The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Umesahau viwanda,huduma za jamii za world class kama taasisi za elimu na taasisi za kimataifa,shule nk nk ..Arusha ina Mahotel ya maana, ina majengo makubwa ya biashara, ina barabara nzuri, Arusha-Moshi/Nairobi, Arusha-Babati -Dodoma na Barabara ya By-Pass ni barabara bora kabisa kwa sasa hapa nchini. Na sijaona mji mwingine ambao barabara za mitaa zina lami kwa Arusha.
[emoji23][emoji23][emoji23]Umesahau viwanda,huduma za jamii za world class kama taasisi za elimu na taasisi za kimataifa,shule nk nk ..
Kifupi Arusha iko level za Switzerland huko.
La pili Kwa kukusanya watu maskini kwenye slums nothing else..Wanajidanganya na ka arushakao. Ni aibu na fedheha kujilinganisha na jiji la mwanza, ambalo ni la pili kwa ukubwa Tanzania baada ya daslama
Bro Mji wa Dodoma unategemea zaidi local sources ktk maendeleo. Lakini Dar , Mwanza na Arusha wana Local sources and Foreign sources kiserikali na individuals .Hata Dubai ilikuwa na hali mbaya zaidi ya Dom ila leo ni tamu kuliko Dar au Nairobi..
Ni hivi Dom itawakimbiza Sana hizo Jiji uchwara.By 2030 Dom ndio itakuwa second City baada ya Dar kwa kila kitu.
Dodoma is the City in the makingBro Mji wa Dodoma unategemea zaidi local sources ktk maendeleo. Lakini Dar , Mwanza na Arusha wana Local sources and Foreign sources kiserikali na individuals .
Kama na hili UTAGOMA kuelewa basi utakuwa tu ni ushabiki wa Simba na Yanga
Halafu acha kulinganisha hali ya Dubai na Dom. Ni kweli Dubai joto lipo lakini sio la chini ya ardhi kama Dom. Joto lao ni la Baharini ndio maana hata MTU anatakata na kunawiri. Sio Dom unafubaa
Upo sahihi kabisa. Wala hakuna haja ya kutupia picha. Takwimu zinasoma hivyo. Ambia wale wanaobisha wa google wapate majibu sahihi yaliyofanyiwa utafiti.Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2039251
Umesahau mlima mkubwa kama ilivyo Arusha na Mlima MeruMji usiokuwa kando ya bahari ziwa au mto mkubwa, mandhari yake hata ufanye nini hayawezi kuwa ya kuvutia.
nmeona hata nisimjibuUmesahau mlima mkubwa kama ilivyo Arusha na Mlima Meru
na umetoka kwenye mkoa unaoongoza kuua albino🤣🤣Usisahau na ile sifa yenu kuu ya kupuliza msuba + mirungi ah alafu nasikia na siku izi Kuna mishoga lundooooo huko chuga
hao watu wa hiyo kanda wanaroho ngumu sana na vikongwe maskini wanawaua 😢na umetoka kwenye mkoa unaoongoza kuua albino🤣🤣
Tukusikitikie kidogooooona umetoka kwenye mkoa unaoongoza kuua albino🤣🤣
haswaa🌺Umesahau viwanda,huduma za jamii za world class kama taasisi za elimu na taasisi za kimataifa,shule nk nk ..
Kifupi Arusha iko level za Switzerland huko.
La pili Kwa kukusanya watu maskini kwenye slums nothing else..
Mambo ya Nyamhongolo yamefuata nini kwenye uzi wa Jiji la Arusha 😡Stendi kuu mpya ya mabasi ya nyamhongolo ilemela Mwanza....
View attachment 2040729View attachment 2040730View attachment 2040731View attachment 2040732View attachment 2040734
Sio sahii,ni kimji kidogo tu tena Chenye barabara moja ya kuingilia Mjini na moja ya kutokea tu,na sehemu kubwa ya
Mji haijapangiliwa(viwanja havijapimwa)ukiacha sehemu chache km njiro