Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.

Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.

Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao (tena hadi Jikoni Kwao kabisa) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.

Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.
 
Mbona mwepesi tu huyo? Asijaribu kuisumbua nchi kubwa jirani yake iliyopo mashariki yake cha moto atakiona, asubuhi tu nchi yake itazingirwa pande zote na kuachiwa upande mmoja wa kukimbia nchi. Anachezea nchi kubwa jirani yake isiyo na organisation kimedani
 
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.

Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.

Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao ( tena hadi Jikoni Kwao kabisa ) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.

Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.
Kama nimekupata vzr umetusaidia haja ya kufanya vetting ya kufa mtu.

Asante
 
Mbona mwepesi tu huyo? Asijaribu kuisumbua nchi kubwa jirani yake iliyopo mashariki yake cha moto atakiona, asubuhi tu nchi yake itazingirwa pande zote na kuachiwa upande mmoja wa kukimbia nchi. Anachezea nchi kubwa jirani yake isiyo na organisation kimedani
Halafu mbona Kuna ka Ukraine na urusi hapa east Africa?

Intelligences inasemaje
 
Kama nimekupata vzr umetusaidia haja ya kufanya vetting ya kufa mtu.

Asante
Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.

Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.

Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.

Nimemaliza.
 
Halafu mbona Kuna ka Ukraine na urusi hapa east Africa?

Intelligence ya Kigali na Dodoma zinashida ipi. Kagame na Samia wanamgogoro gani.View attachment 2299415
Mnavyomsaidia Rais wa Congo DR ( tena Kimedani ) pamoja na Kupenyeza Watu wenu wa Idara Kuisoma Rwanda Kijasusi ( Kinjagu ) mnadhani hatujui au hatupati Taarifa? Mnajiona Wajanja na mna Akili wakati ni Kinyume chake.
 
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.

Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.

Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao ( tena hadi Jikoni Kwao kabisa ) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.

Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.
Jamaa kwa fake news hajambo, watu wako busy na maswala ya kiuchumi zaidi, inabidi uchongewe sanamu la mtu muongo zaidi Jf.
Unajua kubuni uongo unaofanana na mazingira!
 
Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali.

Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una Mtambo wa Mawasiliano hata wa kujua Van Dame na Rambo wao anafanya nini au yule Mwingine Mstaafu anakunywa Saa ngapi Dawa zake za Tezi Dume.

Yaani wamesahau kuwa hata huko Kwao ( tena hadi Jikoni Kwao kabisa ) una Watu wako very Loyal, Patriotic and Committed ambao 24/7 wanakupa Classified Information ya nini Wanachokilenga Kwako.

Ndiyo maana nakupenda sana Rais wangu Paul Kagame. Haya wahangaike sasa na Premier uliyemtuma Kukuwakilisha huku ukiendelea kumpelekea tu Moto huyo Mkata Viuno Afrika hadi 75% ya nchi yake na Rasilimali zake ziwe part and parcel za Republic of Rwanda.

Praising a skeleton, from a country of sick people midoli yenye kwashakoo. Voltures nusu watu nusu misukule isiyo na upendo, akili wala utu ndio maana iliuana in numbers of millions. Ardhi iliyolaaniwa isiyo hata na punje ya madini nchi ambayo raia wake ni wakimbizi kila kona ya bara la Africa hawa ndio unawasifia ?! Unadhihisha maradhi yenu ya akili.
 
Mnavyomsaidia Rais wa Congo DR ( tena Kimedani ) pamoja na Kupenyeza Watu wenu wa Idara Kuisoma Rwanda Kijasusi ( Kinjagu ) mnadhani hatujui au hatupati Taarifa? Mnajiona Wajanja na mna Akili wakati ni Kinyume chake.
Hako kanchi unakokasifia kikiamuliwa kufutwa kanafutwa within a second, lakini yote haya ya nini?
 
Back
Top Bottom