gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,956
- 2,274
Habari wanabodi!
Hivi karibuni tumeona baadhi ya watoa huduma za usafirishaji abiria kuendelea kutatuna huduma zao na kuwa wabunifu kwa kuanza safari za usiku na kufika asubuhi. Lakini ghafla tukaona safari zimesitishwa kwa taarifa wamezuiwa na mamlaka husika.
Tumeona kampuni ya KAPRICON ilitoa taarifa wamepeleka maombi LATRA kuanza safari za usiku Dar-Arusha toka mwezi Julai na wakapotea bila majibu licha ya abilia wengi kuuliza.
Wakaja KILIMANJARO wao walipotangaza tu, abiria wakawa wengi sana na wakajikuta wanaongeza mabasi mpaka 4 kila siku, na gari zikawa zinajaa na abiria wengine kukosa tiketi, lakingi baada ya siku kama 3 tukasikia wamesitisha safari mpaka watakapo julisha uma. Kama haitoshi kuna basi la MAJINJA wao walikuwa nasafari za Dar-Mbeya kila siku saa 10jioni na kufika saa 11 asubuhi (wao wanaita hakuna kulala) nao toka wiki iliyopita wamesitisha licha ya abilia kuwa wengi.
Sasa licha ya watu kuonyesha interest sana kwenya safari hizi na kuonyesha zingeweza kuinua shughuri za kiuchumi tunaona zimezuiwa, changamoto ni nin? Kwa kweli natamani kufahamu sana shida ni nini na pia je haiwezekani kutatuliwa safari hizi zikarudi.
Hivi karibuni tumeona baadhi ya watoa huduma za usafirishaji abiria kuendelea kutatuna huduma zao na kuwa wabunifu kwa kuanza safari za usiku na kufika asubuhi. Lakini ghafla tukaona safari zimesitishwa kwa taarifa wamezuiwa na mamlaka husika.
Tumeona kampuni ya KAPRICON ilitoa taarifa wamepeleka maombi LATRA kuanza safari za usiku Dar-Arusha toka mwezi Julai na wakapotea bila majibu licha ya abilia wengi kuuliza.
Wakaja KILIMANJARO wao walipotangaza tu, abiria wakawa wengi sana na wakajikuta wanaongeza mabasi mpaka 4 kila siku, na gari zikawa zinajaa na abiria wengine kukosa tiketi, lakingi baada ya siku kama 3 tukasikia wamesitisha safari mpaka watakapo julisha uma. Kama haitoshi kuna basi la MAJINJA wao walikuwa nasafari za Dar-Mbeya kila siku saa 10jioni na kufika saa 11 asubuhi (wao wanaita hakuna kulala) nao toka wiki iliyopita wamesitisha licha ya abilia kuwa wengi.
Sasa licha ya watu kuonyesha interest sana kwenya safari hizi na kuonyesha zingeweza kuinua shughuri za kiuchumi tunaona zimezuiwa, changamoto ni nin? Kwa kweli natamani kufahamu sana shida ni nini na pia je haiwezekani kutatuliwa safari hizi zikarudi.