Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Kula nchi mama. Kuna inflation dunia mzima hata matekani. Hela iko wapi ya kuomba Omba? Huyu mama hajali kitu. Safari moja tu ni mabillioni cost yake!
sisi wana CCM ndio tumemruhusu akakope, nyie ACT WAZALENDO subirini mkichukua nchi na nyie mkazurure huko nje.
 
Uwajibikaj ni jambo jema lakini Kwa awamu hii to much , mama anaupiga mwingi ,mala kufungua jengo la posta,mara kizimkazi mara kufungua vikao vya maafisa wa police duuuuu .Toka awamu zote ukitoa ya nyerere ambayo siijui mama anaupiga mwingi ,napenda mnaopanga hizo ziara apumzike kidogo . asanteni
 
Uwajibikaj ni jambo jema lakini Kwa awamu hii to much , mama anaupiga mwingi ,mala kufungua jengo la posta,mara kizimkazi mara kufungua vikao vya maafisa wa police duuuuu .Toka awamu zote ukitoa ya nyerere ambayo siijui mama anaupiga mwingi ,napenda mnaopanga hizo ziara apumzike kidogo . asanteni
Mama Matamasha
 
Uwajibikaj ni jambo jema lakini Kwa awamu hii to much , mama anaupiga mwingi ,mala kufungua jengo la posta,mara kizimkazi mara kufungua vikao vya maafisa wa police duuuuu .Toka awamu zote ukitoa ya nyerere ambayo siijui mama anaupiga mwingi ,napenda mnaopanga hizo ziara apumzike kidogo . asanteni
Ndio staili ameichagua badala ya kukesha kuzunguka barabarani na mamisafara sijui helikopta na kusimbua Wananchi kisa msafara wa Rais.

Anatumia hayo majukwaa kuelezea ilichofanga Serikali na kutoa muelekeo na Maagizo.

Kazi ya kuzunguka huko mitaani amewaachia Mawaziri

Piga kazi achana na wenye gubu
 
32. Rais Samia ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi unaojadili kuharakisha Mageuzi ya Kiuchumi Afrika, Jijini Marrakech-Morocco, leo Novemba 8, 2023
😂 Update Uzi Mkuu.
Push that Button umuone Sky walker.
 

Habari za Kazi wana JamiiForums,

Katika thread hii nategemea tutaangazia ziara mbalimbali(Za nje ya nchi) za Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan na manufaa kwa taifa.

Leo tarehe 11 April 2021 Mhe Samia anafanya ziara yake ya kwanza nje ya Tanzania na ziara hii ina lengo la kusaini makubaliano ya ujenzi wa bomba la mafuta.

Tarehe 4 mei2021 Mhe Samia amezuru nchi ya Kenya na kuwahitubia wananchi wa Kenya.
Ni ziara yenye tija kwa uchumi wa Nchi. Aidha ikumbukwe mtangulizi wake Hayati Dr. John Pombe Magufuli hakuwa mpenzi wa ziara za nje ya nchi na mara nyingi alimtuma Mhe Samia Suluhu kumuwakilisha.

TUTAENDELEA KUTOA UPDATES YA ZIARA ZA NJE ZA MH RAIS SAMIA.

=====

1). Rais Samia afanya ziara yake ya kwanza nchini Uganda mnamo 11 Aprili 2021 kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa nchi mbili na kumaliza makubaliano ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka nchini Uganda.

2). Rais Samia afanya Ziara ya Siku Mbili Nchini Kenya, kuanzia 04 Mei 2021

3). Rais Samia tarehe 16 Julai, 2021 afanya ziara ya Kitaifa ya siku mbili nchini Burundi kwa mwaliko wa Rais Evariste Ndayishimiye.

4). Rais Samia tarehe 02 Agosti, 2021 afanya ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Rwanda kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Paul Kagame.

5). Rais Samia tarehe 16 Agosti, 2021 aelekea nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) utakaofanyika kuanzia tarehe 17 – 18 Agosti, 2021.

6). Rais Samia Tarehe 24 Agosti, 2021 aelekea nchini Zambia kuhudhuria sherehe za kuapishwa Kwa Rais Mteule wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema.

7). Rais Samia tarehe 18 Septemba, 2021 aondoka nchini kuelekea New York nchini Marekani kuhudhuria Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 23 anatarajiwa kulihutubia Baraza hilo.

8). Rais Samia tarehe 30 Oktoba, 2021 aelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za mabadiliko ya tabianchi (COP 26).

9). Rais Samia tarehe 10 Novemba, 2021 aelekea Cairo nchini Misri kwa ziara ya Kiserikali ya siku tatu.

10). Rais Samia tarehe Januari 28, 2022, atembelea Msumbiji. Akiwa Pemba-Msumbiji, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu ameeleza kuwa lengo ya ziara hiyo ni kudumisha Diplomasia kati ya nchi hizo mbili.

11). Rais Samia afanya ziara ya Kikazi Nchini Ufaransa na Ubelgiji kuanzia tarehe 09-19 Februari 2022.

12). Rais Samia Februari 24, 2022 aelekea Dubai Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kushiriki maonyesho ya Expo 2020

13). Rais Samia Aprili 13, 2022 aenda Marekani kwa ziara ya kikazi. Pamoja na mambo mengine anatarajiwa kushiriki uzinduzi wa filamu ya ‘Tanzania Royal Tour’ itakayozinduliwa Aprili 18, 2022 jijini New York. Alikaa siku 8

14). Rais Samia 10 May 2022 afanya ziara ya Kiserikali nchini Uganda kwa siku mbili

15). Rais Samia 23 Mei 2022 ameondoka Nchini Kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya Ziara ya kikazi ya siku tatu Nchini Humo

16). Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu tarehe 12 Juni, 2022

17). Leo tarehe 06 Julai, 2022 Rais Samia aelekea Dakar Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa)"

18). Rais Samia 16 Agost 2022, aondoka Nchini kwenda DR Congo kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

19). 13 Sep 2022 — Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan aliwasili nchini Kenya kuhudhuria sherehe ya kuapishwa Rais mteule wa Kenya, William Ruto

20. Septemba 17,2022 Rais Samia alifika Uingereza ili kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II yaliyopangwa kufanyika September 19. Rais Samia kuhudhuria mazishi ya malikia Elizabeth II

21. Septemba 21, 2022 Rais afanya ziara ya kikazi Msumbiji. Rais Samia akiwa katika ziara ya Kiserikali nchini Msumbiji leo Septemba 21, 2022

22. Oktoba 4, 2022 Rais Samia ashiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022, Qatar

23. Novemba 2, Rais Samia atembelea Beijing China Rais Samia amewasili salama China, hii hapa picha akiwa Uwanja wa Ndege Beijing

24. Desemba 13, Rais ahudhuria mkutano wa Biden na viongozi wa Africa Rais Dkt. Samia yuko Marekani kuhudhuria Mkutano wa Rais Biden na Viongozi wa Africa

25. Januari 16 -20, Rais Samia ahudhuria mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uchumi, Nchini Uswizi Rais Samia atasafiri kwenda Uswisi Kushiriki Mkutano wa Uchumi wa Viongozi wa Dunia

26. Rais Samia afanya ziara Namibia kwa mkutano wa dharura wa SADC Rais Samia Ziarani Namibia

27. Rais Samia ahudhuria uapisho wa Rais nchini Nigeria LIVE - Rais Samia akishiriki Sherehe za Kuapishwa Rais Mteule wa Nigeria, Bola Tinubu, leo Mei 29, 2023

28. Julai 5, 2023, Rais Samia awasili Lilongwe kwa ziara ya siku 3: Rais Samia awasili Lilongwe kwa ziara ya siku 3

29. 04 Sept 2023 Rais Samia Suluhu awasili Kenya kuhudhuria mkutano kuhusu hali ya hewa barani Afrika. Rais Samia Suluhu awasili Kenya kuhudhuria mkutano kuhusu hali ya hewa barani Afrika

30. Rais Samia awasili nchini Zambia kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu. Rais Samia awasili nchini Zambia kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu

31. Novembe 4, 2023: Rais Samia Ashiriki Mkutano Maalum wa Dharura SADC Picha: Rais Samia Ashiriki Mkutano Maalum wa Dharura SADC

32. Rais Samia ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi unaojadili kuharakisha Mageuzi ya Kiuchumi Afrika, Jijini Marrakech-Morocco, leo Novemba 8, 2023 Rais Samia ashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi unaojadili kuharakisha Mageuzi ya Kiuchumi Afrika, Jijini Marrakech-Morocco, leo Novemba 8, 2023

33. Rais Samia ashiriki Mkutano wa nchi, Saudi Arabia, Novemba 10, Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika jijini Riyadh, Saudi Arabia

34. Rais Samia aelekea Dubai kushiriki Mkutano wa Mzingira, December 3. Rais Samia aondoka nchini akielekea Dubai Kushiriki Mkutano wa Mazingira wa COP28

35. Rais Samia aitwa Vatican kuwa na mazungumzo na papa Francis Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

36. Rais Samia afanya ziara nchini Norway, Februari 13, 2024 Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024
37. Rais Samia afanya ziara ya kikazi nchini Ethiopia, Februari 18, 2024. Rais Samia awasili nchini Ethiopia
Ni ceo wa nchi and this is what she should be doing

COO aka pm should manage the ground
 
Ni ceo wa nchi and this is what she should be doing

COO aka pm should manage the ground
Mikutano Mingi inahitaji Rais na sio PM ,lakini mara nyingi nimeona Rais amewakilishwa na Wasaidizi.

Kuna ziara hawezi wakilishwa mfano mualiko wa Rais na Rais kama Papa au Norway nk hakuna uwakilishi hapo.
 
Mikutano Mingi inahitaji Rais na sio PM ,lakini mara nyingi nimeona Rais amewakilishwa na Wasaidizi.

Kuna ziara hawezi wakilishwa mfano mualiko wa Rais na Rais kama Papa au Norway nk hakuna uwakilishi hapo.
Amewakilishwa sana tu, labda mleta hoja afanye pia hiyo analysis

Lakini Kama kiongozi kuna mengine hayana uwakilishi
 
Yaani January mpaka March sijui kaishapiga ruti ngapi.
Nigeria nako ameenda kitafuta malisho ya wananchi ama?

Kwa nini hatulii nyumbani hata mwezi mmoja, sasa hizo kero atatua lini kama alivyoahidi?

Gharama za misafara yake yote ina tija kwetu?
Screenshot_20240306-032804.jpg
 
Yaani January mpaka March sijui kaishapiga ruti ngapi.
Nigeria nako ameenda kitafuta malisho ya wananchi ama?

Kwa nibi hatulii nyumbani hata mwezi mmoja, sasa hizo kero atatua lini kama alivyoahidi?

Gharama za misafara yake yote ina tija kwetu?
View attachment 2925657
Kaenda lini tena Nigeria?
 
Lagos , Nigeria

Tuzo ya Obafemi Awolowo


Tinubu, Tanzanian President, Others to Grace 2023 Obafemi Awolowo Prize for Leadership​



The event will be chaired by the president of Tanzania, Samia Hassan
President Bola Tinubu, and his Tanzanian counterpart, President Samia Hassan have been listed among dignitaries expected at the 2023 Obafemi Awolowo Prize for leadership award scheduled for Wednesday, March 6, 2024.

Other dignitaries expected at the event are former heads of state from within and outside Nigeria, state governors, royal fathers and other distinguished Nigerians.

A statement issued by the Executive Director of the Foundation, Dr. Awolowo Dosumu said the event will be chaired by President Samia Hassan of Tanzania.

The president of the African Development Bank (AfDB), Dr. Akinwumi Adesina, will receive the distinguished Obafemi Awolowo Prize for Leadership 2023.

The award is an initiative of the Obafemi Awolowo Foundation set up in April 1992 to serve as the custodian of Chief Awolowo’s intellectual and leadership legacy.

The statement added that: “The Foundation, following a rigorous selection process by a panel of eminent Nigerians, announced in December 2023 that Dr Akinwumi Adesina, CON (President of the African Development Bank) had been picked as winner of the prize.

“The actual presentation of the prize, which consists of a plaque, medal and the certificate of award, will be made at a ceremony expected to draw a wide array of distinguished Nigerian and global exemplars on the 6th of March, beginning from 11am.

“ Adesina, winner of the 2023 Leadership prize, will deliver a lecture at that occasion. Special performances, musical celebration, goodwill messages, as well as video documentaries on Chief Obafemi Awolowo, Dr Adesina and the Foundation, which was set up in 1992 to preserve Awo’’s intellectual legacy, are decided features of the event.

“The documentary on Chief Obafemi Awolowo seeks to refresh the national memory concerning critical milestones in his political career with a view to teasing out, in a didactic fashion, edifying lessons for a generation groping for direction and leadership renewal,” it said.

Former Head of State and Chairman of the Board of Trustees of the Obafemi Awolowo Foundation, Gen. Yakubu Gowon, as well as Chief Emeka Anyaoku, Chairman of the eminent Selection Committee will be present at the occasion.

“The high billings of the event centre around the showcasing of the spirit of excellence and outstanding leadership attributes for which Chief Obafemi Awolowo was renowned. The event is also expected to encourage the dignity of labour and sign post the culture of productivity,” it stressed.

It said the idea of the leadership prize derives from the special dialogue of the Obafemi Awolowo Foundation held in July 2011 with the theme, “Transformational Leadership and Good Governance: Lessons from the Awolowo Example”.

It said that it was observed on that occasion that one of the greatest challenges confronting Nigeria is leadership deficit.

“It was recommended at that dialogue that an Obafemi Awolowo Prize for Leadership be instituted for the purpose of recognising excellence and benchmarking key leadership attributes associated with Chief Awolowo.

“The Foundation is gratified that Dr Akinwumi Adesina, whose nomination was unanimously made by the selection committee, headed by the globally acclaimed technocrat and diplomat, Chief Emeka Anyaoku, graciously accepted the nomination, describing it as ‘deeply personal’ and ‘a treasured recognition that will inspire (him) for the rest of (his) life’

“The March 6 2024 event seeks to mainstream and to celebrate a revered genre of outstanding contribution which at once uplifts the national soul and regales humanity.

“It is the Foundation’s hope that the prize for leadership, being made to such a globally acclaimed awardee, will assist in restructuring national values, as well as send a powerful message concerning the desirability of transformational leadership and a revival of productivity ethics,” it said.

Wale Igbintade
 

President Emerges Winner Of 2023 Obafemi Awolowo Prize For Leadership​


  • 4 minute read
Akinwumi-Adesina.webp


President of the African Development Bank (AfDB), Dr Akinwunmi Ayọdeji Adeṣina has been named the winner of the 2023 Obafemi Awolowo Prize for Leadership.

Speaking at a press conference to unveil the winner, the Chairman of the Selection Committee of the prestigious award, Chief Emeka Anyaoku, said Adesina was selected among many nominations received in celebration of the democratic and development-oriented ideals of a foremost Pan-African nationalist, Chief Obafemi Awolowo.

Anyaoku described Adesina as someone whose commitment to the positive transformation of the African continent has demonstrated core leadership qualities that have been associated with Chief Ọbafẹmi Awolọwọ, and which this Prize is meant to encourage and reward.

According to the Committee Chairman, the prize was to encourage, recognise, reward and celebrate excellence in leadership.

He said: “After a careful, detailed and rigorous screening process, the Selection Committee was unanimous in deciding the recipient of this year’s Prize.
“I have great pleasure in informing you that the considered view of the Selection Committee is that of all the nominees presented before it, the person adjudged to possess the attributes for the award to the highest degree and therefore is the recipient of the 2023 Ọbafẹmi Awolọwọ Prize for Leadership is Dr Akinwunmi Ayọdeji Adeṣina, CON, President of the African Development Bank.

“Dr Adeṣina, a former Nigerian Minister of Agriculture in the administration of President Goodluck Ebele Jonathan, is currently serving a second term as President of the African Development Bank. Besides being a Pan Africanist with an enthusiastic commitment to the positive transformation of the continent, he has demonstrated core leadership qualities that have been associated with Chief Ọbafẹmi Awolọwọ, and which this Prize is meant to encourage and reward.

“Besides his manifest intellectual leadership, Dr. Adeṣina is a person whose outstanding leadership has occasioned public policies that have positively transformed millions of lives.
“As Minister of Agriculture in Nigeria, Dr Adeṣina introduced innovative reforms such as the fertilizer sector reforms, which virtually eliminated corruption in the sector and ensured that farmers benefitted from the government’s subsidized fertilizers. He developed an electronic wallet system that allowed farmers to receive electronic vouchers for seeds and fertilizers directly on their mobile phones, thereby cutting off the middlemen in the system. Not less than 15 million farmers benefitted from this scheme within four years.

“Since assuming office as President of the African Development Bank (AfDB), Dr Adeṣina has worked relentlessly to contribute to the positive transformation of the continent. He has brought leadership to bear in addressing some of the challenges confronting the continent including leading and supporting innovative efforts to fight hunger and poverty.

“At the AfDB, Dr Adeṣina introduced what he termed the “High 5s” namely, to light up and power Africa; Feed Africa; Industrialise Africa; Integrate Africa; and improve the quality of life of the people of Africa. The impactful and successful nature of this programme has been widely acknowledged.

“In 2019, under the leadership of Dr Adeṣina, the shareholders of the African Development Bank increased the capital base of the Bank from $US93 billion to US$208 billion, an increase of over 123 per cent, the highest capital increase of the Bank since its establishment in 1964
 
Lagos , Nigeria

Tuzo ya Obafemi Awolowo


Tinubu, Tanzanian President, Others to Grace 2023 Obafemi Awolowo Prize for Leadership​



The event will be chaired by the president of Tanzania, Samia Hassan
President Bola Tinubu, and his Tanzanian counterpart, President Samia Hassan have been listed among dignitaries expected at the 2023 Obafemi Awolowo Prize for leadership award scheduled for Wednesday, March 6, 2024.

Other dignitaries expected at the event are former heads of state from within and outside Nigeria, state governors, royal fathers and other distinguished Nigerians.

A statement issued by the Executive Director of the Foundation, Dr. Awolowo Dosumu said the event will be chaired by President Samia Hassan of Tanzania.

The president of the African Development Bank (AfDB), Dr. Akinwumi Adesina, will receive the distinguished Obafemi Awolowo Prize for Leadership 2023.

The award is an initiative of the Obafemi Awolowo Foundation set up in April 1992 to serve as the custodian of Chief Awolowo’s intellectual and leadership legacy.

The statement added that: “The Foundation, following a rigorous selection process by a panel of eminent Nigerians, announced in December 2023 that Dr Akinwumi Adesina, CON (President of the African Development Bank) had been picked as winner of the prize.

“The actual presentation of the prize, which consists of a plaque, medal and the certificate of award, will be made at a ceremony expected to draw a wide array of distinguished Nigerian and global exemplars on the 6th of March, beginning from 11am.

“ Adesina, winner of the 2023 Leadership prize, will deliver a lecture at that occasion. Special performances, musical celebration, goodwill messages, as well as video documentaries on Chief Obafemi Awolowo, Dr Adesina and the Foundation, which was set up in 1992 to preserve Awo’’s intellectual legacy, are decided features of the event.

“The documentary on Chief Obafemi Awolowo seeks to refresh the national memory concerning critical milestones in his political career with a view to teasing out, in a didactic fashion, edifying lessons for a generation groping for direction and leadership renewal,” it said.

Former Head of State and Chairman of the Board of Trustees of the Obafemi Awolowo Foundation, Gen. Yakubu Gowon, as well as Chief Emeka Anyaoku, Chairman of the eminent Selection Committee will be present at the occasion.

“The high billings of the event centre around the showcasing of the spirit of excellence and outstanding leadership attributes for which Chief Obafemi Awolowo was renowned. The event is also expected to encourage the dignity of labour and sign post the culture of productivity,” it stressed.

It said the idea of the leadership prize derives from the special dialogue of the Obafemi Awolowo Foundation held in July 2011 with the theme, “Transformational Leadership and Good Governance: Lessons from the Awolowo Example”.

It said that it was observed on that occasion that one of the greatest challenges confronting Nigeria is leadership deficit.

“It was recommended at that dialogue that an Obafemi Awolowo Prize for Leadership be instituted for the purpose of recognising excellence and benchmarking key leadership attributes associated with Chief Awolowo.

“The Foundation is gratified that Dr Akinwumi Adesina, whose nomination was unanimously made by the selection committee, headed by the globally acclaimed technocrat and diplomat, Chief Emeka Anyaoku, graciously accepted the nomination, describing it as ‘deeply personal’ and ‘a treasured recognition that will inspire (him) for the rest of (his) life’

“The March 6 2024 event seeks to mainstream and to celebrate a revered genre of outstanding contribution which at once uplifts the national soul and regales humanity.

“It is the Foundation’s hope that the prize for leadership, being made to such a globally acclaimed awardee, will assist in restructuring national values, as well as send a powerful message concerning the desirability of transformational leadership and a revival of productivity ethics,” it said.

Wale Igbintade
Gotdamn!!

Huyu mama anasafiri aisee!!

Hivi tokea achukue madaraka keshakaa nyumbani hata mwezi mzima bila kutoka?
 
Back
Top Bottom