Safari za Maulid Kitenge mara kwa mara kulikoni?

Wacha story za kijiweni wewe..umejuaje habari za Kitenge wakati by that time ulikuwa kwenu Kyabakari..Nonsense
Ha ha ha ha LIKUD inamaana miaka hiyo huyu jamaa alikuwa anauza ndizi kwenye Karai pale kiabakari stendi Barabarani kwenye Mteremko mkali wa kiabakari?🀣🀣🀣
 
Huyu jamaa mbona anasafiri sana nchi za watu? Kila siku ye yupo angani tu anabadilisha flights kama dala dala, mara UK, Sweden, south Africa, na mara nyingi zinakua safari binafsi, anapata wapi pesa zote hizo?
Si unaona kitambi cha muda hicho nasikia nae ni Punda Ila muda utasema kweli.
 
Hivi unaamini story za huyo pimbi? Huyo dar haijui anasimuliwa tu
 
Fanya yako mkuu...maisha ya mtu mwingine ukiyajua itakusaidia nini ilimradi havunji sheria?
Wabongo hii Tabia ya kufuatiliana inanikera sana..na inaashiria jinsi tulivyo na roho mbaya..
Tena ndio maana tunaishia kua maskini hatuendelei
 
Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
Raha ya JF Celebrities.

Ukibandikwa uzi, sio kuwa mtu anauliza kwamba hajui hataaaaa.

Inakuwa anataka kuwapa taarifa alizonazo ili mumuongezee.

Twende kazi .
But kijana mtoto wa mjini huyu, kijana wa Al-Haramain enzi hizo.
 
GENTAMYCINE!
 
Maulid Baraka Wa Kitenge[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Nina ubuyu wake sijui niumwage tusherekee pasaka vizuri, lol
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…