Mtu kama Halima Mdee na Heche kamwe hawamo kwenye mipango ya Tundu LissuHii combination hata CCM wanaomba isitokee. Sina haja ya kuandika wasifu wao kwa kirefu maana sifa zao zinajulikana, Lissu hakopeshi, Heche jasiri, Lema akikifia chama na hana bei, Mnyika anakijua chama tangu chuoni. Mbowe awe mlezi wa chama kama alivyo Mtei.
Unakumbuka mwaka 1995 enzi za Mrema?? Unakumbuka mwaka 2015 enzi za Lowassa??..Hii combination hata CCM wanaomba isitokee. Sina haja ya kuandika wasifu wao kwa kirefu maana sifa zao zinajulikana, Lissu hakopeshi, Heche jasiri, Lema akikifia chama na hana bei, Mnyika anakijua chama tangu chuoni. Mbowe awe mlezi wa chama kama alivyo Mtei.
Halima tenaMtu kama Halima Mdee na Heche kamwe hawamo kwenye mipango ya Tundu Lissu
Nakumbuka Mrema alipofukuzwa bungeni akaja moja kwa moja kuhutubia Mnazimmoja nilikuwepo.Unakumbuka mwaka 1995 enzi za Mrema?? Unakumbuka mwaka 2015 enzi za Lowassa??..
Hivi Wassira yuko wapi.Chadema inazikwa wewe amka 😂😂
Yupo, na 2025 Wassira analitaka tena jimbo la Bunda.Hivi Wassira yuko wapi.
Waliokuwa na uwezo mkubwa wa kushuka chini kwenye grassroots ni Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe. Hawa ndio walikuwa real stratergist wa CHADEMA. Baada ya kutoka wao huoni tena hata maandamano ya Chadema yakiwa na mantiki.Mkuu siasa za nchi hii sio rahisi kihivyo, kati ya hawa wote hapa hakuna strategist(mwanamikakati) au mtu anayeweza kujenga grassroots network.
Tupe safu yako, kitendea kazi cha mwanasiasa ni mdomo wataalamu wapo nyuma ya pazia ofisini.Mkuu siasa za nchi hii sio rahisi kihivyo, kati ya hawa wote hapa hakuna strategist(mwanamikakati) au mtu anayeweza kujenga grassroots network.
Zitto yupo ACT mbona hajaishua kwenye grassroots.Waliokuwa na uwezo mkubwa wa kushuka chini kwenye grassroots ni Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe. Hawa ndio walikuwa real stratergist wa CHADEMA. Baada ya kutoka wao huoni tena hata maandamano ya Chadema yakiwa na mantiki.
Wenyeviti wa vyama vya siasa wote hao wanapigania Matumbo yao mkuu wangu. Wewe pigania Tanzania na sio chama cha siasa..Nakumbuka Mrema alipofukuzwa bungeni akaja moja kwa moja kuhutubia Mnazimmoja nilikuwepo.
Kuna kiongozi asiyepigania tumbo lake hata Samia anapigania tumbo lake ndio maana mbali ya mshahara wake kakubali kupewa milioni 60 za fadhila kila mwezi.Wenyeviti wa vyama vya siasa wote hao wanapigania Matumbo yao mkuu wangu. Wewe pigania Tanzania na sio chama cha siasa..
Nimesema wenyeviti wa vyama vyama vya siasa. Au haujaelewa??Kuna kiongozi asiyepigania tumbo lake hata Samia anapigania tumbo lake ndio maana mbali ya mshahara wake kakubali kupewa milioni 60 za fadhila kila mwezi.
Na mimi nikasema hakuna kiongozi yeyote awe wa chama au wa serikali asiyepigania tumbo lake.Nimesema wenyeviti wa vyama vyama vya siasa. Au haujaelewa??