Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

mkuu kaa mbali na mavi ya mbwa utachafuka
Mimi nilizaliwa nimechafuka tayari.

Nacheza pande zote wakitaka kutupiana mavi ya mbwa nitawatupia mpaka mavi ya mbwai.

Uzuri wangu sishobokei sifa wala kuogopalawama.

Natakakuwa huru mimi kama mimi.

Kwa hiyo nakusihisana usinipandishe juu kwamba Kiranga hawezi ligi za kutukanana.

I will fu.ck someone up really bad with mere words mpaka ajisikie kama amepigwa na daflao la radi ya kutumwa.
 
kumbe! mpe mpe
 
Uchumi wa KATI
 
Si kwamba umezipata sehemu,wewe umo ndani ya hiyo nyumba nyeupe,na wamekusomesha wao na hata North Korea walikupeleka wao,mkuu mbona unataka kutufanya watoto?
 
Huyu Msemaji mkuu wa Serikali pia aondoke sioni kazi yake zaidi ya kula mshahara bila kazi yoyote. Tunaye Waziri wa Habari utangazaji na michezo,tena anaye Naibu. Huko Serikalini na hata vyamani kila idara ina msemaji wake, kuanzia ikulu kuna msemaji hadi Lumumba kuna msemaji wa chama. Lakini hiyo pia haitoshi viongozi wa kila idara hujisemea mambo yao wenyewe, Tuna muona rais akiongea, mawaziri wakiongea, sasa Yeye huyo msemaji mkuu wa serikali anafanya nini au anamsemea nani huko serikalini? kama tunasafisha nayeye aondoke, labda akasaidie kufundisha hata DSJ pale itapendeza.
 
Ma RC na ma DC wameota sana mapembe inabidi yakatwe
Siyo “waongezewe mikia?” “Na ukinibeep tu nakupigia, and let me make one thing clear, blah blah blah staki kusikia...”

Malizia hapo kwenye majina😀
 
una ripoti ya ease of doing business imetoka.

Kenya na Rwanda wamepiga hatua mbele, sisi tunarudi nyuma.
Lakini ripoti ya Wizara ya fedha na mipango ya Ndugu Mpango - kama sikuisoma kwa makengeza - inasema uchumi wa Tanzania ni miongoni mwa the 7 fastest growing economies in the world, na wa kwanza katika Afrika ya Mashariki kwa kiwango cha 7.something, ukifuatiwa na wa Kenya 5. sth. Tutembee vifua mbele. Hapa Kazi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…