Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Umesahau ile ya UN mwka jana, na hii ya juzi ya kuzindua Filamu ya Royal Tour
 
Ziara zote zina tija
Hakuna ziara ameenda kutembea bila faida
Kazi iendelee
Na hii ndio haswa kazi ya Uraisi inayompasa ,kunganisha nchi na nchi na kufungua mahusiano mema na mataifa rafiki na kudumisha urafiki na kuanzisha mikakati mipya , kwani kila nchi hubadili utawala kila baada ya miaka mitano au saba, na kwa hiyo kama Taifa tunalazimika ku ''Up To Date'' uhusiano na malengo ya kitaifa.
Ghana wanatengeneza KARATASI za Photocopy na wana viwanda vizuri tuu, mujuwe kuwa hivi sasa RIM moja ya ''photocopy paper'' hapa Tanzania ni Shs. 15,000- 25,000. Badala ya sh 6,000/ -10,000/=
Kwa wafanya biashara wa karatasi wanawez kufungua miango ya kuagiza karatasikutoka Ghana.

Ghana Product
 
Ukiwa mjinga ukaona mikwara kama hii unaweza kuamini kuwa nchi ina Rais😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Anakula kwa mujibu wa urefu wa kamba yake!! Kigingi cha kamba kipo Dodoma Tz lakini kama ni ndefu hadi USA!!
 
Kumbuka usije changanya Safari Na Ziara hiyo ya Belgium na ufaransa was the same route , maana huu Uzi baadae utatumika Kama referral ya safari za Rais Ulaya , atahesabiwa mara mbili wakati ilikuwa ya Belgium na France ni same Route


Britanicca
Si ulisema unaodoka JF? Ndiyo maana mnakosa heshima JF Kama wewe Sasa hivi ulivyo.
 
Ziara ya Ghana inamatunda ya kikatiba ....anaenda kujiridhisha mchakato waliopitia sio wenu wakihuni eti akina makonda Paul wajumbe
 
Mpaka 2025, karibu Nchi zote Duniani atakuwa kashazitembelea.
Hapo tusitegemee hali nzuri ya Wananchi kiuchumi.
 
Wananchi wanakamuliwa ili kufadhili ziara za Rais.
 
Ktk list sioni safari zifuatzo.
1. Msumbiji June 22 2021
2. Malawi August 16 2021
3. Zambia August 24 2021
4. Marekani(Umoja wa mataifa) 23 sept 2021
5. Msumbiji January 28 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…