Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mana iyo ndo arusha.unakuta MTT wa kimbulu ama wa kichaga mweupe pee yaani lile paja likikumulika na weupe ule amazing mpaka mshindo unataka kutoka kabla hujaingiza.Nimepitia mkuu. Acha kabisa.
E bwana kumbe Wameru ndio zao sio? Sasa nimeweza kuconnect Dots.Umesahahu wameru wanapenda udananda Sana
Kuomba bia hawaoni haya
"asee chalii yake si ni nimembutua deree, kila nikimmanya anaongea nfa nfa nfa, nikaona huyu ni nte"Kwetu arusha lakn kila nikienda nashindwa kukaa kabisa , pombe watu wanakunywa mpk huruma, lugha ya kule imenishinda kabisa, yan mtu anaweza kukusemesha hasa hawa vijana ukashindwa kumuelewa.
Nchi ndani ya nchi
Wanadunda na wengi wanatembea na mabeto (kisu)Wanalugha ya peke yao hawa watu.... Maisha ya kipekeyao, mwendo wa pekeyao
[emoji16][emoji16][emoji16]mambo ni yechu yechuuuuuuuuuuurah!!! nipe hiyo niaje we jombi wa dasalade( nilishindwa kuelewa ni kiebrania au kifilisti)
😀😀😀
Hivi si alitakiwa aje court on 14/06 jumatatu hii?7ya! Kweli dunia duara, huyu kijana wanataka kumzika akiwa hai!
Ni maskani lkn hamna kitu hapo[emoji848]Nimetembea hii nchi itoshe tu Kusema Chuga Paukweli sana
Kuishi na wameru inahitaji moyo labda use kabila laoArusha ni sehemu poa sana kuishi...haswa ukae nje ya mji upande wa Meru
Hahah!Kuishi na wameru inahitaji moyo labda use kabila lao
Hiyo rahisi sana mbona? Labda huyo jamaa ni slomoo.Chaliifrancisco njoo uone vitu vya nyumbani..
😹😹😹Kwetu arusha lakn kila nikienda nashindwa kukaa kabisa , pombe watu wanakunywa mpk huruma, lugha ya kule imenishinda kabisa, yan mtu anaweza kukusemesha hasa hawa vijana ukashindwa kumuelewa.
Nchi ndani ya nchi
Ni leo.Hivi si alitakiwa aje court on 14/06 jumatatu hii?
Sikusikia update yoyote [emoji1745]
Mkuu ungepita na The Hub sehemu ya kistaarabu yenye vibe Kama lote kwa sasa Arusha, ni sehemu ya watu na pesa zao sema sungusungu (wanawake wa escorts) wapo ila lazima uwe mwenyeji na cha msingi ni vizuri ukienda nenda na mkeo Kama tunavyofanya sisi.Arusha is my cityNawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.
Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.
Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.
Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.
1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.
2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.
3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.
Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.
4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.
5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.
6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.
7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?
Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.
8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.
Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.
Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.
Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.
Fantastic stay in your city.
Karibuni pia kwa wanalizombe.
Kwa hapa Arusha bangi wanachoma kama sigara tu. Wenyewe wanasema ukiona umechomeshwa ujue una tabia za aidha wizi, ubabe usio na maana na kadhalika. Kuna mama mmoja ni mtu mzima sana anachoma bangi yeye na mabinti zake nje tu ya duka lao bila hata wasiwasiSure thing nilivyokuwa dar ukivuta bangi public kinakula kwako mda si mrefu watu watakuchoma tu ila chuga kwanzia nimekuja pita maclub au sehem nyingi za starehe watu wanajitenga pembeni wanapiga kama kawaida hasa usiku unakuta watu wameweka kwenye hukar wanafumua tu
Wenyewe wanaita sanitizer [emoji3]Ndo Mana mmoja akinunua mzinga wa nyagi wengine ni kutembeza vibarauli wanaongea hata Kama hawakujui
Naongeza namba 9 kwani nipo Arusha mwaka wa nne Sasa.Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.
Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.
Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.
Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.
1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.
2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.
3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.
Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.
4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.
5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.
6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.
7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?
Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.
8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.
Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.
Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.
Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.
Fantastic stay in your city.
Karibuni pia kwa wanalizombe.
10. Sio kila mwanamke Arusha ambaye ni mweupe ni mweupe kiasili, wengi wao pia wameenda Congo ( kujichubua)Nawasalimu kwa jina la JMT. Kazi iendelee.
Ilikuwa ni furaha kutoka nyanda za juu kusini na kuja ukanda huu wa kaskazini mwa Tanzania.
Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.
Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.
1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.
2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.
3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.
Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.
4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.
5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.
6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.
7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?
Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.
8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.
Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.
Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.
Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.
Fantastic stay in your city.
Karibuni pia kwa wanalizombe.
Ni wabinafsi na wachoyo sanaKuishi na wameru inahitaji moyo labda use kabila lao