Kwa ile hali ya hewa ya Dodoma hata iwe na ghorofa kama za Dubai tayari imeshapoteza sifa za kulinganishwa na Arusha au Mwanza. Yaani mji utadhani chini ya Ardhi kuna watu wamewasha Moto, juu napo unakutana na Vumbi la ajabu, hata jua nalo sijui limeshukaPoint zote za juu ni kanjanja. Bora ungebaki na ile hali ya hewa na foreign community katika jiji ilo.
Ukweli kaskazini mmejaliwa hali ya hewa nzuri. Arusha wakae makini dom ikiendelea kuwezeshwa itamkuta hapo.
Jiji bora litabaki dar, mwanza
Kwa ile hali ya hewa ya Dodoma hata iwe na ghorofa kama za Dubai tayari imeshapoteza sifa za kulinganishwa na Arusha au Mwanza. Yaani mji utadhani chini ya Ardhi kuna watu wamewasha Moto, juu napo unakutana na Vumbi la ajabu, hata jua nalo sijui limeshuka
Ni mtazamo potofu mno.Ni jiji la kitalii
Ni jiji la kitalii
Ila kwa kweli Dodoma bado sana kuilinganisha na Arusha. Labda wivu wa watu tu. Arusha hailinganishwi na Mbeya, Tanga na hata Mwanza.Kwa vitu vingi ilhali hadi hoteli wajengewe na serikali 🤣
Hebu nitumie picha ya juu ya dodoma kama hio
Dodoma ni mji wa kiserikali mkuu lazima upangwe na ndio maana serikali wanajiwekeza sana
Ila when it comes to private investments haiwezi nusa hata pua kwa Arusha
Alafu kama mama anawakacha kiaina huo mji wenu wa mchongo 🤣🤣
FactMwanza haina uzuri na sifa xa Arusha
wivu tatizo wanadhani wakisifia watakua ni weak kusifia ndio ishara halisi ya strength ndo maana wageni kutoka nje wakija kwetu wanafurahia walichokikuta ila hawa wenzetu wanajua Arusha iko mbali sana wanaona wakisifia watakua inferior na hio ndio inaitwa inferiority Complex hasa😢Ila kwa kweli Dodoma bado sana kuilinganisha na Arusha. Labda wivu wa watu tu. Arusha hailinganishwi na Mbeya, Tanga na hata Mwanza.
hao wanaosema vibaya Arusha ni wahuni tu ambao hata hela ya kutembea kuja Arusha hawana🤣Ni mtazamo potofu mno.
Nimejifunza kuwa karibu nchi nzima wanaiogopa Arusha bila sababu yoyote.
Nimeishi Arusha more than 10yrs na sijawahi ona ukatili unaozidi mikoa mingine.
Ni sehemu ndogo yenye wahuni mfano Unga ltd na Ngarenaro.
But the rest of Ar. watu wako peace sana, ni wakarimu na wanapenda wageni mno.
Note; watu wa Arusha hawapendi dharau, ukiwaletea dharau huna bahati hasa kabila la Wameru.
1. Warusha wanalaza mizigo stand ikisubiri kupelekwa sokoni hasa wafanyabiashara za alfajiri na hakuna wa kugusa.
2. Sehemu nyingi wanaanika nguo na zinalala nje haziguswi...sio sehemu zote lkn.
3. Watu wanaheshimiana mno na hawajui utani kama watu wa Pwani, ukileta matusi na mizaha pia huna bahati.
4. Katika yote 70% ya wakazi wake wamestaarabika na wana maendeleo binafsi.
Naongea kwa uzoefu kwani kwa nature ya kazi yangu nimeishi mikoa yote.
Jiji la Arusha ndilo limestaarabika kuliko mkoa au jiji lolote Tanzania.
Naruhusu unipinge kwa hoja na uniambie wewe unalipa jiji/mkoa gani credit zaidi ya Arusha.
Nitajie na sifa zake mkuu.
Arien
Unahisi haya nayo mahaba mkuu?
ukiwaambiaga wapinge kwa hoja hapo ndio wanapoanza kukimbia kimbiaNi mtazamo potofu mno.
Nimejifunza kuwa karibu nchi nzima wanaiogopa Arusha bila sababu yoyote.
Nimeishi Arusha more than 10yrs na sijawahi ona ukatili unaozidi mikoa mingine.
Ni sehemu ndogo yenye wahuni mfano Unga ltd na Ngarenaro.
But the rest of Ar. watu wako peace sana, ni wakarimu na wanapenda wageni mno.
Note; watu wa Arusha hawapendi dharau, ukiwaletea dharau huna bahati hasa kabila la Wameru.
1. Warusha wanalaza mizigo stand ikisubiri kupelekwa sokoni hasa wafanyabiashara za alfajiri na hakuna wa kugusa.
2. Sehemu nyingi wanaanika nguo na zinalala nje haziguswi...sio sehemu zote lkn.
3. Watu wanaheshimiana mno na hawajui utani kama watu wa Pwani, ukileta matusi na mizaha pia huna bahati.
4. Katika yote 70% ya wakazi wake wamestaarabika na wana maendeleo binafsi.
Naongea kwa uzoefu kwani kwa nature ya kazi yangu nimeishi mikoa yote.
Jiji la Arusha ndilo limestaarabika kuliko mkoa au jiji lolote Tanzania.
Naruhusu unipinge kwa hoja na uniambie wewe unalipa jiji/mkoa gani credit zaidi ya Arusha.
Nitajie na sifa zake mkuu.
Arien
Unahisi haya nayo mahaba mkuu?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]umechana vibaya mno mkuuhao wanaosema vibaya Arusha ni wahuni tu ambao hata hela ya kutembea kuja Arusha hawana[emoji1787]
sasa hivi tunavoongea sheikh amri abeid pale kunaendelea mashindano ya wabunge wa nchi zote eac yani watu na wakarimu mno wabunge wanajichanganya na watu wa kawaida mno mtaani huko unakutana na wabunge wanatembea kwa miguu bila bugudha yoyote
lakini utashangaa mtu anasema Arusha ni ya kikatili lakini mkoa anaotoka ndio unaongoza kuuwa albino na vikongwe sad[emoji22]
Mkuu Arusha sawa ni mji mzuri! Ila kuhusu watu kuja kutembea arusha issue ya hela sio tija! Unataka waje kufanya ni I Arusha? Halafu ujie hela ipo popote pale ila sema nyie mnatabia za kishamba za kuvimba kisa una milioni mbili mfukoni! Nenda hata njombe au kahama utaniambia vijana gani wana hela arusha kuzidi wa kahama au njombe!hao wanaosema vibaya Arusha ni wahuni tu ambao hata hela ya kutembea kuja Arusha hawana🤣
sasa hivi tunavoongea sheikh amri abeid pale kunaendelea mashindano ya wabunge wa nchi zote eac yani watu na wakarimu mno wabunge wanajichanganya na watu wa kawaida mno mtaani huko unakutana na wabunge wanatembea kwa miguu bila bugudha yoyote
lakini utashangaa mtu anasema Arusha ni ya kikatili lakini mkoa anaotoka ndio unaongoza kuuwa albino na vikongwe sad😢
Msijidanganye,Mwanza sio level ya Arusha.akikutumia hio picha nitag[emoji1787][emoji1787]
Umezungumzia Jiji ama Mkoa?ngoja nikusaidie
kwanza muundo wa Arusha dodoma au nairobi ni tofauti na mwanza
Arusha kuna barabara zaidi ya 6 za kutoka mjini wakati mwanza ni mbili tu kwa maana ya usagara na ile ya kisesa
hujasemea barabara ya Arusha hadi kia km 50 ni lami
kuna Nairobi road ni lami hadi namanga
kuna dodoma road ni lami hadi babati
kuna bypass km 42 zote ni lami kuna barabara ya chekereni hadi usa km 25 zote ni lami
sasa tukija kwa hapo Morombo unapopasemea ile barabara ipo chini ya tanroads ambayo inaenda simanjiro hadi dodoma na jiji halina mamlaka ya kuitengeneza
lakini bado hiyo barabara ya vumbi inaenda km 1.3 tu kabla hujafika barabara ya east africa ambayo nayo ni lami
haya kutoka hapo hapo Morombo kuna barabara ya kwenda dampo nayo ni lami kutoka dampo tena wamejenga kuonganisha na barabara ya east africa nayo tena ni lami
Stendi kuu mpya ya mabasi ya nyamhongolo ilemela Mwanza....Fact
kila mtu anayejielewa lazima atakubaliana na mada hapo juu
Arusha iko mb
wivu tatizo wanadhani wakisifia watakua ni weak kusifia ndio ishara halisi ya strength ndo maana wageni kutoka nje wakija kwetu wanafurahia walichokikuta ila hawa wenzetu wanajua Arusha iko mbali sana wanaona wakisifia watakua inferior na hio ndio inaitwa inferiority Complex hasa[emoji22]
Hata Dubai ilikuwa na hali mbaya zaidi ya Dom ila leo ni tamu kuliko Dar au Nairobi..Kwa ile hali ya hewa ya Dodoma hata iwe na ghorofa kama za Dubai tayari imeshapoteza sifa za kulinganishwa na Arusha au Mwanza. Yaani mji utadhani chini ya Ardhi kuna watu wamewasha Moto, juu napo unakutana na Vumbi la ajabu, hata jua nalo sijui limeshuka
Viwango vyote kama vipi? Mwanza si inaizidi Arusha kwa slums na poor people au kuna kingine?Msijidanganye,Mwanza sio level ya Arusha.
Arusha ipo chini sana katika viwango vyote kulinganisha na Mwanza na hata Dodoma kwa sasa.
Miji mingine inakuwa lakini Arusha imebaki kama ilivyo miaka 10 iliyopita.
Poor Arusha na viongozi wake
Stand mpya ya Arusha inajengwa mwakani kwenye mradi wa Tactic,kwa hiyo stand sio kitu cha kulingia.Stendi kuu mpya ya mabasi ya nyamhongolo ilemela Mwanza....
View attachment 2040729View attachment 2040730View attachment 2040731View attachment 2040732View attachment 2040734
Nyegezi bus stand ujenzi unaendelea pia....Stand mpya ya Arusha inajengwa mwakani kwenye mradi wa Tactic,kwa hiyo stand sio kitu cha kulingia.