Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

Nomaa.Halafu kuna wajinga wanasema vijana wa sasa wamebweteka na hawajitumi.Mwaga maji Shefu.

Mkuu vipi kuhusu bizznes ya dagaa Mchele kutoka Tanga au zenj
Unaweza kuuza ingawa sidhani kama wataweza kumudu Bei maana kule maisha magumu sana wengi ni vijiji vya wakimbizi. Wanalima huku wana kwepana na risasi
 
Tumia akili wewe unaweza ukakuta mtu anafanya izo izo unazoziita kazi za kike na wanapiga hela kuliko ata izo kazi ngumu.
 
Tumia akili wewe unaweza ukakuta mtu anafanya izo izo unazoziita kazi za kike na wanapiga hela kuliko ata izo kazi ngumu.
Shida ukishafanya kazi za kikekike unaanza kuwa na mambo ya kikekike Hilo ndio tatizo langu kwa vijana wa kiume.

Target n kushika pesa ila kama unaipata kwa Kaz za kikekike basi hakikisha ukikutana na wanaume unaongea mambo ya kiume
 
Mkuu nmependa sana simulizi ila nmejiuliza tu hao samaki ambao hawajaoza safari yote hyo. Mie nmetoka nao tu hapo ferry kufika magomeni kwisha habari yao
Tembea uone, kigoma kuna samaki wanaokwa Kwa Moshi WAnaweza kukaa hata miezi
 
HII SASA NDO STORY YA KIUME. SIYO ZILE ZA KIPUUZI ZA KUTIANA NA MISUKULE.ZIMEJAA UONGO MWINGI. NJOONI MSOME STORY YA KIUME HAPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…