Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Mkuu hii sio ramli chonganishi?



Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni[/QUOTE]
 
Mkuu katika hili la matamko yanayo kinzana na serikali vipi mtoto mpendwa atapona.
 
. Ukuu wa mkoa
Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda afukuzwe kazi ili kuiokoa serikali hii ya chama cha mapinduzi huyu jamaa anaizamisha meli yetu kwa kutumia tindo na nyundo kama ilivyo ile nembo ya kwenye be ndera.
 
Kama safisha safisha inakuja sasa ile Singo ya kutumbua majipu, wafanyakazi hewa, mishahara hewa na vyeti fake miaka 3 tuiite Chafua Chafua.?
Jamani hata kukamua jipu au kutumbua jipu kunahitaji utaalamu! Hivi ukimwona nesi anakuosha kidonda au anakukamua jipu unafikiri hakusomea?
 
Mimi sijaona mahali kanyanyasa Mtu, zaidi tu ya lile tukio la kumwambia yule Mama "huwezi kunijibu mimi hivyo"
Mpakahapo ushaji contradict tayari.

Hujaona au umeona?
 
Hahaha,

Umeona eeh?

Wasituletee mazingaombwe ya shule ya msingi, karata tatu,cheusi, chekundu,uki blink umeliwa.
Wakitaka twende sawa waanze na huyo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…