Mimi nilizaliwa nimechafuka tayari.mkuu kaa mbali na mavi ya mbwa utachafuka
Hahahaha LOLHahaaaaa na wananchi wanasubiria kwa hamu na Raisi atawaacha tu hso
Naww mkuu wa idara??mazaaaa
kumbe! mpe mpeMimi nilizaliwa nimechafuka tayari.
Nacheza pande zote wakitaka kutupiana mavi ya mbwa nitawatupia mpaka mavi ya mbwai.
Uzuri wangu sishobokei sifa wala kuogopalawama.
Natakakuwa huru mimi kama mimi.
Kwa hiyo nakusihisana usinipandishe juu kwamba Kiranga hawezi ligi za kutukanana.
I will **** someone up really bad with mere words mpaka ajisikie kama amepigwa na daflao la radi ya kutumwa.
why not!Naww mkuu wa idara??
Sawasawawhy not!
Kichwa chake ndo kinatakiwa kuliko kitu chochote kile, bila kumgusa huyu afadhali aache kutumbuaKama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Nashangaa kuna watu wanamshobokea.Kichwa chake ndo kinatakiwa kuliko kitu chochote kile, bila kumgusa huyu afadhali aache kutumbua
Yaani hakuna ufanisi kwa kweli yaani we kazii kubadilishaaaa tuuuuuNaona uongozi wake yeye kaamua uwe wa kuteua na kutengua.
Tuishachoka hiyo style aje na mpya
Kwa system hiii maendeleo ya viwanda atasikiaa kwa watuHuyu alipigwa makonzi sana alivyokuwa mdogo.
Kakua, kapata cheo, anaona kutesa watu ni haki yake sasa, kutesa kwa zamu, na hii ni zamu yake.
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
una ripoti ya ease of doing business imetoka.Kwa system hiii maendeleo ya viwanda atasikiaa kwa watu
Si kwamba umezipata sehemu,wewe umo ndani ya hiyo nyumba nyeupe,na wamekusomesha wao na hata North Korea walikupeleka wao,mkuu mbona unataka kutufanya watoto?Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia
1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,
Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,
Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,
Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Akiguswa?Kama Bashite hajaguswa hayo yote maigizo tu.
Siyo “waongezewe mikia?” “Na ukinibeep tu nakupigia, and let me make one thing clear, blah blah blah staki kusikia...”Ma RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Mpya ni kama mtu flani hivi akitumbuliwaNaona uongozi wake yeye kaamua uwe wa kuteua na kutengua.
Tuishachoka hiyo style aje na mpya
Lakini ripoti ya Wizara ya fedha na mipango ya Ndugu Mpango - kama sikuisoma kwa makengeza - inasema uchumi wa Tanzania ni miongoni mwa the 7 fastest growing economies in the world, na wa kwanza katika Afrika ya Mashariki kwa kiwango cha 7.something, ukifuatiwa na wa Kenya 5. sth. Tutembee vifua mbele. Hapa Kazi tu.una ripoti ya ease of doing business imetoka.
Kenya na Rwanda wamepiga hatua mbele, sisi tunarudi nyuma.
hamna kitu mkuuTukae mkao wa kula