Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

mwambie Putin aende hata hapo kherson aone
Putin mipango yake anafanya mwenyewe mi ni shabiki tu tena shabiki maandazi.Halafu hata Russia angekuwa anapigana na Tanzania bado vita isingekuwa rahisi kama watu wawazavyo.
 
MLeta mada walau ungekuwa na elimu ndogo sana ya kijeshi na vifaa vya kijeshi na vinavyofanya kazi usingeleta mada hii.

Pili ungekuwa unachosema ni sahihi Crimea ingesharudi Ukraine na si ajabu millitary bases za NATO zingekuwa zipo tayari Urusi.

Tatu sijui hata kana unafahamu sababu ya vita hii kubwa na tishio kwa USA kuliko kwa Ukraine. Angekuwa na silaha ya aina hiyo angashamailiza vita.

Mwisho, Urusi kwenye tecnolojia za kivita sio kama DR Congo wako ahead of US in some cases tena mbali sana. When it come to combat readiness amd experinces, wanawazidi hata NATO armed forces combined. Utapenda nikupe link(neutral) ujifunze zaidi badala ya kuwa praise team
Naomba link
 
Wamalize vita, tubanajua wao wote wapo under controlled na nguvu Moja basi waonee watu huruma wamalize tofauti zao, hizi zote ni danganya toto
 
kipind hicho hakukuwa na mashambuliz ya drones kyiev , jifunzen kuumiza akili usijione genius kuliko watu wa dunia ya kwanza, siku moja baada ya Biden kuondoka Putin kalipua mabomu na kujtoa kwenye huo mkataba, ingekuwa kakubali Biden aingie Ukraine asingejitoa kweny huo mkataba , Putin alidhamiria kufanya kitu ila alishndwa
Ndio maana nilisema awali, kwamba mimi sio mtaalamu wa mambo hayo! Lakini nina masikio nasikia, nasoma pia yanayoendelea huko kama ufanyavyo wewe. So ukileta maada hapa usistegemee utaungwa mkono 100%
 
MLeta mada walau ungekuwa na elimu ndogo sana ya kijeshi na vifaa vya kijeshi na vinavyofanya kazi usingeleta mada hii.

Pili ungekuwa unachosema ni sahihi Crimea ingesharudi Ukraine na si ajabu millitary bases za NATO zingekuwa zipo tayari Urusi.

Tatu sijui hata kana unafahamu sababu ya vita hii kubwa na tishio kwa USA kuliko kwa Ukraine. Angekuwa na silaha ya aina hiyo angashamailiza vita.

Mwisho, Urusi kwenye tecnolojia za kivita sio kama DR Congo wako ahead of US in some cases tena mbali sana. When it come to combat readiness amd experinces, wanawazidi hata NATO armed forces combined. Utapenda nikupe link(neutral) ujifunze zaidi badala ya kuwa praise team
Russia hana ubavu wa kupambana na NATO.

Achilia mbali kuingia vitani na USA.

Mpaka sasa alitakiwa awe ameshaichukua Ukraine.
 
Mleta uzi are sure ni biden kweli aliyekuepo Ukraine.....? Nadhani umelielewa swali vizuri
 
MLeta mada walau ungekuwa na elimu ndogo sana ya kijeshi na vifaa vya kijeshi na vinavyofanya kazi usingeleta mada hii.

Pili ungekuwa unachosema ni sahihi Crimea ingesharudi Ukraine na si ajabu millitary bases za NATO zingekuwa zipo tayari Urusi.

Tatu sijui hata kana unafahamu sababu ya vita hii kubwa na tishio kwa USA kuliko kwa Ukraine. Angekuwa na silaha ya aina hiyo angashamailiza vita.

Mwisho, Urusi kwenye tecnolojia za kivita sio kama DR Congo wako ahead of US in some cases tena mbali sana. When it come to combat readiness amd experinces, wanawazidi hata NATO armed forces combined. Utapenda nikupe link(neutral) ujifunze zaidi badala ya kuwa praise team
Anaongea kishabiki zaidi
 
Maneno ya kwenye karatasi haya:

Huyo putin hata kutoka nje ya urusi anaogopa wanaume wameenda pale pale jirani kwake na wameondoka salama.

Urusi ni mwepesi mno, kujitoa vitani anaona aibu, kuendelea amezidiwa kabisa. Jana miji minne ya urusi imeshambuliwa kwa drones zisizo na rubani. Warusi wanashangaa inakuwaje.

Hii vita inaweza kuwa ndio anguko la urusi mazima, awe makini.
Hivi ni putin yupi alikuja s/ afrika?. Au ulikuwa hujazaliwa?
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
Wewe umeyajuaje yote haya kama ilikuwa top secret. Sometimes ushabiki bila kutumia akili unatesa sana
 
Kwanini US isiingilie vita km sehemu zingine zinavyofanyaga.
Usa na nato kwa ujumla wako vitani toka zamani tu. Maana mateka asilimia 70 ni kutoka mataifa ya nato. Wa ukraine ni wachache mno. Na wanaounguzwa na moto wanakufa sana wa kutoka mataifa ya nato
 
Mwezi wa pili wa mwaka 2023 ni mwezi ambao utaingia kwenye historia za Dunia ambapo idara nyeti ya usalama wa Taifa ikisaidiana na Pentagon walifanikisha safari nyeti ya Rais wa Taifa la Marekani na kuthibitishia ulimwengu kuwa wao sio wa viwango vya China au Urusi ila wao ni WA viwango vya juu zaidi ambapo itawachukua miaka mingi wao kuwafikia.

Safari ya Rais Biden ni moja ya safari ya kijasusi ktk eneo la vita ambayo haikuwahi tokea kwa miongo kadhaa na inasemekana Biden ni Rais wa pili au wa tatu kwenda kwenye nchi ambayo ipo vitani ktk history za Taifa hili.

Safari hii ilivyo fanyiwa tathimini ya kina madhara yangeweza tokea na gharama zake. Safari hii nyuma ya pazia ilikuwa nisafari ya majaribio kwa Taifa la Marekani kwenye mitambo yao ya kunasa mawasiliano, mifumo yake yakuzuwia ICBM, mifumo ya ndege zake na cyber security.

Safari iliandaliwa kwa ustadi mkubwa sana na hapakuwa na lick ya taarifa japo wachache tulisha toa angalizo pasipo juwa tulikuwa tukimukika moja ya mission ya siri ndani ya Taifa tajiri duniani na lenye nguvu za kijeshi. Marais wawili wamesha iyonya Dunia katika kipindi cha utawala wao kuwa nguvu yakijeshi ya Taifa Hilo ni nguvu ambayo Dunia haikupata kuiona na kwa mtu anataka kujuwa nguvu yao basi awaguse ngede zao.

Safari ya Rais wa Marekani nchini Ukraine ililiacha Taifa la Urusi ktk kiza kinene kwenye ujasusi wao Mnao usema.

Kwanza hawakuwa wana juwa Biden atajaribu kwenda Ukraine ila kwa ubabe wa Marekani waliitambulisha Urusi kuwa Rais wao angeenda Ukraine na wangependa wampe assurance ya ulinzi means wasije dungua TREN au ndege yake.

Ila kwa kutokujuwa Urusi wakasema sisi hatuwezi kuwa assurance ya usalama wake Ukraine kitakacho mpata msitulaumu.

Jambo lifanya CIA kuwaonyesha kuwa wao sio wa viwango vya kawaida je wajuwa nn walifanya?

Ili Mrusi kum provoke USA na hasira kupewa short notice ya Ziara ya Rais Biden nchin Ukraine. Rais Putin Ali order test ya ICBM siku Biden stakuwa Ukraine ila sasa kitu CIA na Pentagon walimfanyia Mrusi hawezi sahau. Una ambiwa siku Rais Biden akiwa Ukraine kwa muda wote Mrusi hakuweza fanikisha kufanya test je ni kwanini? Una ambiwa system yote ya ICBM ili stack pamoja nakuwa na wataalam ngoma haikuweza kurespond jambo lilimkasirisha sana Putin nankutangaza kujitoa kwenye system mambo ya silaha za kinyukilia. Huu ni mfumo wakuonya nn mwenzako anafanya kwenye nyuklia zake ili usije ukapotea bila juwa.

Jambo ambalo wengi hatujuwi nikuwa kwa kipindi chote Mzee baba alikuwa Ukraine Mrusi hakuweza hata fanya kaz kila kitu kilichanganyikiwa mpaka USA walipo waachilia kwenye mifumo. Jambo hili limewatisha sana Warusi na sasa wanaona USA sio Taifa la kawaida kwenye maswala ya usalama.

Ikumbukwe Putin kwa sasa hata ndege zake anaziogopa kwa kitisho cha kuangushwa ndege zake. Yani Putin kwa sasa anatumia traine sio ndege
unahangaika kijana
JamiiForums2036854311.jpg
 
Back
Top Bottom