Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Katiba iliyompa CAG mamlaka haijasema popote kwamba ana mipaka ya kutenda kazi zake. Ndiyo maana kama Majaji ukimteua CAG hutakiwi kumtoa, lengo ni kuwa awe na uhuru wa utendaji bila kuingiliwa ndiyo maana Katiba inamlinda. Hakuna aliye juu ya Katiba hata Rais. Zingine hizo unazozijuwa wewe ni changamoto tu za kiutendaji.Shiiit! Umewahi kusikia CAG anakagua mahesabu ya Ikulu? Umewahi kusikia CAG anakagua mahesabu ya Bunge?
Unaishi nchi gani, na ya mfumo gani?
Huyu rais Ni wa viti maalum.Hivi Rais wetu alipata kura ngapi kwenye uchaguzi mkuu?
Ignorant of our Westminster system. Yaani hadi leo unashinda JF hujui mihimili ya utawala ina immunity ya aina gani? Unasema changamoto! That is rubbish! Unaandika ya kufikirika!Katiba iliyompa CAG mamlaka haijasema popote kwamba ana mipaka ya kutenda kazi zake. Ndiyo maana kama Majaji ukimteua CAG hutakiwi kumtoa, lengo ni kuwa awe na uhuru wa utendaji bila kuingiliwa ndiyo maana Katiba inamlinda. Hakuna aliye juu ya Katiba hata Rais. Zingine hizo unazozijuwa wewe ni changamoto tu za kiutendaji.
Sasa kama unajuwa ina immunity na hakuna immunity isiyotokana na sheria sasa unapata tabu gani ikiwa sheria hiyo ya immunity inatekelezwa kwa Rais kutokaguliwa? Tupe rejea za Katiba kwamba Rais hakaguliwi na CAG, tupe rejea ya sheria (sheria namba ngapi ya mwaka gani ya immunity) ambayo inasema katika immunity hiyo Rais hakaguliwi. Ujuwe taasisi ya Rais ni pana, sasa katika upana huo nani hakuguliwi na nani anakaguliwa? Je, wote kwenye taasisi ya Ikulu ni Marais wasiokaguliwa? Ukumbuke hoja yako ni subjective kwa Rais kama individual. Mkuu nadhani wewe ni "mwezi mchanga"Ignorant of our Westminster system. Yaani hadi leo unashinda JF hujui mihimili ya utawala ina immunity ya aina gani? Unasema changamoto! That is rubbish! Unaandika ya kufikirika!
Katiba mbovu sn, kwanini tuongozwe na mtu ambaye hatukumchaguaHuyu rais Ni wa viti maalum.
Point of correction & information.Katiba mbovu sn, kwanini tuongozwe na mtu ambaye hatukumchagua
Kula ulale mkuu tuachie wanaume haya mamboPoint of correction & information.
Makamu wa Rais (mgombea mwenza) anachaguliwa kwa kura pamoja na mgombea Urais. Ukimchagua mgombea Urais tayari automatically umemchagua Makamu wa Rais (mgombea mwenza).
Sasa ngoja nikusaidie kutengeneza swali gumu kutokana na maelezo yangu hayo hapo juu:
Kama SSH alichaguliwa kwa kura kama mgombea mwenza wa Rais je, ni lini alichaguliwa kwa kura kama Rais?
Jibu la swali hilo linatuelekeza kwenye ukweli uliofichama kwamba, kama SSH hajachaguliwa kwa kura kama Rais (bali kama mgombea mwenza) basi kumbe atachaguliwa kwa kura kama Rais 2025 - 2030 ambayo hii kumbe itakuwa ndiyo awamu yake ya kwanza na hivyo kustahili kuchaguliwa tena kwa kura kama Rais kwa awamu yake ya pili 2030 - 2035.
Duh!Kuna dalili Rais wa Zanzibar kupewa heshima ktk Muungano kuliko Makamu wa rais. Dalili zote zinajionesha wazi. Nadhani injinia ni Samia.
1. Wale wawekezaji wa viwanda 100 toka Misri wameyeyuka?View attachment 1749075
Habari za Kazi wana JamiiForums,
Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.
Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.
Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.
TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.
Kwa hiyo?Kuna dalili Rais wa Zanzibar kupewa heshima ktk Muungano kuliko Makamu wa rais. Dalili zote zinajionesha wazi. Nadhani injinia ni Samia.
Una kichaa wewe,Elsewesy electric hujawaona Kigamboni? Aliyekwambia wote 100 watakuja siku moja nani?1. Wale wawekezaji wa viwanda 100 toka Misri wameyeyuka?
2. Wale wawekezaji toka Kenya wameyeyuka?
3. Wale wawekezaji toka US wameyeyuka?
4. Nao wawekezaji wa Ufaransa na Ubelgiji watayeyuka?
NB.
Hivi kuna muda maalum kisheria ya uwekezaji wa kimataifa tangu nia ya kuwekeza inapotangazwa na pale inapotekelezwa?
Lowassa alipata mwekezaji wa mvua ya kutengeneza hadi leo ahadi imebaki kuwa ahadi kama hizo 4 hapo juu.
@mamayukokazini siyo chanzo rasmi kisheria cha utoaji takwimu za kiuchumi na fedha. BoT na Idara ya Takwimu ndiyo @mamayukokazini?Una kichaa wewe,Elsewesy electric hujawaona Kigamboni? Aliyekwambia wote 100 watakuja siku moja nani?
Wawekezaji gani kutoka Kenya? Rais alienda Kenya kuweka sawa mambo ya biashara aliyoharibu Mwendazake na matokeo yake haya hapa ๐
View attachment 2128954
Tukalale bhana kesho pia ni siku.@mamayukokazini siyo chanzo rasmi kisheria cha utoaji takwimu za kiuchumi na fedha. BoT na Idara ya Takwimu ndiyo @mamayukokazini?
Tuliuza nini Kenya za thamani hiyo ktk kipindi cha Corona? Tuliuza Limau za Corona? Badala ya Mahindi yaliyokataliwa?
January hadi March 17 (ambapo mipango iliwekwa ya export kwenda Kenya kwa mwaka huo) rais alikuwa Magufuli, mbona yeye jitihada zake za kota hiyo ya kwanza ya mwaka hujazitambua?
Aliyesema kwamba amepata uwekezaji wa bomba la gesi Tz - Kenya ni nani kama siyo mama? Rostam akaja kutoa ufafanuzi jinsi ambavyo hilo lilikuwa ni wazo lake lakini halikukubaliwa na Kenya, usiniulize mama alipora wazo la Rostam?
Umebemwendwa na mungu Durga nini wewe?!
Mama aliingia lini? Hiyo taarifa ni ya lini? Eti tuliuza nini ๐๐.Mkuu unaishi Dunia gani? Tulichouza kikubwa ni Mazao ya kilimo..@mamayukokazini siyo chanzo rasmi kisheria cha utoaji takwimu za kiuchumi na fedha. BoT na Idara ya Takwimu ndiyo @mamayukokazini?
Tuliuza nini Kenya za thamani hiyo ktk kipindi cha Corona? Tuliuza Limau za Corona? Badala ya Mahindi yaliyokataliwa?
January hadi March 17 (ambapo mipango iliwekwa ya export kwenda Kenya kwa mwaka huo) rais alikuwa Magufuli, mbona yeye jitihada zake za kota hiyo ya kwanza ya mwaka hujazitambua?
Umebemwendwa na mungu Durga nini wewe?!
Muda wa mechi ya uefa sio kulalaTukalale bhana kesho pia ni siku.
Rais wa JMT Januari 1 hadi Machi 17 2021 alikuwa Dr. Magufuli. Mama amekaimu kwa siku mbili ndiyo akaapa kuwa rais kamili.Mama aliingia lini? Hiyo taarifa ni ya lini? Eti tuliuza nini ๐๐.Mkuu unaishi Dunia gani? Tulichouza kikubwa ni Mazao ya kilimo..
Hivi mnaelewa kwamba toka Samia kaingia parameters zote za Uchumi ni positive ? Kila mwezi BoT wanatoa taarifa muwe mnafuatilia basi vinginevyo chuki zitawaua mapema Sana ๐๐.
Ukishindwa kufuatilia taarifa za BoT basi angalia hata tv au zunguka mtaani kwenu ukikuta ujenzi uko speed basi tambua kwamba the economy is doing well,ila kama unashinda kubet na kuangalia pono am very sorry.
View attachment 2128968
View attachment 2128969
View attachment 2128970
View attachment 2128971
View attachment 2128972