Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Tetesi: Safisha safisha yaanza serikalini na idara zake

Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Hakuna anayemwangusha ni yeye mwenyewe kwa kiburi na jeuri yake na kutoamini hata wasaidizi wake. Tunahitaji kufunga na kuomba Mungu atuondolee balaa hili
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Chai hii

Guesswork to say the least
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni

Mkuu nyoosha tu maneno kuwa serikali ya awamu ya tano mambo hayaendi pamoja na kufanya mambo mengi kwa mabavu,hata wa overhaul the whole system haitasaidia things are falling apart
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni


Hayo ndo MAENDELEO YA VI-WONDERs....!!!
Watapukutika sana.....!!Tulimchagua wenyewe, tuimpenda wenyewe.....acha atupukutishe Magufuli ni mbele kwa mbele.Mbona tutanyooka..Hatari sana!!!
 
Mimi uwa najiuliza ilikuwaje walio kuwa wakurugenzi wazuri wa halmashauri kama yule aliyekuwa wa muleba kipindi cha jk akateuliwa kuwa mkuu wa wilaya ileje kipindi cha magufuri kwakweli sijawai kuelewa ile ni dimotion au ndo kupanda cheo yote kwa yote ila kwenye huu utawala wakurugenzi wengi wazuri sijui wamepelekwa wapi?
 
Ninezipata sehemu
Kufuatia watu kumwangusha mkuu kwa sekta mbali mbali kuanzia

1.Ubalozi
2. Uwaziri
3. Ukatibu Mkuu
4. Ukuu wa mkoa
5. Ukuu wa wilaya,

Sekta hizo zitaguswa sana, watapukutika watu kibao, tunaanza na kanda ya hapo juu kuna wawili wanalazimika kukalishwa chini,

Hii imetokana na yafuatayo
Matamko yanayokinzana na serikali,
Matamko yanayodhihaki na kudhalilisha wengine
Utendaji mbovu unaokwamisha serikali ya viwanda,
Yaan Ole wako uwe umeshawashiwa indicator na msemaji fulani mwenye magazeti yake,

Stay tuned mwingine anaondoka kesho jioni
Tuletee na updates nyingine mkuu.
 
hii in staili ya uongozi inaitwa kitaalam uptrend and downtrend reversal mi mwenyewe naikubali kinyama
 
Back
Top Bottom