Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

Safari ya wanawake sio fupi kwa kiasi hicho

Mambo mengine ni biashara na miradi ya watu.Dunia ya leo mwanamke anatumiwa kama fursa.Ukiona hayo mambo yote jua kuna wajanja wachache wamewageuza wanawake fursa yakupiga pesa ndo maana hizi harakati zinaibukaga kwenye siku za wanawake zikishapita wanakua kimya na shida na changamoto za wanawake zinabaki kua zile zile miaka na miaka.
Hata mapambano ya ndondi za kina Fury sijawahi kuona kidume kinapita pale na bango kutangaza round nyingine inaanza.
 
Mambo mengine ni biashara na miradi ya watu.Dunia ya leo mwanamke anatumiwa kama fursa.Ukiona hayo mambo yote jua kuna wajanja wachache wamewageuza wanawake fursa yakupiga pesa ndo maana hizi harakati zinaibukaga kwenye siku za wanawake zikishapita wanakua kimya na shida na changamoto za wanawake zinabaki kua zile zile miaka na miaka.
Hizi harakati za haki na usawa wa wanawake ndizo zilizochangia kuzaliwa kwa ushoga kule Marekani, fuatilieni historia ya ushoga marekani. sababu nyingine ya ushoga ni vijana wengi wa kiume kufungwa kwenye magereza kwa uhalifu wa hapa na pale.

Wanaume wakaona ili kuepuka kero za haki za wanawake na watoto ni heri waishi wanaume kwa wanaume ili wasaidie kwenye gharama za maisha bila bughuza, maana hakuna haki za wanaume peke yao.

Sheria yetu ya ndoa inatambua kuwa mwanaume ndiye mtoaji (provider) hata kama mke ana pesa kiasi gani, sasa hivi wanaleta habari za pasu kwa pasu na mwanaume (ujambazi).
 
Kuna fwedha kule ubalozi na wizarani ndio maana initiatives kibao sikuhizi
 
Mfalme Zumaridi naye kaamua kuwa mfalme bila kuambiwa na mtu, kaona opportunity kaitolea macho..
mwanamke akimua anaweza bila kuhitaji kuengwaengwa. Mama Samia, Mongela, Tulia, nk hawakuhitaji makongamano ya malkia wa nguvu na sijui super woman, ni sifa, ujasili na jitihada zao tu.

Mbona hakuna hata siku moja nimemuona Spika Tulia kapaka mkorogo ili apendeze.
 
Hata mapambano ya ndondi za kuna Fury sijawahi kuona kidume kinapita pale na bango kutangaza round nyingine inaanza.
Ni nani anawaambia wanawake ni lazima wapande jukwaani uchi wakiimba au kucheza? ni wao wenyewe tu.

Wakati wanaume wanachagua kuvaa suti na tai jukwaani wakiimba, wanawake wanachagua kupanda na mavazi ya ajabu, wakati wanaume wakitoka usiku kupata dinner mahali wakiwa wamevaa suluali na shati wanawake wanatoka na vivazi vifupi na mgongo wazi bila kulazimishwa na mtu,wamekaa kitapelitapeli.
 
Kaka wanaume wanahenya ndani ya migodi, long track drivers, bodaboda, kwenye magarage, kwenye mitaro, vitani, juu ya minazi lakini jioni pesa zote wanapeleka kwa wanawake wanakula, kuvaa, kula na kustarehe buuuleee kabisa bila jasho, lakini wanaume ndo Sasa hivi wanapigwa vijembe kila Kona.

Wanaume kuweni macho, acheni kuwaoa ili wahenye, wale na kuzaa kwa uchungu, kuleni bure msihonge
Kwamba tumege kimasihara............watanuna hao hakuna mfano🤣
 
Kaka wanawake wengi hawatofautiani sana na majambazi, jambazi hataki kufanya biashara ya kudunduliza kama kuuza duka, kufanya kazi ya hela mwisho wa mwezi. Jambazi anataka hela za mkupuo puu bila jasho.

Baada ya akina dada wengi wako hivyo, anataka apewe tu uongozi, hela, gari, biashara, nyumba, vinywaji kwa kazi kidogo tu ya kukustarehesha na wakati mwingine mnastareheshana wote, lakini baada ya kumaliza kustareheshana anakugeukia kukudai hiki na kile kana kwamba pale ulistarehe peke yako huku akijua kuwa wewe ndiye uliyelipia vinywaji, chakula, mafuta ya gari na guest uliyotumia kustareheshana.

Huu ni ujambazi wa kiwango cha juu sana ambao wanaume hawajaustukia.
Acha tu aisee nawaangaliaga Asana na dharau dhidi yao haitaidha sababu hawajielewi tatizo lipo wapi!!

Mwanamke hata awe wapi huwa lazima ukikaa nae ana kaudangaji fulani hata awe nani Yani ukimla atataka akudange tu.
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze.

Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.
Umeongea kwa akili kubwa sana. Ubarikiwe sana.
 
Kaka wanaume wanahenya ndani ya migodi, long track drivers, bodaboda, kwenye magarage, kwenye mitaro, vitani, juu ya minazi lakini jioni pesa zote wanapeleka kwa wanawake wanakula, kuvaa, kula na kustarehe buuuleee kabisa bila jasho, lakini wanaume ndo Sasa hivi wanapigwa vijembe kila Kona.

Wanaume kuweni macho, acheni kuwaoa ili wahenye, wale na kuzaa kwa uchungu, kuleni bure msihonge
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mambo mengine ni biashara na miradi ya watu.Dunia ya leo mwanamke anatumiwa kama fursa.

Ukiona hayo mambo yote jua kuna wajanja wachache wamewageuza wanawake fursa yakupiga pesa ndo maana hizi harakati zinaibukaga kwenye siku za wanawake zikishapita wanakua kimya na shida na changamoto za wanawake zinabaki kua zile zile miaka na miaka.
Yaani ni kula tu.

Kama haliwi mtu basi inaliwa fedha!

Wanawake wengi wamepotezwa na kuharibikiwa kwa hii michongo inayoendelea!

Si kwenye siasa, misikitini, makanisani, biashara, kazini... Kote ni kula tu!!
 
Ni msichana mwenyewe anamwambia mwalimu Mimi siwezi lakini nataka nifaulu. Kule JKT ni msichana mwenyewe anamwambia afande Mimi gwaride siwezi, ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kukaa salon massa 12 na kesho tena akisukwa na wakongo apendeze.

Hivi ndivyo wanawake wanapaswa kuambiana wanapokutana vinavyowwrudisha nyuma.

Je mtu aliyeweka kope na kucha bandia anaweza kufanyakazi gani? Je, mtu aliyejichubua ngozi awe mweupe anaweza kuwa dereva wa bodaboda? Tuwatendee haki wanaume. Asilimia 89 ya mapato ya mwanaume yanaliwa na wanawake na bado wanalaumiwa.
Mtu anayejipanga barabarani akijiuza kama bidhaa ananunuliwe akatumiwe na mtu ambaye anapambana dhidi yake.

Maofisini, sokoni, majumba ya ibada n.k kote huko wanawake wanakubali kuliwa na kutumika alafu eti ghafla wabadilike, washinde vita dhidi ya wanaume!

Kuna mambo mengine tuyaache kama yalivyo. Wanawake kamwe hawatoshinda vita dhidi ya wanaume. Ni ngumu sana.

Tuhimize kuishi kwa usawa lakini usawa uendane na hali halisi.
 
IMG-20220304-WA0010.jpg
 
Acha tu aisee nawaangaliaga Asana na dharau dhidi yao haitaidha sababu hawajielewi tatizo lipo wapi!!

Mwanamke hata awe wapi huwa lazima ukikaa nae ana kaudangaji fulani hata awe nani Yani ukimla atataka akudange tu.
Ni mwanamke mwenyewe anaekwenda kwa mganga, kwenye maombi kutafuta apendwe/aolewe na mwanaume, halafu kundi fulani linadai kuwa wanaume wananyanyasa wanawake, hii sio sawa kabisa
 
Mambo mengine ni biashara na miradi ya watu.Dunia ya leo mwanamke anatumiwa kama fursa.

Ukiona hayo mambo yote jua kuna wajanja wachache wamewageuza wanawake fursa yakupiga pesa ndo maana hizi harakati zinaibukaga kwenye siku za wanawake zikishapita wanakua kimya na shida na changamoto za wanawake zinabaki kua zile zile miaka na miaka.
Tena wenye Tako na shepu,ndo waharibu mipango apa mjini
 
Mtu anayejipanga barabarani akijiuza kama bidhaa ananunuliwe akatumiwe na mtu ambaye anapambana dhidi yake.
Maofisini, sokoni, majumba ya ibada n.k kote huko wanawake wanakubali kuliwa na kutumika alafu eti ghafla wabadilike, washinde vita dhidi ya wanaume!
Kuna mambo mengine tuyaache kama yalivyo. Wanawake kamwe hawatoshinda vita dhidi ya wanaume. Ni ngumu sana.
Tuhimize kuishi kwa usawa lakini usawa uendane na hali halisi.
Bank ya wanawake watupu umeiona wapi? Yaani uchukue hela za wavuja jasho (wanaume) uwape wanawake eti wanaonewa na wanaume, hata wanawake wenyewe wanawashangaa wanawake wenzao
 
Bank ya wanawake watupu umeiona wapi? Yaani uchukue hela za wavuja jasho (wanaume) uwape wanawake eti wanaonewa na wanaume, hata wanawake wenyewe wanawashangaa wanawake wenzao
Hakika... Na wengi wanaojiita feminists mashuhuri ni wapotoshaji; utakuta wana urahibu mkubwa na ni single parents.

Raha ya feminists wanawake wenzao nao waharibikiwe kama wao.

Shame on them, feminists.

Tuhimize watu waishi kwa kujaliana na si mmoja kutaka kushinda vita asivyoweza kushinda!!
 
Hakika... Na wengi wanaojiita feminists mashuhuri ni wapotoshaji; utakuta ni wana urahibu mkubwa na ni single parents.
Raha ya feminists wanawake wenzao nao waharibikiwe...
Shame on them, feminists.
Tuhimize watu waishi kwa kujaliana na si mmoja kutaka kushinda vita asivyoweza kushinda!!
Gender activities wote Wana historia inayokaribiana, wamekosa wachumba, wameachwa au bwana kaoa mke mwingine.
 
Back
Top Bottom