru rais wa Marekani, na Marekani hawawezi kumdhuru rais wa Urusi. Ndio maana wanataarifiana.

Juhudi za kuepusha vita ya moja kwa moja kati Marekani na Urusi, ni kubwa kuliko unavyofikiri.
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Huu ni uongo. Biden kamwe hawezi kwenda Ukraine hii ya sasa bila kuwaambia Russia. Simple google utapata kila kitu kuhusu hiyo ziara na jinsi Russia walipewa taarifa kabla.

Biden na USA hawezi kufanya risk kubwa hivyo maana USA wanajua kwa vyovyote Russia wangejua tu kuwa Biden anaenda Kyiv



Hawa hapa wamarekani wenyewe wanasema waliwambia wenzao wa Russia

 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Jaribu kupunguza mahaba, utoto, utani, mhemko,papara,ulimbukeni,ushamba,ujinga,kupenda sifa,kuonekana mjuaji n.k wakati hujui kitu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

February 20, 2023 - Russia-Ukraine news - CNN

https://www.cnn.com › europe › live-news › russia-ukrain...



20 Feb 2023 — US President Joe Biden made an unprecedented trip to Kyiv early Monday ... United States informed Russia of the plans to visit the Ukrainian ...


US informed Russia of Joe Biden's Kyiv visit hours before ...

https://www.theguardian.com › us-news › feb › how-bi...



20 Feb 2023 — The White House notified the Kremlin of Joe Biden's intention to visit Kyiv hours before he departed for Ukraine, it has been revealed, as the ...


US alerted Russia of Biden's surprise tri




20 Feb 2023 — "We did notify the Russians that President Biden would be traveling to Kyiv. We did so some hours before his departure for deconfliction...............


U.S. alerted Russia to Biden's Ukraine visit for ... - CBS News

https://www.cbsnews.com › Politics



20 Feb 2023 — Washington — The U.S. notified Russia of President Biden's secret visit to Ukraine hours before his departure in an attempt to avoid ...


Hivi ni vyombo vikubwa vya habari duniani vinavyomilikiwa na wamagharibi wenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Wewe ni nani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hatakama ni uchawa lkn wenzenu hawawi hivi asee.

Kijana umezidi sifa sana mpaka unaboa[emoji16][emoji23].

Hivi nyie team Russia na team Nato(upinde) huwa mnapata faida gan kwenye kuyapambania mataifa yasiyowatambua michango yenu wala kuwaheshimu zaid ya kuwaona manyani tu..

Mngekuwa na akili mngekuwa mnatoa report za yanayoendelea afrika hususan huko Congo, sudan, Nigeria n.k kulko kuongelea shida za nje wakat mnashida zenu ndani.
 
Mbona yule boris WA UK alienda tena front line kabisa. Na hatukusikia haya mapambo. Hata mimi naweza fika huko Ukraine putin asinifanye kitu na wala sihitaji ciaaaa
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege

Haikuwa siri kihivyo. Waliwaambia Russia tutakuja Ukraine at such and such time and place

Na haikuwa safari salama na ya kujiamini sana. Waliogopa kutunguliwa ndo maana wakatoa taarifa mapema. Kwamba Russia msije kusema sikujua.

Which means, hawana uwezo wa kuja na kuondoka salama kimya kimya. Wakienda kwenye makambi yao Uarabuni katikati ya vita huwa hawamwambii Mwarabu. Russia is a different kettle of fish.
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Kuna comrade watu kama nyinyi huwaita "kondoo weusi" hizi nyuzi mnazoziandaa kwa ustadi huu mlipaswa kuwaandikia wana waafrika mfano wa kinjekitile Ngwale na mfano wao, mathalan Abdul Rauf songea Mmbano au Chief Mkwawa
 
Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.


😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Wana intelijensia wengine wangese sana😂😂😂😂 kilichoandikwa na kichwa cha habari ni ujinga mtupu.😂😂
 
Kwa jinsi mmoja wapo anajihami na kujilinda kati ya putin na biden inaonyesha nani jasiri nani muoga
Putin hata kukaa karibu na wasaidizi wake ni shida
Kutoka nje ya nchi yake ni shida
As part of my reasoning bila kujua hayo mengine its like Russian are weak
 
MANENO YA KWENYE KARATASI HAYA
HUYO PUTIN HATA KUTOKA NJE YA URUSI ANAOGOPA WANAUME WAMEENDA PALE PALE JIRANI KWAKE NA WAMEONDOKA SALAMA.
URUSI NI MWEPESI MNO, KUJITOA VITANI ANAONA AIBU, KUENDELEA AMEZIDIWA KABISA. JANA MIJI MINNE YA URUSI IMESHAMBULIWA KWA DRONES ZISIZO NA RUBANI. WARUSI WANASHANGAA INAKUWAJE.

HII VITA INAWEZA KUWA NDIO ANGUKO LA URUSI MAZIMA, AWE MAKINI.
unataka atoke aende wapi ? siyo hulka yake kuzurura
 
Hata wewe mkuu inaonekana una upande kwa maandiko haya..
Mimi sina shida na mtu kuwa na upande, shida yangu ni pale unaposema kitu ambacho hakipo au hakina uhalisia.
Mfano: ni nchi gani duniani yenye makombora ya hypasonic ambayo ni tested kwenye real combat game. Ni moja tu Russia. Proofs zipa hapa sijaweka mahaba.

Lakini siwezi kusema mwenye kombora la nyuklia kubwa zaidi na lenye uwezo wa juu zaidi nikasema Russia ntakuwa mwongo. Maana sio Russia, US, UK, etc ambae amefanya test tena in real combat, ili tuseme ni kweli. Hivi ndivyo mtu anapaswa kusema. Sio porojo za vijiweni.

Tuambie jina la hiyo tech, inatumia platform gani kufikia utendaji wake, precursor zake, etc
 
Back
Top Bottom