Safari ya Rais Biden na Jinsi CIA walivyoandaa safari ya kijasusi Nchi Ukraine

mwambie Putin aende hata hapo kherson aone
Putin mipango yake anafanya mwenyewe mi ni shabiki tu tena shabiki maandazi.Halafu hata Russia angekuwa anapigana na Tanzania bado vita isingekuwa rahisi kama watu wawazavyo.
 
Naomba link
 
Wamalize vita, tubanajua wao wote wapo under controlled na nguvu Moja basi waonee watu huruma wamalize tofauti zao, hizi zote ni danganya toto
 
Ndio maana nilisema awali, kwamba mimi sio mtaalamu wa mambo hayo! Lakini nina masikio nasikia, nasoma pia yanayoendelea huko kama ufanyavyo wewe. So ukileta maada hapa usistegemee utaungwa mkono 100%
 
Russia hana ubavu wa kupambana na NATO.

Achilia mbali kuingia vitani na USA.

Mpaka sasa alitakiwa awe ameshaichukua Ukraine.
 
Stori za vijiweni changanya na zako.
 
Mleta uzi are sure ni biden kweli aliyekuepo Ukraine.....? Nadhani umelielewa swali vizuri
 
Anaongea kishabiki zaidi
 
Hivi ni putin yupi alikuja s/ afrika?. Au ulikuwa hujazaliwa?
 
Wewe umeyajuaje yote haya kama ilikuwa top secret. Sometimes ushabiki bila kutumia akili unatesa sana
 
Kwanini US isiingilie vita km sehemu zingine zinavyofanyaga.
Usa na nato kwa ujumla wako vitani toka zamani tu. Maana mateka asilimia 70 ni kutoka mataifa ya nato. Wa ukraine ni wachache mno. Na wanaounguzwa na moto wanakufa sana wa kutoka mataifa ya nato
 
unahangaika kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…