Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Wameona watu wameacha kupapatikia kwenda nje wamejistukia.
Siku hizi foleni za kuomba viza hamnaga tena
Siku hizi foleni za kuomba viza hamnaga tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameona watu wameacha kupapatikia kwenda nje wamejistukia.
Siku hizi foleni za kuomba viza hamnaga tena
Wameona watu wameacha kupapatikia kwenda nje wamejistukia.
Siku hizi foleni za kuomba viza hamnaga tena
Kwa kifupi wasema Ubalozi wa Uingereza TZ Ume-Downgraded; sababu nikienda Uganda ninapata hiyo VISA kwenye Ubalozi wa Uingereza UGANDA...
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Ukijua kuhemea ujue na kuhemewa pia.Mwanaume Kuhemea!!
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Ushakosa Visa Anko
Ukijua kuhemea ujue na kuhemewa pia.
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?
Viza ya Uingereza hata sio ya kuipapatikia. Wame complicate sana taratibu za kupata viza yao, na mbaya zaidi viza yao sio 'user friendly' kama ilivyo hii ya Schengen. Haiingii akilini kwa Mtanzania anayetaka kwenda Uingereza, viza inakuwa processed Nairobi ilhali kuna ubalozi wao Dar. Viza ya Schengen inatumika kwa nchi zaidi ya 25 ilhali hii ya Uingereza inatumika kwenye jumuiya ya UK pekee (Great Britain and Northern Ireland), sasa ya nini kuipapatikia?. It is completely useless and ridiculous.
We are tanzania we should we apply our visa in kenya?