Midumare Ngatuni Iwato
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 1,653
- 2,045
Anatunzwa na mwanamke wewe hujui hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunda ndipo kwao?Unataka asafiri kwenda Bunda ?
Utakuwa MchawiHalafu simpendi huyu jamaa!
Kwa kweli...Ni udhaifu mkubwa kuulizia mwenendo wa kimaisha ya mtu mwengine katika hali inayoashiria wivu hivi!Mleta thread bora ungezaliwa shoga
Yupo na ibrahim masoudWana Habari wanao safari sana safari za njee Edo ,Kitenge,Kibonde,Shafii na Oscar Oscar
SAFIIIIIIIIII SAAAAAANAAAAAAAMleta mada Fanya juhudi nawe uwe unapaa !! Usichunguze vya watu mtindo wa awamu ya tano !!!
wewe wa kwako umeyeyukia wapiUle uzuri wake sijui uliyeyukia wapi
Laiti ungejua maisha yalivyo mafupi huna hata sababu ya kufikiria kutokumpenda binadamu mwenzio! Love Peace and Happiness thats all about life!!Halafu simpendi huyu jamaa!
Aaah ahsante, team ya warumi haijawahi disappoint, gawa dozi binamuUache shobo na mie, mara nyingi huwa naku ignore leo nakuambia, muwasho wako sina cha kukusaidia
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal MayalaAcheni tu leo hii ale hizo ' bata ' kwani tuliomjua tokea miaka hiyo akiwa ' mbwatukaji ' wa mambo ya mpira pale Uwanja wa Uhuru ilipo ile Baa maarufu ya kwa Chichi wala hatushangazi. Bila Mzee Charles Hillary Nkwanga bingwa wa kugundua vipaji vya Masuala ya Habari asingemuona pengine leo hii Maulid Kitenge sasa hivi angekuwa mpanga magari pale Shamba la Bibi ( uwanja wa Uhuru )
Una wivu wa kikeHalafu simpendi huyu jamaa!
Warumi kumbe una ka-ID kageni [emoji8] [emoji8] [emoji8] love mingi kwako mama[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]Aaah ahsante, team ya warumi haijawahi disappoint, gawa dozi binamu