Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NB: Usije ukakimbia uzi wako na kuanza visingizio ooh mmebahatisha, mmebebwa, sijui mara ooh hii sio Mamelodi tunayoijua...Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Na aseme mapemaa kama wale jamaa ni wabovu au siyo wabovuNB: Usije ukakimbia uzi wako na kuanza visingizio ooh mmebahatisha, mmebebwa, sijui mara ooh hii sio Mamelodi tunayoijua...
Muda mwalimu mzuri
WachungajiMchawi mkuu wa Tanzania kaongea nani wa kubisha.
Tushawachoka na NYIE subirin mechi KILA kukicha misri Pretoria woiiiMapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
kwa maoni na mtazamo wangu, na hasa ukiangalia ukubwa na upana wa vikosi vyetu vya Simba na Yanga..... Cairo inawezekana kabisa kumshinda farao, Lakini pia na Pretoria inawezekana zaidi masandawana akakalishwa chini bila mbambamba wala tashwishwi yoyote 🐒Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Naitunza hii risitiMapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Ijumaa sio mbaliNaitunza hii risiti
Kama umechoka wahi leba kenge wwTushawachoka na NYIE subirin mechi KILA kukicha misri Pretoria woiii
Unataka likitokea useme ulijua na ulisema mapema?Mapacha wana hali ngumu japo mashabiki wana imani watafuzu. Tusahau kuhusu kufuzu, hakuna timu yoyote ya kariakoo iyakayopata goli huko Cairo au Pretoria! Uzuri Ijumaa sio mbali…
Nyie msha jikatia tamaa msituweke kwenye kundi lenuNAKAZIA. Ukweli mchungu
😃😃 hapa kwako tu ulikuwa unaogopa kufuata mpiraNyie msha jikatia tamaa msituweke kwenye kundi lenu