Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Safari/Ziara za nje ya Nchi za Rais Samia Suluhu tangu awe Rais wa Tanzania 19 Machi, 2021

Akisoma maoni ya watz atacheka na wenzake wanaomdanganya ila hajui watu walivyo na hasira naye
 
Lucas hasara ya wanambeya kasemaje?!juu ya hili huu uzi bila chawa kutoa neno usifungwe
 
Gotdamn!!

Huyu mama anasafiri aisee!!

Hivi tokea achukue madaraka keshakaa nyumbani hata mwezi mzima bila kutoka?
Mama kakipata, anakitumia.

Nina yakini ilikuwa ndoto yake kufanya world tour, amepata fursa ya all expenses paid trip, anajiachia tu.
 
Yaani January mpaka March sijui kaishapiga ruti ngapi.
Nigeria nako ameenda kitafuta malisho ya wananchi ama?

Kwa nibi hatulii nyumbani hata mwezi mmoja, sasa hizo kero atatua lini kama alivyoahidi?

Gharama za misafara yake yote ina tija kwetu?
View attachment 2925657
Mkuu Shujaa Mwendazake , msitake kuleta mambo ya mwendazake hapa, atulie nyumbani kufanya nini?. Kila trip ina manufaa makubwa kwa nchi, mfano leo, Rais Samia ndie Mgeni rasmi.
Ukifanya a quick comparative analysis ya Rais Samia, kati ya kuhudhuria tukio hili na kuhudhuria UNGA, utakuta kuhudhuria tukio hili kuna carries more mileage.
Lagos , Nigeria

Tuzo ya Obafemi Awolowo


Tinubu, Tanzanian President, Others to Grace 2023 Obafemi Awolowo Prize for Leadership​



The event will be chaired by the president of Tanzania, Samia Hassan
President Bola Tinubu, and his Tanzanian counterpart, President Samia Hassan have been listed among dignitaries expected at the 2023 Obafemi Awolowo Prize for leadership award scheduled for Wednesday, March 6, 2024.

Other dignitaries expected at the event are former heads of state from within and outside Nigeria, state governors, royal fathers and other distinguished Nigerians.

A statement issued by the Executive Director of the Foundation, Dr. Awolowo Dosumu said the event will be chaired by President Samia Hassan of Tanzania.

The president of the African Development Bank (AfDB), Dr. Akinwumi Adesina, will receive the distinguished Obafemi Awolowo Prize for Leadership 2023.

The award is an initiative of the Obafemi Awolowo Foundation set up in April 1992 to serve as the custodian of Chief Awolowo’s intellectual and leadership legacy.

The statement added that: “The Foundation, following a rigorous selection process by a panel of eminent Nigerians, announced in December 2023 that Dr Akinwumi Adesina, CON (President of the African Development Bank) had been picked as winner of the prize.

“The actual presentation of the prize, which consists of a plaque, medal and the certificate of award, will be made at a ceremony expected to draw a wide array of distinguished Nigerian and global exemplars on the 6th of March, beginning from 11am.

“ Adesina, winner of the 2023 Leadership prize, will deliver a lecture at that occasion. Special performances, musical celebration, goodwill messages, as well as video documentaries on Chief Obafemi Awolowo, Dr Adesina and the Foundation, which was set up in 1992 to preserve Awo’’s intellectual legacy, are decided features of the event.

“The documentary on Chief Obafemi Awolowo seeks to refresh the national memory concerning critical milestones in his political career with a view to teasing out, in a didactic fashion, edifying lessons for a generation groping for direction and leadership renewal,” it said.

Former Head of State and Chairman of the Board of Trustees of the Obafemi Awolowo Foundation, Gen. Yakubu Gowon, as well as Chief Emeka Anyaoku, Chairman of the eminent Selection Committee will be present at the occasion.

“The high billings of the event centre around the showcasing of the spirit of excellence and outstanding leadership attributes for which Chief Obafemi Awolowo was renowned. The event is also expected to encourage the dignity of labour and sign post the culture of productivity,” it stressed.

It said the idea of the leadership prize derives from the special dialogue of the Obafemi Awolowo Foundation held in July 2011 with the theme, “Transformational Leadership and Good Governance: Lessons from the Awolowo Example”.

It said that it was observed on that occasion that one of the greatest challenges confronting Nigeria is leadership deficit.

“It was recommended at that dialogue that an Obafemi Awolowo Prize for Leadership be instituted for the purpose of recognising excellence and benchmarking key leadership attributes associated with Chief Awolowo.

“The Foundation is gratified that Dr Akinwumi Adesina, whose nomination was unanimously made by the selection committee, headed by the globally acclaimed technocrat and diplomat, Chief Emeka Anyaoku, graciously accepted the nomination, describing it as ‘deeply personal’ and ‘a treasured recognition that will inspire (him) for the rest of (his) life’

“The March 6 2024 event seeks to mainstream and to celebrate a revered genre of outstanding contribution which at once uplifts the national soul and regales humanity.

“It is the Foundation’s hope that the prize for leadership, being made to such a globally acclaimed awardee, will assist in restructuring national values, as well as send a powerful message concerning the desirability of transformational leadership and a revival of productivity ethics,” it said.

Wale Igbintade
Angalia hoja za umuhimu wa tukio hili. It's worth it.
P
 
Kazi ya January makambah hiyo,toka apangwe waziri wa mambo ya nje,daily anampangia ruti bi kizmkaz

Lakin Yuko sahihi,manake hata akikaa nchin Hakuna afanyalo,anaishia kuboeka tu,na kwenye mabotik na salon za kibongo hawez kwenda,so hiyo no njia moja wapo ya yeye kufanya shopping.

Mie ni mwanamke Ila siafiki aje achaguliwe raisi mwanamke ever again,manake wanapewa vilaza,wanawake smart,intelligent,wenye mission na vision,hawapewi hizo nafasi ,hata kwenye maofisi ya Umma ni ushahidi tosha.Smart women hawapewi nafasi za uongozi Tanzania,unless avuliwe kyup😢😢
 
Mkuu Shujaa Mwendazake , msitake kuleta mambo ya mwendazake hapa, atulie nyumbani kufanya nini?. Kila trip ina manufaa makubwa kwa nchi, mfano leo, Rais Samia ndie Mgeni rasmi.
Ukifanya a quick comparative analysis ya Rais Samia, kati ya kuhudhuria tukio hili na kuhudhuria UNGA, utakuta kuhudhuria tukio hili kuna carries more mileage.

Angalia hoja za umuhimu wa tukio hili. It's worth it.
P
Chawa kazini
 
Back
Top Bottom