Safari za Maulid Kitenge mara kwa mara kulikoni?

Safari za Maulid Kitenge mara kwa mara kulikoni?

Unakuwa mmbeya mpaka basi nyie ndo huwa mnafuatilia hata wake zenu wako chooni aaaha yule mtu wa mpira halingani na wewe mpiga domo hapa acha watu watumie vipaji vyao ukihisi kila kitu ni haramu itakula kwako
 
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala

Waambie hao waliokudanganya kuhusu maisha ya awali ya Maulid Baraka wa Kitenge waendelee kukudanganya. Ukipata muda wako kimbia pale Uwanja wa Uhuru ilipo hiyo baa maarufu ya kwa Chichi halafu omba kuonana na Mama Chichi kisha mhoji vizuri kuhusu historia ya Kitenge enzi hizo akiwa hapo na ukishamalizana na Mama Chichi mtafute Kijana mmoja maarufu sana kwa upangaji wa Magari hapo Uwanja wa Uhuru na Taifa anaitwa Kambarage akupe kila kitu kwani yeye na Kitenge ndiyo walikuwa wabwabwaji wazuri mno wa mpira enzi hizo ila mwenzake akapata zali na yeye hadi sasa yupo hapo hapo akiendelea na ubwabwaji wake na uangalizi wa Gari za Watazamaji kuanzia hapo baa ya kwa Mama Chichi hadi kule ilipo baa ya Minazini.

Nimefunga rasmi mjadala wangu kuhusu Maulid Baraka Kitenge na kule alikotokea.
 
Ungemuuliza kwanza akikataa kukujibu ndiyo uulete huu umbea wako humu.
 
Itakua anamkwepa yule jamaa alomtolea bastola Nape..manaa
 
Kitenge kaoa wanawake waliotoka familia zenye uwezo.
Juzi alikuwa london leo yuko new york, jamaa anasafiri kama kupanda daladala, ila uzuri sababu ya technology, bado anatangaza vipindi vyake muda ule ule.
 
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala
Huyo jamaa utamuweza kwa matangoporo?anajifanya wa mjini na anajua watu kumbe mjomba tu!BTW Mbunge anaitwa Richard Ndasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani huyu ni spy ukitaka kuamin hilo review ile crip nape anatishiwa kupigwa risasi alicho kifanya mtu wa kawaida hawez kumkataza mweny bunduki kwamba anaharbu mtu wa kawaida je unawez?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
954e4bf10f9bbee65ee93bd8e73e493a.jpg
Kwa sasa tukae kimya maana hayatuhusu.

Yatatuhusu pale akishika bakuli na kuanza kutuchangisha nauli.

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
954e4bf10f9bbee65ee93bd8e73e493a.jpg

Wew ni mvulana au mschana?

Sababu huwez kuwa mwanaume au mwanamke...
 
Acheni tu leo hii ale hizo ' bata ' kwani tuliomjua tokea miaka hiyo akiwa ' mbwatukaji ' wa mambo ya mpira pale Uwanja wa Uhuru ilipo ile Baa maarufu ya kwa Chichi wala hatushangazi. Bila Mzee Charles Hillary Nkwanga bingwa wa kugundua vipaji vya Masuala ya Habari asingemuona pengine leo hii Maulid Kitenge sasa hivi angekuwa mpanga magari pale Shamba la Bibi ( uwanja wa Uhuru )
Wacha story za kijiweni wewe..umejuaje habari za Kitenge wakati by that time ulikuwa kwenu Kyabakari..Nonsense
 
Ila pamoja na Kuzaliwa, kuishi na kusomea Dar, bado Maulid anaelement za Kishamba!
Mtazame hata picha anazopiga na pozi zake!

Huwezi kumuona Mtoto wa mjini kama Mr Miller au @Aspirin wakipiga picha kwa pozi hizo!
 
Back
Top Bottom