mpakachichi
Member
- Feb 21, 2017
- 5
- 1
Unakuwa mmbeya mpaka basi nyie ndo huwa mnafuatilia hata wake zenu wako chooni aaaha yule mtu wa mpira halingani na wewe mpiga domo hapa acha watu watumie vipaji vyao ukihisi kila kitu ni haramu itakula kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupenda binamuWarumi kumbe una ka-ID kageni [emoji8] [emoji8] [emoji8] love mingi kwako mama[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala
Huyo jamaa utamuweza kwa matangoporo?anajifanya wa mjini na anajua watu kumbe mjomba tu!BTW Mbunge anaitwa Richard NdasaAh jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala
Kwa sasa tukae kimya maana hayatuhusu.Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?![]()
Nani Maulid Kitenge?Jamani huyu ni spy ukitaka kuamin hilo review ile crip nape anatishiwa kupigwa risasi alicho kifanya mtu wa kawaida hawez kumkataza mweny bunduki kwamba anaharbu mtu wa kawaida je unawez?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshaanza.Kwa sasa tukae kimya maana hayatuhusu.
Yatatuhusu pale akishika bakuli na kuanza kutuchangisha nauli.
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeKwa sasa tukae kimya maana hayatuhusu.
Yatatuhusu pale akishika bakuli na kuanza kutuchangisha nauli.
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli umeona ! saafi kabisa hivi ndio vichwa ..... ..... ...Jamani huyu ni spy ukitaka kuamin hilo review ile crip nape anatishiwa kupigwa risasi alicho kifanya mtu wa kawaida hawez kumkataza mweny bunduki kwamba anaharbu mtu wa kawaida je unawez?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?![]()
Wacha story za kijiweni wewe..umejuaje habari za Kitenge wakati by that time ulikuwa kwenu Kyabakari..NonsenseAcheni tu leo hii ale hizo ' bata ' kwani tuliomjua tokea miaka hiyo akiwa ' mbwatukaji ' wa mambo ya mpira pale Uwanja wa Uhuru ilipo ile Baa maarufu ya kwa Chichi wala hatushangazi. Bila Mzee Charles Hillary Nkwanga bingwa wa kugundua vipaji vya Masuala ya Habari asingemuona pengine leo hii Maulid Kitenge sasa hivi angekuwa mpanga magari pale Shamba la Bibi ( uwanja wa Uhuru )