Voice Of Tanganyika
Member
- Apr 2, 2024
- 16
- 25
Sawa, ila hesabu sahihi kwa Yanga ni kuchukua point 6 zilizobaki au Mazembe amfanyie wepesi. Imagine Mazembe akatoe droo au kushinda.
UMbona anatoboa kirahisi sana.
Yanga itamfunga MC Algers na Al Hilal.
Al hilal atapigwa 5 na Mc Algers atapigwa 7 hapo kuna la kujadili?Kama mzembe Kapigwa Tatu hata hao wanaweza kupigwa tatu pia.
Basi lolote linawezekana mkuuGoal 4 kama sijakosea
Hakuna hata mechi moja kati ya zilizosalia ambazo Utopolo watashinda. MC Alger siyo timu ya kitoto. Uzoefu ni kwamba wana uwezo wa kufunga hata ugenini. Sasa kwa mabeki wale wachovu akina Bacca mjiandae kisaikolojia mkipanda zinapigwa counters imooo. Kwa Al Hilal ndio msahau kabisa. Ibenge kama kuwaachia atawaachia Wakongomani wenzake na siyo nyie. Kiuwezo Al Hilal wameizidi Utopolo mbingu na ardhi hamuwawezi.Sasa ana win game mbili halafu amuombe Tp Mazembe amfanyie wepesi ili iweje? Walati hapo kuwin tu mechi mbili ni tiketi ya Yanga kufuzu
We Gwele tunza hiiKwa hawa wachovu aliopangwa nao Hilal anamaliza makundi vizuri bila kupoteza mchezo
Hapa kwa Mkapa mtapata sare mkijitahidi. Kule Mauritania kwa Al Hilal mtapasuka vibaya.MKUU KUSHINDA GAME MBILI CHAMPIONS LEAGUE SIO MCHEZO ILA TUTAPAMBANA
Ilikuwa applied kwa TP Mazembe na tukatoboa vizuriHapo uki apply "TUKI" "WAKI" yanga tunatoboa vizuri😄
Na hao wengine wakishinda mechi zao 2?Yanga akishinda mechi zake wala haihataji ikawa hivi, ikawa vile kwasababu automatically Mc Alger watakuwa wamepoteza point 3
Mmekuwa watabiri siku hizi.Bado lolote linatokea hivi umewaza mzunguko ujao yanga na Al hilal wakasare na mazembe na alger wakasare pia ina mana game ya mwisho yanga akimfunga Alger Kwa mkapa anafuzu bila kujali matokeo ya mazembe na al hilal so hapo point 4 yanga zinauwezo wa kumbeba Hila point 6 ni uhakika zaidi sababu azitohitaji msaada wa matokeo ya mwenzako
Yaan umanaanisha Umfunge Ibenge away kisha umfunge MC home.-Sawa inawezekana IlaYanga tunafuzu
Hilal hawezi malizia group bila kipigwa
Kama ulivyo wewe tuMmekuwa watabiri siku hizi.
Sawa shekh YahayaHakuna hata mechi moja kati ya zilizosalia ambazo Utopolo watashinda. MC Alger siyo timu ya kitoto. Uzoefu ni kwamba wana uwezo wa kufunga hata ugenini. Sasa kwa mabeki wale wachovu akina Bacca mjiandae kisaikolojia mkipanda zinapigwa counters imooo. Kwa Al Hilal ndio msahau kabisa. Ibenge kama kuwaachia atawaachia Wakongomani wenzake na siyo nyie. Kiuwezo Al Hilal wameizidi Utopolo mbingu na ardhi hamuwawezi.
Mmekuwa watabiri siku hizi.
Kweli nyani haoni lake kund*le ila wewe ni nabii?Hakuna hata mechi moja kati ya zilizosalia ambazo Utopolo watashinda. MC Alger siyo timu ya kitoto. Uzoefu ni kwamba wana uwezo wa kufunga hata ugenini. Sasa kwa mabeki wale wachovu akina Bacca mjiandae kisaikolojia mkipanda zinapigwa counters imooo. Kwa Al Hilal ndio msahau kabisa. Ibenge kama kuwaachia atawaachia Wakongomani wenzake na siyo nyie. Kiuwezo Al Hilal wameizidi Utopolo mbingu na ardhi hamuwawezi.
Nimecheka sana.Good Bye Yanga !! Mpaka mwakani.
Njia pekee ya Yanga kushinda mechi zote zilizobaki 😃😃 Yani amfunge Al Hilal Nyumbani kwao na amfunge Mwarabu kwa Mkapa,
Walichobakiza Yanga ni kukamilishe Ratiba
View attachment 3193688
Upo sawa, Ingawa Alger ana nafasi zaidi kuliko Yanga.
Yanga ina p4. Alger ina p5. Point zilizobaki ni 6. Alger anahitaji 4 na Yanga anahitaji 6. Akizikosa hizo 4 basi aingie kwenye hesabu za Yanga kupoteza au kudraw kutegemeana na katika hizo 4 kapoteza ngapi. Yanga yeye hana option zaidi ya kumfunga Alger na Hila
Makolo wanaelewa basiKwa point ☝️ yeyotee anafuzuuu robo Fainali,hata mazembee Wana chance.
Hapa tunajadili kina babaHebu tuwaweke pembeni Kwanza UTO tuwajadili Simba.