Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,294
Kama ulirudi bila kuwa hatana kilema au jeraha lolote ,Basi wewe ulitakiwa upate shqvu pale kitengo ,kwa watu wa masuti meusi .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linamaanisha nini?
Huijui Dar wewe au umezuzuka na zile barabara za njia 4 4?Afu kule kinshasa nasikia ni kama ulaya watu wanaishi kama ulaya tofaauti na hata dsm yetu hapa
Unaogopa kitu Gani.uyu ni mwanaume lazima apigane tunasoma huku naogopa mno, utafikiri tuko safarini pamoja, hebu kabla hujajibu niambie uko tz au bado hujarudi au ni mtu kakopi story kaituma huku namaanisha umerudi tz salama??
Mkuu ebu faster pitia hapo kwa Mangi agizia chochote ntapita kulipa.Alafu utasikia watu wanasema domo ndio kijana pekee mpambanaji Tz.
kumbe ni mkata viuno tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]shenzi ww umenichekesha mpaka watu wananiona chizi hapa eti uzi wa kugegedana na msukule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Justine Marack tulia tu taratibu ukipata muda shusha madini mengine kwa kina usifiche kitu. Na mtu akikusumbua mimi nita deal naye. Tunataka watu wenye shuhuda za kutafuta pesa Kiume wasipewe bughudha. Siyo mtu anakuja simulia uzi wa kupata pesa kwa kupewa tender ya kumgegeda msukule. Hizo tabia zinasababisha vijana wengi wawe mashoga.
Ila huu uzi wako unakomaza zaidi wanaume wanakomaa na kuzidi kuimalika kuwa maisha ni vita. So uwe na amani tupo humu watu wazima na tutakulinda utoe ushuhuda wako kwa utulivu. Huu uzi tuta uhifadhi uje kuwa uzi bora wa kiume wa kutafuta njuruku.