Safari za Kikwete hugharamiwa na nani?!

Safari za Kikwete hugharamiwa na nani?!

Huyu Mheshimiwa kama angepewa nafasi ya kuchagua mahali pa kuishi kati ya Msoga Tanzania na Maryland Marekani, nadhani faster angechagua kwenda kuishi kwa Joe Biden!

Na wakati swali la aina hiyohiyo ungemuuliza Mwalimu kati ya Butiama na Maryland, basi jibu lake lingeshangaza American babies na wabeba maboksi wengi.
Kila mtu na matamanio yake ujue.
 
Back
Top Bottom