Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
UN ikiwapa kisogo mmeisha.Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.
Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.
Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.
Nimemaliza.
sio kwa kuua waafrika wenzetuNikitafakali kwa kina Sana nakubaliana na kagame,ni heri Mali ya DRC na yy afaidi ,kuliko wafaidi wazungu ambao sio bara lao na sio wa Africa,wao DRC wameshindwa kuzilinda zisipolwe na wazungu ,wanahangaika na ndg Yao kagame!!
ndoto za asubuiMmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.
Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.
Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.
Nimemaliza.
hahahaaaaHaya ndg tumekuelewa sasa kanywe nae chai
hahahaaaakhadija kopa wa Jamii Forums.
Umenikumbusha ya Urusi na Ukraine... daah! vita hadi muda huu naandika meseji hii,inaendelea tu,jamani,ni hatari sana.Anasifiwa sana lakini ni ushabiki. PK wa kawaida tu..Wakimchoka atakuwa kama Jonas Savimbi.
Acha ujinga we jamaa si uende huko Rwanda popoma mkubwaMmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.
Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.
Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.
Nimemaliza.
Poleni kwa Kumkosa. Mtegeni wa Burundi yule Zuzu mnayemmudu na kumfanya mtakavyo, ila siyo kwa 'Genius' wa Rwanda sawa?Haya ndg tumekuelewa sasa kanywe nae chai
Genius kwa kuibia DRC.Poleni kwa Kumkosa. Mtegeni wa Burundi yule Zuzu mnayemmudu na kumfanya mtakavyo, ila siyo kwa Genius wa Rwanda sawa?
Na Watu 'very Genius' hivyo ndivyo walivyo. Najivunia hizi Sifa zangu ulizonitunuku nazo hapa.Jamaa kwa fake news hajambo, watu wako busy na maswala ya kiuchumi zaidi, inabidi uchongewe sanamu la mtu muongo zaidi Jf.
Unajua kubuni uongo unaofanana na mazingira!
Tuchokozeni ili mkione cha Mtema Kuni.Praising a skeleton, from a country of sick people midoli yenye kwashakoo. Voltures nusu watu nusu misukule isiyo na upendo, akili wala utu ndio maana iliuana in numbers of millions. Ardhi iliyolaaniwa isiyo hata na punje ya madini nchi ambayo raia wake ni wakimbizi kila kona ya bara la Africa hawa ndio unawasifia ?! Unadhihisha maradhi yenu ya akili.
Unajua Pl ni best na jirani yangu mkubwa sana alipokuwa akiishi na RANGE ROVER YAKE NYEUSI. /Tuchokozeni ili mkione cha Mtema Kuni.
Hivi huwa unapata wasaa wa kujisikiliza?Mmeshachelewa kwani wapo ( tupo ) huko Kwenu ( tena maeneo very Strategic and Sensitive ) kabla na hata baada ya 1994 Rwanda Genocide.
Udhaifu wenu wa Akili unatusaidia Kujipenyeza Kiurahisi na kuyajua mengi na pia Kujipanga vyema jinsi ya Kujilinda nanyi na Kuwakabili kama mkilianzisha nasi.
Na Nawaonya msije mkathubutu kwani hamtoamini pamoja na Udogo wetu wa Kijiografia na msisahau kuwa Rwanda ndiyo Israel ya East Africa Community.
Nimemaliza.
Mtema kuni ya nyoko !?, hapo makambi ya Benako wakimbizi wa kiNyarwanda wanashindia kwa kula biskuti na juice hebu kawahudumie (if you can even do that, mkimbizi mwenzao) kwanza achana na kutishia Simba wakati wewe ni Sungura mgonjwa. Taifa la wakimbizi mnaitishia Tanzania inayotunza wakimbizi wenu, you must be very stupid to think you can stand against us.Tuchokozeni ili mkione cha Mtema Kuni.
Na Watu 'very Genius' hivyo ndivyo walivyo. Najivunia hizi Sifa zangu ulizonitunuku nazo hapa.
Poleni kwa Kumkosa 'Genius' wa Rwanda katika 'Tego' lenu la Jana kule Geneva ya Afrika.
Nakwambia hako ka wilaya ka Rwanda tunakapoteza kwenye uso wa Dunia in a day.