Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna siku wanaume wamekaa na kuamua kuwakataza wanawake wasiwe viongozi, kwenda shule, wasifyatue matofali, wasiangue madafu kwenye minazi, kuendesha bodaboda, kufanya biashara Wala kuwinda.

Tangu enzi hizo za kale kulikuweko na wanawake wanaopambana na biashara huko tabora, queen of Sheba huko Ethiopia, Cleopatra huko Misri, nk.

Mama yangu tangu enzi hizo alilima kahawa kuuza na kusomesha wanawe wote mwenyewe bila kuhamasishwa na mtu Wala chombo chochote. Alikuwa na haki zake zote. Akina mama Ana Abdalah, bibi titi, Mama Mongela, Bi Kidude, nk hawakuhitaji mkakati wa kuwainua ili wawe vile walivyo.

Hizi jitihada za Sasa ni kuzidi kuwadhoofisha wanawake badala ya kuwaimarisha na upigaji wa pesa kupitia wanawake. Ni jitihada za kufanya mwanamke azidi kuwa delicate kupindukia.

Kama unataka kuipua mwanamke mwenye nguvu na imara kifikra mwache mwanamke ajitokeze mwenyewe kwenye uongozi, biashara, kazi mbalimbali na kwenye elimu.

Ukomnozi wa mwanamke uko kwa mwanamke mwenyewe. Hizi harakati za kumwinua mwanamke haziwezi kufua dafu kama ujasiri hautaanzia kwenye mioyo Yao.

Watoto wangu wa kike ni imara kuliko wale wa kiume kwakuwa sikuwa na upendeleo wa aina yoyote kwao. Sio eti kwakuwa huyu ni mwanamke ni mpe mahitaji zaidi ya kaka yake. Niliacha kila mtoto ajitambue mahitaji yake ili apange matumizi yake kulingana na mahitaji yake.

Mwanaume atumie akijua Kuna kwenda salon kunyoa na mwanamke atumie akijua kuwa Kuna mapedi, kwenda salon kuweka dawa au kunyoa na wote lazima wamalize homeworks zao kwa mazingira Yao.

Hii ya Sasa ya malkia wa nguvu, super woman, nk ni udhalilishaji wa wanawake na upigaji pesa TU.
 
Hakuna siku wanaume wamekaa na kuamua kuwakataza wanawake wasiwe viongozi, kwenda shule, wasifyatue matofali, wasiangue madafu kwenye minazi, kuendesha bodaboda, kufanya biashara Wala kuwinda. Tangu enzi hizo za kale kulikuweko na wanawake wanaopambana na biashara huko tabora, queen of Sheba huko Ethiopia, Cleopatra huko Misri, nk.

Mama yangu tangu enzi hizo alilima kahawa kuuza na kusomesha wanawe wote mwenyewe bila kuhamasishwa mtu Wala chombo chochote. Alikuwa na haki zake zote. Akina mama Ana Abdalah, bibi titi, Mama Mongela nk hawakuhitaji mkakati wa kuwainua ili wawe vile walivyo.

Hizi jitihada za Sasa ni kuzidi kuwadhoofisha wanawake badala ya kuwaimarisha na upigaji wa pesa kupitia wanawake. Ni jitihada za kufanya mwanamke azidi kuwa delicate kupindukia.

Kama unataka kuipua mwanamke mwenye nguvu na imara kifikra mwache mwanamke ajitokeze mwenyewe kwenye uongozi, biashara, kazi mbalimbali na kwenye elimu.

Ukomnozi wa mwanamke uko kwa mwanamke mwenyewe. Hizi harakati za kumwinua mwanamke.

Watoto wangu wa kike ni imara kuliko wale wa kiume kwakuwa sikuwa na upendeleo wa aina yoyote kwao. Sio eti kwakuwa huyu ni mwanamke ni mpe nahitaji zaidi ya kaka yake. Niliacha kila mtoto ajitambue mahitaji yake ili apange matumizi yake kulingana na mahitaji yake. Mwanaume atumie akijua Kuna kwenda salon kunyoa na mwanamke atumie akijua kuwa Kuna mapedi, kwenda salon kuweka dawa au kunyoa na wote lazima wamalize homeworks zao kwa mazingira Yao.

Hii ya Sasa ya malkia wa nguvu, super woman, nk ni udhalilishaji wa wanawake na upigaji pesa TU.
Mama yangu amefanya kazi zote za kiume bila kuambiwa na mtu wa kushawishiwa.
Hawa wanawake hawataki haki ila wabebwe.
Ni nani aliyewazuia hizo fursa kuzipata?
Sijui viti maalum kuna mtu kawazuia kwenda kuomba kura?
justice.jpeg
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze.

Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.
 
Mambo mengine ni biashara na miradi ya watu.Dunia ya leo mwanamke anatumiwa kama fursa.

Ukiona hayo mambo yote jua kuna wajanja wachache wamewageuza wanawake fursa yakupiga pesa ndo maana hizi harakati zinaibukaga kwenye siku za wanawake zikishapita wanakua kimya na shida na changamoto za wanawake zinabaki kua zile zile miaka na miaka.
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze. Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.
Umepiga mule mule, wanakula kwa mgongo wa wanaume na bado hawataki kuwa submissive.........wanaume wataingia mbinguni wamechoka sana aisee......
 
Umepiga mule mule, wanakula kwa mgongo wa wanaume na bado hawataki kuwa submissive.........wanaume wataingia mbinguni wamechoka sana aisee......
Kaka wanaume wanahenya ndani ya migodi, long track drivers, bodaboda, kwenye magarage, kwenye mitaro, vitani, juu ya minazi lakini jioni pesa zote wanapeleka kwa wanawake wanakula, kuvaa, kula na kustarehe buuuleee kabisa bila jasho, lakini wanaume ndo Sasa hivi wanapigwa vijembe kila Kona.

Wanaume kuweni macho, acheni kuwaoa ili wahenye, wale na kuzaa kwa uchungu, kuleni bure msihonge
 
Hakuna siku wanaume wamekaa na kuamua kuwakataza wanawake wasiwe viongozi, kwenda shule, wasifyatue matofali, wasiangue madafu kwenye minazi, kuendesha bodaboda, kufanya biashara Wala kuwinda. Tangu enzi hizo za kale kulikuweko na wanawake wanaopambana na biashara huko tabora, queen of Sheba huko Ethiopia, Cleopatra huko Misri, nk.

Mama yangu tangu enzi hizo alilima kahawa kuuza na kusomesha wanawe wote mwenyewe bila kuhamasishwa mtu Wala chombo chochote. Alikuwa na haki zake zote. Akina mama Ana Abdalah, bibi titi, Mama Mongela nk hawakuhitaji mkakati wa kuwainua ili wawe vile walivyo.

Hizi jitihada za Sasa ni kuzidi kuwadhoofisha wanawake badala ya kuwaimarisha na upigaji wa pesa kupitia wanawake. Ni jitihada za kufanya mwanamke azidi kuwa delicate kupindukia.

Kama unataka kuipua mwanamke mwenye nguvu na imara kifikra mwache mwanamke ajitokeze mwenyewe kwenye uongozi, biashara, kazi mbalimbali na kwenye elimu.

Ukomnozi wa mwanamke uko kwa mwanamke mwenyewe. Hizi harakati za kumwinua mwanamke.

Watoto wangu wa kike ni imara kuliko wale wa kiume kwakuwa sikuwa na upendeleo wa aina yoyote kwao. Sio eti kwakuwa huyu ni mwanamke ni mpe nahitaji zaidi ya kaka yake. Niliacha kila mtoto ajitambue mahitaji yake ili apange matumizi yake kulingana na mahitaji yake. Mwanaume atumie akijua Kuna kwenda salon kunyoa na mwanamke atumie akijua kuwa Kuna mapedi, kwenda salon kuweka dawa au kunyoa na wote lazima wamalize homeworks zao kwa mazingira Yao.

Hii ya Sasa ya malkia wa nguvu, super woman, nk ni udhalilishaji wa wanawake na upigaji pesa TU.
I strongly support this thread
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze. Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.

Nimeuelewa mstari wa mwisho wa asilimia
 
Nimeuelewa mstari wa mwisho wa asilimia
Wakishakuchuna wanafungua saluni feki au boutique wanaanza kujiita single strong lady anamdanganya na mwanae babako hakutaki kumbe anamtumia mtoto kumuumiza mtu aliuemzalisha.

Nawaangaliaga Hawa watu unanyamaza tu maana waliotunzwa na mama zao hawajui kitu wanaume wanakutana nayo Ila mwishoni unasema Kama ni mwanaume ngoja akue atajionea mwenyewe.

Tena hawa wanaokunywa mapombe Kama wanaume zao shughuli ipo nyumba haijulikani baba ni nani na mama ni nani, dogo anaoa demu kumbe mdangaji tu na ndio wamejaa mjini.

Balaa linakuja demu kazoea za kuhongwa hapo atamsikia bombani tu anakuambia I am single lady nauwezo wa kutunza mwanangu kumbe mtoto anatunzwa na wanaume sita.
 
Akina Bi Kidude, Miriam Makeba wamepiga music bila kuambiwa acha na jamii. Walisafiri dunia nzima kwa kujiamini tena bila kuongeza kope Wala kucha kwenye miili Yao, walikubalika kote na wanaume na wanawake. Hawa wanawake wa Sasa wanatafuta visingizio TU, eti wanaume wanawanyima hiki na kile, huu ni uongo mtupu, wajiamini TU kama akina Bi Kidude watatoka wasimtafute mchawi kwenye makongamano.
Huumjadala ingefaa zaidi kama ungepelekwa kule twitter
 
Wakishakuchuna wanafungua saluni feki au boutique wanaanza kujiita single strong lady anamdanganya na mwanae babako hakutaki kumbe anamtumia mtoto kumuumiza mtu aliuemzalisha.

Nawaangaliaga Hawa watu unanyamaza tu maana waliotunzwa na mama zao hawajui kitu wanaume wanakutana nayo Ila mwishoni unasema Kama ni mwanaume ngoja akue atajionea mwenyewe.

Tena hawa wanaokunywa mapombe Kama wanaume zao shughuli ipo nyumba haijulikani baba ni nani na mama ni nani, dogo anaoa demu kumbe mdangaji tu na ndio wamejaa mjini.

Balaa linakuja demu kazoea za kuhongwa hapo atamsikia bombani tu anakuambia I am single lady nauwezo wa kutunza mwanangu kumbe mtoto anatunzwa na wanaume sita.
Kaka wanawake wengi hawatofautiani sana na majambazi, jambazi hataki kufanya biashara ya kudunduliza kama kuuza duka, kufanya kazi ya hela mwisho wa mwezi. Jambazi anataka hela za mkupuo puu bila jasho.

Baadhi ya akina dada wengi wako hivyo, anataka apewe tu uongozi, hela, gari, biashara, nyumba, vinywaji kwa kazi kidogo tu ya kukustarehesha na wakati mwingine mnastareheshana wote, lakini baada ya kumaliza kustareheshana anakugeukia kukudai hiki na kile kana kwamba pale ulistarehe peke yako huku akijua kuwa wewe ndiye uliyelipia vinywaji, chakula, mafuta ya gari na guest uliyotumia kustareheshana.

Huu ni ujambazi wa kiwango cha juu sana ambao wanaume hawajaustukia.
 
Back
Top Bottom