Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Ongezea Misri II akitoka China kwani ni lazima aende kwenye Mkutano wa “climate change” Misri , rejea ukame TZ!
 
Naomba huu uzi uwe updated na kila safari yake atakayoifanya tuone yeye na Vasco wa msoga nani amesafiri kwa tija. Maana huyu kilabanapornda ni kukopa tuu
 
Wakuu hii ni Orodha ya Nchi alizofika Samia mpaka ya leo.
.
1: 10 Apr 21. - -> Uganda.
2: 4 May 21 - -> Kenya
3: 12 May 21 - -> Uganda
4: 22 June 21 - -> Msumbiji
5: 16 Jul 21 - -> Burundi
6: 02 Aug 21 - -> Rwanda
7: 16 Aug 21 - - > Malawi
8: 24 Aug 21 - - > Zambia
9: 18 Sep 21 - - >. UN HQ (USA)
10. 20 Oct 21 - - > Scotland
11. 10 Nov 21- - > Misri
12. 10 Feb 22 - - > Ufaransa
13. 15 Feb 22 - - > Ubelgiji
14. 24 Feb 22 - - > Dubai
15. 13 April 22 - - > USA
16. 10 May 22 - - > Uganda
17. 23 May 22 - - > Ghana
18. 11 June 22 - -> Oman (kwa ndugu zake )
19. 06 Jul 22 - - >. Senegal
20. 16 Aug 22 - - > DRC ( Congo)
21. 13 Sep 22 - - > Kenya
22. 17 Sep 22 - - > United Kingdom
23. 21 Sep 22 - - > Msumbiji
24. 04 Oct 22 - -> Qatar
25. 02 Nov 22 - -> China
.
Acha Tuone Mwisho Wake
Madam President alishatoa ahadi ya kuifungua nchi. Kazi inaendelea.
 
Wakuu hii ni Orodha ya Nchi alizofika Samia mpaka ya leo.
.
1: 10 Apr 21. - -> Uganda.
2: 4 May 21 - -> Kenya
3: 12 May 21 - -> Uganda
4: 22 June 21 - -> Msumbiji
5: 16 Jul 21 - -> Burundi
6: 02 Aug 21 - -> Rwanda
7: 16 Aug 21 - - > Malawi
8: 24 Aug 21 - - > Zambia
9: 18 Sep 21 - - >. UN HQ (USA)
10. 20 Oct 21 - - > Scotland
11. 10 Nov 21- - > Misri
12. 10 Feb 22 - - > Ufaransa
13. 15 Feb 22 - - > Ubelgiji
14. 24 Feb 22 - - > Dubai
15. 13 April 22 - - > USA
16. 10 May 22 - - > Uganda
17. 23 May 22 - - > Ghana
18. 11 June 22 - -> Oman (kwa ndugu zake )
19. 06 Jul 22 - - >. Senegal
20. 16 Aug 22 - - > DRC ( Congo)
21. 13 Sep 22 - - > Kenya
22. 17 Sep 22 - - > United Kingdom
23. 21 Sep 22 - - > Msumbiji
24. 04 Oct 22 - -> Qatar
25. 02 Nov 22 - -> China
.
Acha Tuone Mwisho Wake
Kila safari ikiwa atatumia 100Milioni, inamaana hadi sasa atakuwa ameshatumia 2.5Bilioni........
 
Katika hali iliyofurahiwa na Watanzania wengi ni pamoja na Rais Suluhu Kusafiri nje ya nchi kila baada ya wiki mbili jambo ambalo linakujza diplomasia ya uchumi n a kuvutia wawekezaji wanje.
Marasi waliopita walikuwa wanajifungia ndani na tulikosa ushirikiano, tulikosa mikopo, tulikosa elimu nje ya nchi lakini sasa yote tunapata.
baadhi ya nchi alizokwenda tangu aingie ni hizi hapa.
Nchi alizofika Mama mpaka ya leo.
1: 10 Apr 21. - -> Uganda.
2: 4 May 21 - -> Kenya
3: 12 May 21 - -> Ugan da
4: 22 June 21 - -> Msumbiji
5: 16 Jul 21 - -> Burundi
6: 02 Aug 21 - -> Rwanda
7: 16 Aug 21 - - > Malawi
8: 24 Aug 21 - - > Zambia
9: 18 Sep 21 - - >. UN HQ (USA)
10. 20 Oct 21 - - > Scotland
11. 10 Nov 21- - > Misri
12. 10 Feb 22 - - > Ufaransa
13. 15 Feb 22 - - > Ubelgiji
14. 24 Feb 22 - - > Dubai
15. 13 April 22 - - > USA
16. 10 May 22 - - > Uganda
17. 23 May 22 - - > Ghana
18. 11 June 22 - -> Oman (kwa ndugu zetu )
19. 06 Jul 22 - - >. Senegal
20. 16 Aug 22 - - > DRC ( Congo)
21. 13 Sep 22 - - > Kenya
22. 17 Sep 22 - - > United Kingdom
23. 21 Sep 22 - - > Msumbiji
24. 04 Oct 22 - -> Qatar
25. 02 Nov 22 - -> China
+____________________________
kabla mwaka haujaisha atakwenda nchi nyingine kukuza diplomasia yetu;
Asante SAMIA
 
Katika hali iliyofurahiwa na Watanzania wengi ni pamoja na Rais Suluhu Kusafiri nje ya nchi kila baada ya wiki mbili jambo ambalo linakujza diplomasia ya uchumi n a kuvutia wawekezaji wanje.
Marasi waliopita walikuwa wanajifungia ndani na tulikosa ushirikiano, tulikosa mikopo, tulikosa elimu nje ya nchi lakini sasa yote tunapata.
baadhi ya nchi alizokwenda tangu aingie ni hizi hapa.
Nchi alizofika Mama mpaka ya leo.
1: 10 Apr 21. - -> Uganda.
2: 4 May 21 - -> Kenya
3: 12 May 21 - -> Ugan da
4: 22 June 21 - -> Msumbiji
5: 16 Jul 21 - -> Burundi
6: 02 Aug 21 - -> Rwanda
7: 16 Aug 21 - - > Malawi
8: 24 Aug 21 - - > Zambia
9: 18 Sep 21 - - >. UN HQ (USA)
10. 20 Oct 21 - - > Scotland
11. 10 Nov 21- - > Misri
12. 10 Feb 22 - - > Ufaransa
13. 15 Feb 22 - - > Ubelgiji
14. 24 Feb 22 - - > Dubai
15. 13 April 22 - - > USA
16. 10 May 22 - - > Uganda
17. 23 May 22 - - > Ghana
18. 11 June 22 - -> Oman (kwa ndugu zetu )
19. 06 Jul 22 - - >. Senegal
20. 16 Aug 22 - - > DRC ( Congo)
21. 13 Sep 22 - - > Kenya
22. 17 Sep 22 - - > United Kingdom
23. 21 Sep 22 - - > Msumbiji
24. 04 Oct 22 - -> Qatar
25. 02 Nov 22 - -> China
+____________________________
kabla mwaka haujaisha atakwenda nchi nyingine kukuza diplomasia yetu;
Asante SAMIA
Watakufungulia kesi ya uhaini, kwa ku track safari za Mama Safia....
Hilo ni tishio la usalama wa Nchi.....😬
 
Katika hali iliyofurahiwa na Watanzania wengi ni pamoja na Rais Suluhu Kusafiri nje ya nchi kila baada ya wiki mbili jambo ambalo linakujza diplomasia ya uchumi n a kuvutia wawekezaji wanje.
Marasi waliopita walikuwa wanajifungia ndani na tulikosa ushirikiano, tulikosa mikopo, tulikosa elimu nje ya nchi lakini sasa yote tunapata.
baadhi ya nchi alizokwenda tangu aingie ni hizi hapa.
Nchi alizofika Mama mpaka ya leo.
1: 10 Apr 21. - -> Uganda.
2: 4 May 21 - -> Kenya
3: 12 May 21 - -> Ugan da
4: 22 June 21 - -> Msumbiji
5: 16 Jul 21 - -> Burundi
6: 02 Aug 21 - -> Rwanda
7: 16 Aug 21 - - > Malawi
8: 24 Aug 21 - - > Zambia
9: 18 Sep 21 - - >. UN HQ (USA)
10. 20 Oct 21 - - > Scotland
11. 10 Nov 21- - > Misri
12. 10 Feb 22 - - > Ufaransa
13. 15 Feb 22 - - > Ubelgiji
14. 24 Feb 22 - - > Dubai
15. 13 April 22 - - > USA
16. 10 May 22 - - > Uganda
17. 23 May 22 - - > Ghana
18. 11 June 22 - -> Oman (kwa ndugu zetu )
19. 06 Jul 22 - - >. Senegal
20. 16 Aug 22 - - > DRC ( Congo)
21. 13 Sep 22 - - > Kenya
22. 17 Sep 22 - - > United Kingdom
23. 21 Sep 22 - - > Msumbiji
24. 04 Oct 22 - -> Qatar
25. 02 Nov 22 - -> China
+____________________________
kabla mwaka haujaisha atakwenda nchi nyingine kukuza diplomasia yetu;
Asante SAMIA


So what
 

Attachments

  • 1667755957711.png
    1667755957711.png
    18.1 KB · Views: 15
Kula nchi mama. Kuna inflation dunia mzima hata matekani. Hela iko wapi ya kuomba Omba? Huyu mama hajali kitu. Safari moja tu ni mabillioni cost yake!
 

Habari za Kazi wana JamiiForums,

Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.

Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.

Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.

TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.

=====

1). Rais Samia afanya ziara yake ya kwanza nchini Uganda mnamo 11 Aprili 2021 kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa nchi mbili na kumaliza makubaliano ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka nchini Uganda.

2). Rais Samia afanya Ziara ya Siku Mbili Nchini Kenya, kuanzia 04 Mei 2021

3). Rais Samia tarehe 16 Julai, 2021 afanya ziara ya Kitaifa ya siku mbili nchini Burundi kwa mwaliko wa Rais Evariste Ndayishimiye.

4). Rais Samia tarehe 02 Agosti, 2021 afanya ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Paul Kagame.

5). Rais Samia tarehe 16 Agosti, 2021 aelekea nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika kuanzia tarehe 17 – 18 Agosti, 2021.

6). Rais Samia Tarehe 24 Agosti, 2021 aelekea nchini Zambia kuhudhuria sherehe za kuapishwa Kwa Rais Mteule wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema.

7). Rais Samia tarehe 18 Septemba, 2021 aondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.

8). Rais Samia tarehe 30 Oktoba, 2021 aelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za mabadiliko ya tabianchi (COP 26).

9). Rais Samia tarehe 10 Novemba, 2021 aelekea Cairo nchini Misri kwa ziara ya Kiserikali ya siku tatu.

10). Rais Samia tarehe Januari 28, 2022, atembelea Msumbiji. Akiwa Pemba-Msumbiji, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu ameeleza kuwa lengo ya ziara hiyo ni kudumisha Diplomasia kati ya nchi hizo mbili.

11). Rais Samia afanya ziara ya Kikazi Nchini Ufaransa na Ubelgiji kuanzia tarehe 09-19 Februari 2022.

12). Rais Samia Februari 24, 2022 aelekea Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kushiriki maonyesho ya Expo 2020

13). Rais Samia Aprili 13, 2022 aenda Marekani kwa ziara ya kikazi. Pamoja na mambo mengine anatarajiwa kushiriki uzinduzi wa filamu ya ‘Tanzania Royal Tour’ itakayozinduliwa Aprili 18, 2022 jijini New York. Alikaa siku 8

14). Rais Samia 10 May 2022 afanya ziara ya Kiserikali nchini Uganda kwa siku mbili

15). Rais Samia 23 Mei 2022 ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo

16). Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu tarehe 12 Juni, 2022

17). Leo tarehe 06 Julai, 2022 Rais Samia aelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"

18). Rais Samia 16 Agost 2022, aondoka Nchini kwenda DR Congo kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

19). 13 Sep 2022 — Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aliwasili nchini Kenya kuhudhuria sherehe ya kuapishwa Rais mteule wa Kenya, William Ruto

20. Septemba 17,2022 Rais Samia alifika Uingereza ili kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II yaliyopangwa kufanyika September 19. Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

21. Septemba 21, 2022 Rais afanya ziara ya kikazi Msumbiji. Rais Samia akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo Septemba 21, 2022

22. Oktoba 4, 2022 Rais Samia ashiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar

23. Novemba 2, Rais Samia atembelea Beijing China Rais Samia amewasili salama China, hii hapa picha akiwa Uwanja wa Ndege Beijing

24. Rais ahudhuria mkutano wa Biden na viongozi wa Africa Rais Dkt. Samia yuko Marekani kuhudhuria Mkutano wa Rais Biden na Viongozi wa Africa
Another vasco da gama supported by vasco Kikwete! Tetetehh
 
Back
Top Bottom