GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.
Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.
Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao (tena hadi Jikoni Kwao kabisa) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.
Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.
Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.
Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao (tena hadi Jikoni Kwao kabisa) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.
Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.