Ha ha ha ha LIKUD inamaana miaka hiyo huyu jamaa alikuwa anauza ndizi kwenye Karai pale kiabakari stendi Barabarani kwenye Mteremko mkali wa kiabakari?π€£π€£π€£Wacha story za kijiweni wewe..umejuaje habari za Kitenge wakati by that time ulikuwa kwenu Kyabakari..Nonsense
Itv kwa wotemambo ya efm hayo maana huko itv hakuwa na fursa ya kuzurura angani
Si unaona kitambi cha muda hicho nasikia nae ni Punda Ila muda utasema kweli.Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Merry Christmas to everyoneSi unaona kitambi cha muda hicho nasikia nae ni Punda Ila muda utasema kweli.
Ah jamani tuache uongo Maulidi alianzia kama mwandishi wa gazeti zamani,gazeti lilikuwa linamilikiwa na NUTA kama sikosei liitwa Mfanyakazi alikuwa pamoja na Hemedi Kimwanga mwandishi wa muziki na Mzee James Nhende pamoja na mbunge mmoja kutoka jimbo moja mkoani mwanza jina nimelisahau,si kweli kwamba aliokotwa na Charles Hilary,akiwa gazeti la Mfanyakazi alikuwa akishiriki sana kipindi cha kiti moto kilichokuwa kinaendeshwa na Pascal Mayala
Huyo jamaa utamuweza kwa matangoporo?anajifanya wa mjini na anajua watu kumbe mjomba tu!BTW Mbunge anaitwa Richard Ndasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha story za kijiweni wewe..umejuaje habari za Kitenge wakati by that time ulikuwa kwenu Kyabakari..Nonsense
Tena ndio maana tunaishia kua maskini hatuendeleiFanya yako mkuu...maisha ya mtu mwingine ukiyajua itakusaidia nini ilimradi havunji sheria?
Wabongo hii Tabia ya kufuatiliana inanikera sana..na inaashiria jinsi tulivyo na roho mbaya..
Raha ya JF Celebrities.Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
Kama wa manara?Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolHaji Manara kashaweka mambo hadharani huko, kumbe Kitenge ana mwanaume huko USA
GENTAMYCINE!Waambie hao waliokudanganya kuhusu maisha ya awali ya Maulid Baraka wa Kitenge waendelee kukudanganya. Ukipata muda wako kimbia pale Uwanja wa Uhuru ilipo hiyo baa maarufu ya kwa Chichi halafu omba kuonana na Mama Chichi kisha mhoji vizuri kuhusu historia ya Kitenge enzi hizo akiwa hapo na ukishamalizana na Mama Chichi mtafute Kijana mmoja maarufu sana kwa upangaji wa Magari hapo Uwanja wa Uhuru na Taifa anaitwa Kambarage akupe kila kitu kwani yeye na Kitenge ndiyo walikuwa wabwabwaji wazuri mno wa mpira enzi hizo ila mwenzake akapata zali na yeye hadi sasa yupo hapo hapo akiendelea na ubwabwaji wake na uangalizi wa Gari za Watazamaji kuanzia hapo baa ya kwa Mama Chichi hadi kule ilipo baa ya Minazini.
Nimefunga rasmi mjadala wangu kuhusu Maulid Baraka Kitenge na kule alikotokea.
πππππππππππππππNina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol