Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

Mleta uzi ubarikiwe sana,,, umewasilisha hoja vizuri sana.... Mnoooo...

Hili swala niliwahi jiuliza sana ila sikupata namna ya kujenga hoja ikaeleweka kirahisi hivi...

Wanawake wenyewe ndio wamekuwa mstari wa mbele kujipoteza,,, hizi harakati zao ni wanafanya as if wanaume tulichukua haki zao somewhere...

Ajenda zao nyingi utasikia nao wapewe vyeo,, salary, kazi nzuri... Lakini hutakuja kusikia wanalilia nafasi kama kubeba Zege,,, saidia fundi,, kubeba mizigo mizito,, kuwa machinga,,, kuzoa taka,, kuwa makondakta,, wapiga debe..

Yaani utafikiri hizo kazi nzuri kuna mtu aliwakataza kuwa na qualifications,, ujuzi nk.. Ila hizi za vipato vya chini ambazo ziko freee kabisa na kwa wingi hawazifanyi..

Wao wamejikita sana na fursa mtelezo,, yaani nafasi ambazo wanataka wapewe tu,, waletewe..

Na bado Wanaume ni walaumiwa..
 
Kasoro kubwa ya wanaume Iko hapa:

1. Wanadhani kuwa wakati wa tendo la ndoa mwanaume ndiye anastarehe zaidi kuliko mwanamke. Dhana hii sio kweli, pale mwanamke ndiye anaestare zaidi kuliko wewe kwakuwa utamfikisha kileleni, amekula, kunywa, kusafiri na Guest bure kabisa, na kuhongwa juu. Hana stress yoyote pale.

Mwanaume ndiye anaehangaika kitandani kama jogoo, mlipaji hela wa kila kitu pale. Wakati mwingine hela hiyo ameikopa au ni ya mtaji au ada ya shule au ya ujenzi au ya chakula Cha familia yake au Kodi ya nyumba au ada ya mtoto.

Mwanamke vasipofikishwa kileleni atatafuta mume mwingine wa kumalizika safari. Ndiyo maana bibi zetu walikuwa hawajui kufika kileleni ni nini, hivyo ni baba TU ndiye aliyekuwa anajua kufika kileleni ni nini. Baadhi ya makabila walikuwa wanawakeketa ili wasifike kileleni (wasiwasumbue).

2. Wanadhani kuwa wanaume ndiyo wanaohitaji sex zaidi kuliko wanawake, hii nayo sio kweli.
 
.

Watoto wangu wa kike ni imara kuliko wale wa kiume kwakuwa sikuwa na upendeleo wa aina yoyote kwao.
kavulata Laiti watoto wako wa kiume wangejuwa ID yako na unawachamba hivi laivu, pangechimbika.

Haya tueleze sasa uzembe wa wanao wa kiume kabla hatujajiwekea majibu sisi wasomaji.
 
Mleta uzi ubarikiwe sana,,, umewasilisha hoja vizuri sana.... Mnoooo...

Hili swala niliwahi jiuliza sana ila sikupata namna ya kujenga hoja ikaeleweka kirahisi hivi...

Wanawake wenyewe ndio wamekuwa mstari wa mbele kujipoteza,,, hizi harakati zao ni wanafanya as if wanaume tulichukua haki zao somewhere...

Ajenda zao nyingi utasikia nao wapewe vyeo,, salary, kazi nzuri... Lakini hutakuja kusikia wanalilia nafasi kama kubeba Zege,,, saidia fundi,, kubeba mizigo mizito,, kuwa machinga,,, kuzoa taka,, kuwa makondakta,, wapiga debe..

Yaani utafikiri hizo kazi nzuri kuna mtu aliwakataza kuwa na qualifications,, ujuzi nk.. Ila hizi za vipato vya chini ambazo ziko freee kabisa na kwa wingi hawazifanyi..

Wao wamejikita sana na fursa mtelezo,, yaani nafasi ambazo wanataka wapewe tu,, waletewe..

Na bado Wanaume ni walaumiwa..
Amen kaka. Unajuwa jambo likisemwa saaana Kuna siku watadhani kuwa ni kweli. Kwenye hili Wanawake wanawaonea bure ndugu zao wanaume. Wanaume wanahenya sana kwasababu ya kusaidia ndugu zao wanaume.

Lakiñi uhusio uliopo kati ya mwanamke na mwanaume ni wakinyonjaji sana. Wako wanaume wengi sana wamefungwa magerezani kwaajili ya kutafutia wake zao mahitaji, wako wanaofia barabarani, migodini, porini, kwenye ujenzi, vitani kwaajili ya kuwatafutia wanawake mahitaji.

Kuna wanawake wanatembea na wanaume wengine wakati wanaume zao wako kazini kutafuta mahitaji ya wake zao, lakini Kuna kundi linadai wanaume ni wabaya kwa wanawake hivyo wanawake wanahitaji bank Yao, mikopo Yao, misaada Yao, viti malum, upendeleo maalum, nk.

Kundi hili haliwaambii wanawake wenzao walime, waendeshe bodaboda, wakwee minazi wabwage Nazi na kugema pombe, wachunge ng'ombe, waingie machimboni kama Wana appolo, wawinde, wafyatue matofali, wabebe zege, wawe mafundi seremala, wachane Mbao kama vijana wenzao wa kiume, bali wanaoengea 50/50 maofisini TU, ubunge, ukuu wa mkoa, ukuu wa Wilaya uwaziri, nk.

Hii ndio maana Nasema safari ya mama zetu sio fupi.
 
kavulata Laiti watoto wako wa kiume wangejuwa ID yako na unawachamba hivi laivu, pangechimbika.

Haya tueleze sasa uzembe wa wanao wa kiume kabla hatujajiwekea majibu sisi wasomaji.
Watoto wangu wa kike hadi lengo wanajuwa namna ya kutafuta na kupanga matumizi ya walichonacho. Hawa watoto wa kike karibu wote wamejenga, Wana magari, wanasomesha watoto wao na baba Yao hawanisahau.

Hii ni kwasabu watoto wakike walianza mapema kupanga matumizi ili yatoshe kununua na Pedi, lotion, wanja, nk kwa hela hiyohiyo kama niliyowapa kaka zao hadi ifike tarehe ya kuwapa hela tena.

Tarehe ya kuwapa hela ya matumizi ikifika utakuta kaka zao ambao walikuwa hawanunui Pedi Wala wanja nao wanasema hela imekwisha. Tabia hii ya kubana matumizi waliibeda kwenye maisha Yao mpaka Sasa.

Hata wewe angalia wakinamama waliosoma zamani wanavyokuwa makini kwenye matumizi Yao, hiyo tabia haikuja hivi hivi.

Leo hii kunawatu wanazodi kuwadhoofisha watoto wa kike eti wapewe Pedi, wapewe chips Kuku ili wasipate vishawishi, wapewe usafiri wao, wapewe mabweni, nk badala ya kuwaambia wawe makini na vishawishi, SEMA NO, piga kelele, mvute sehemu yake kama korodani kwa nguvu ili akuachie, nk badala yake wanawafundisha unyonge na udhaifu.

Mimi sidanganyi, Rais Mama Samia ni Bora sana kwenye mipango na matumizi ya fedha za umma kuliko wanaume wote waliowahi kutuongoza.

Yuko kiongozi alichukuwa hela zetu zooote eti kwenda kulikomboa Bara Zima la Afrika, hivi kitu kama hiko sio matumizi mabaya ya hela za wananchi?
 
Makulubembe ndiyo yako mstari wa mbele kwenye makongamano ya kudai haki hizo za wanawake. Yaani wanadai haki ambayo tayari wanayo na kuzidi.

Hebu fikiria, ni kwanini mwanaume aambiwe atoe mahari wakati wote wanaenda kutegemeana, kutunzana, kustareheshana na kusaidiana?

Wote Wana wazazi, wote wamelelewa, wazazi wote wameingia hasara ya kulea watoto wao?

Wanaume wakeup,
 
Kingine mnapenda sana vya kupewa, Ndo maana wengi wenu mnaishia kuchezewa, Mnamegwa mnaachwa na hata mkichezewa,
Ndoa zinaancha visa na kuonewa. Mfano mi narudi muda nnaotaka

Na ukiniletea kibesi tu asubuhi talaka, Si najua huna kitu, zaidi ya begi lako, Ila nisingethubutu, endapo nyumba ni yako. Najua hamwezi kwenda haja ndogo mmesimama, ila mnao uwezo kwa kufanya kila si tunachofanya, Hata kuwa Rais mwanamke pia ana haki

Ili mradi tu awe na vigezo wanaume tunapata wapi? Kama kusoma wote ruksa kusoma,bado biashara hata ufundi wa kushona,Wenzenu wachache bungeni si mnawaona?

Hata kuimba imbeni tu msione noma.

Amini wote tumezaliwa watupu,
Na kupata hutokana tu na juhudi za mtu.



NGWEA AILIWAAMBIA VIZURI KABISA.
 
Hakuna mwanaume aliyewahi kukataa kulamba asali iliyorinwa na mwanamke, mnawaonea TU.
 
Kingine mnapenda sana vya kupewa,
Ndo maana wengi wenu mnaishia kuchezewa,
Mnamegwa mnaachwa na hata mkichezewa,
Ndoa zinaancha visa na kuonewa.
Mfano mi narudi muda nnaotaka,
Na ukiniletea kibesi tu asubuhi talaka,
Si najua huna kitu, zaidi ya begi lako,
Ila nisingethubutu, endapo nyumba ni yako.
Najua hamwezi kwenda haja ndogo mmesimama,
Ila mnao uwezo kwa kufanya kila si tunachofanya,
Hata kuwa Rais mwanamke pia ana haki,
Ili mradi tu awe na vigezo wanaume tunapata wapi?
Kama kusoma wote ruksa kusoma,
Bado biashara hata ufundi wa kushona,
Wenzenu wachache bungeni si mnawaona?
Hata kuimba imbeni tu msione noma.
.........
........
.......



Amini wote tumezaliwa watupu,
Na kupata hutokana tu na juhudi za mtu.



NGWEA AILIWAAMBIA VIZURI KABISA.
Hiyo fikra ya kudhani kuwa mwanamke anamegwa ndio ujinga wa mwanaume unaomuumiza. Mwanamke na mwanaume wanapokutana anaemegwa ni mwanaume.

Mwanamke anastarehe na kufurahi TU labda kama mwanaume hajui sex. Mwanaume pale anamegwa nguvu ya kupekecha, kutoa shahawa, kulipia chumba, chakula, vinywaji, usafiri na kuhonga. Mwanaume atatoka pale amemegwa nguvu na hela zake mfukoni.

Kama unataka kujiingiza kwenye matumizi na madeni ya kipuuzi date na msichana.
 
Yuko kiongozi alichukuwa hela zetu zooote eti kwenda kulikomboa Bara Zima la Afrika, hivi kitu kama hiko sio matumizi mabaya ya hela za wananchi?

Heheheheheh Mkuu taratibu please, utapewa kesi
 
Ingekuwa Mimi ningewakutanisha wasichana na inspirational figures kama Rais Samia, mama Mongela, Ana Abdalah, Makinda, Prof. Penina, nk watoe inspirational speaches kwa wasichana wawaeleze ni vipi walifanikiwa badala ya kuita wanamuziki na malkia au super women sijui nini.
 
Narudia tena ukombozi halisi wa wanawake uko ndani ya wanawake wenyewe, kuanzia sasa waanze kufuta mahari, kuchima madini wenyewe, kuranda mbao, kutengeneza samani, kusoma na kufaulu wao wenyewe, kugombea nafasi mbalimbali kwenye jamii, kufuta vipengele kwenye sheria ya ndoa vinavyomfanya mwanamke awe tegemezi na mnyonge kwa mwanamke.
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze.

Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Huwa natumia mfano wa kawaida sana, angalia barmed wote nchi utaona ni jinsi Gani wanaume tunavyowatunza.

Mishahara Yao wengi wao haifiki hata laki lakini angalia vitu wanavyomiliki.

Hata siku Moja hawawezi kuwapiga vizinga wanawake wenzio wakija bar zaidi nikuwapiga vizinga wanaume alafu wakitoka hapo wanataka haki sawa na wanaume
 
Narudia tena ukombozi halisi wa wanawake uko ndani ya wanawake wenyewe, kuanzia sasa waanze kufuta mahari, kuchima madini wenyewe, kuranda mbao, kutengeneza samani, kusoma na kufaulu wao wenyewe, kugombea nafasi mbalimbali kwenye jamii, kufuta vipengele kwenye sheria ya ndoa vinavyomfanya mwanamke awe tegemezi na mnyonge kwa mwanamke.
Mkuu,leo umechukia balaa.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100. Huwa natumia mfano wa kawaida sana, angalia barmed wote nchi utaona ni jinsi Gani wanaume tunavyowatunza. Mishahara Yao wengi wao haifiki hata laki lakini angalia vitu wanavyomiliki. Hata siku Moja hawawezi kuwapiga vizinga wanawake wenzio wakija bar zaidi nikuwapiga vizinga wanaume alafu wakitoka hapo wanataka haki sawa na wanaume
Wanaopiga kelele kwenye makongamano kuwa wanaweza bila wanaume ni 0.5% ya wanawake wote Tanzania. Waliobaki maisha Yao hayafiki kesho bila usaidizi wa mwanaume.

Mimi namuangalia hata house girl wetu. Mke wangu hawezi kumpa yule dada hata sh.1000 ya ziada hata kama amefiwa Wala kuuguliwa, anataka atumie kamshahara kake TU, ila Mimi naweza kumpa ziada ila mama asione.

Akina mama hawawezi kuacha chenchi kwa bar made mwanamke mwenzake hata iwe Senti 10.

Jamani wanaume Mungu awabariki sana huko waendako
 
Heheheheheh Mkuu taratibu please, utapewa kesi
Wacha kesi ije TU, hivi inakuja akilini unampa jirani chakula Cha watoto wako ili wadumae ili wewe baba upate sifa kuwa unajali majirani.

Jamaa akatuingiza Chaka ambalo tunashindwa kutoka hadi Leo.

Eti hadi Leo Rais Mama Samia anahangaikia maji kwa watanzania.
 
Kuna fwedha kule ubalozi na wizarani ndio maana initiatives kibao sikuhizi
Pombe na soda wanazonyweshwa wanawake na wanaume ni mapipa kwa mapipa yanayotiririsha mito. Achana na Kuku, nyama choma na supu. Jamani wanaume ni wapumbavu wa kupitiliza kwa wanawake.

Siku hizi nikimkuta mwanaume kazunguukwa na wanawake anawanywesha na kuwalisha nakereka sana. Mwanamke anakunywa bia za bure mpaka anachezacheza ovyo kumlaghai jibaba liendelee kuchunwa
 
Sijui kwanini neno 'superwoman' huwa linanikera sana

Kwani nani kakuzuia kufanya nini wewe mwanamke
Nb:mi ni KE

Hv can u imagine the irony ya wanaume kuimba wao ni supermen😃?
Vichekesho
 
Back
Top Bottom