Safina ya Nuhu ilibeba viumbe hai zaidi ya Milioni Saba. Hakuna Teknolojia ya namna hii kuja kutokea namna hii

Safina ya Nuhu ilibeba viumbe hai zaidi ya Milioni Saba. Hakuna Teknolojia ya namna hii kuja kutokea namna hii

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu..

Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba

mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo!

Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo wa kubeba watu laki moja duniani..

Mungu ni Mkubwa kwa kweli..
Jina la Bwana Lihimidiwe
 
Kabla ya Wayahudi ku copy and paste hekaya hii wakibadili majina iliandikwa miaka elfu tatu kabla Mesopotamia kwenye kinachoitwa Tales of Gilgamesh
 
Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu..

Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba

mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo!

Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo wa kubeba watu laki moja duniani..

Mungu ni Mkubwa kwa kweli..
Jina la Bwana Lihimidiwe
Hii tulipigwa mkuu kubali ukatae. Nyoka hawezi kukaa na siafu ama siafu akae na wanyama haiwezi tokea hata siku moja au na siafu nao walikuwa2 me na ke? UONGO
 
Hiyo story ilikuwa literal au figuratively?
 
Sawa na safari ya miaka,.......... mingi kutoka misri kwenda kananan umbali wa km mia sits na ushee
 
Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu..

Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba

mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo!

Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo wa kubeba watu laki moja duniani..

Mungu ni Mkubwa kwa kweli..
Jina la Bwana Lihimidiwe
Maandiko ya bablia Yana code ngumu sana sio rahisi kila mtu kuelewa kwa mtu unaesoma biblia ni rahisi sana kuelewa

Elewa hivi maandiko yameandikwa Nuhu alibeba wanyama wote akawapakia wote kwenye safina lakini kwa lugha rahisi ni kwamba Nuhu alikuwa akisombelea wanyama kwa trip hakubeba wanyama wote kwa pamoja
 
Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu..

Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba

mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo!

Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo wa kubeba watu laki moja duniani..

Mungu ni Mkubwa kwa kweli..
Jina la Bwana Lihimidiwe
Wapinga Kristo watakwambia tupia picha ya Nuhu akiwa chomboni.
 
Nuhu aliishi upande gani wa dunia ambapo kulipatikana wanyama aina zote duniani?
 
Kangaroo kutoka Australia walifikaje Mashariki ya kati?
 
Wanyama na wadudu wengine jau tu sasa kwa mfano black mamba aliwabeba wa nini kama sio kiherehere?
 
Back
Top Bottom