Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Jifunze kuwavumilia wenyeji wa MoshiEti jiji la mwanza wanalifananisha na kaarusha kweli!!!! Kuhusu kamoshi yani hapa ndiyo wanalinivunja mbavu haswaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti ipewe jiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787] while kahama imeendelea kuliko kamoshi but tumetulia wala ha2jicfu na kujigamba.
Nani anayemlalamikia? Uliwahi kuniona mimi nimemlalamikia? Mambo ni mazuri safi kabisa.Kumbe mambo co mabaya eti, sasa mnachomlalamikiaga huyu mama ni nini? Haya ukitoka hapa unahamia jukwaa lingine na kumlaumu mama oh hali ya maisha ni ngumu, vitu/vifaa vimepanda bei, huyu mama hafai.
π€£π€£π€£Mambo ya Nyamhongolo yamefuata nini kwenye uzi wa Jiji la Arusha π‘
awa wauwaji wa albino wanatabu sanaπ€£Sio sahii,ni kimji kidogo tu tena Chenye barabara moja ya kuingilia Mjini na moja ya kutokea tu,na sehemu kubwa ya
Mji haijapangiliwa(viwanja havijapimwa)ukiacha sehemu chache km njiro
Nani anayemlalamikia? Uliwahi kuniona mimi nimemlalamikia? Mambo ni mazuri safi kabisa.
awa wauwaji wa albino wanatabu sanaπ€£
hebu niambie iyo barabara moja ya kuingilia mjini ambayo magari kutoka dar nairobi na dodoma yanaingilia
tatizo watu wa mwanza wengi mnatoa hoja kwa mihemko mtu anasema Arusha wote ni wala mirungi hajui kule kuna masheikh na wachungaji??Hata mimi csapoti mauwaji ya albino. Haya kwa upande wenu wachagga matukio gani yanawahusu??
Mdazi popote ulipo kunywa soda ntalipatatizo watu wa mwanza wengi mnatoa hoja kwa mihemko mtu anasema Arusha wote ni wala mirungi hajui kule kuna masheikh na wachungaji??
ukijibu kwa hoja tutakujibu kwa hoja
ukitujibu kwa mihemko sisi ndio wataalamu wenyewe wa propaganda sasaπ€£π€£
Uzi wa Arusha mkiiponda mwanza???!!!Mambo ya Nyamhongolo yamefuata nini kwenye uzi wa Jiji la Arusha [emoji35]
tatizo watu wa mwanza wengi mnatoa hoja kwa mihemko mtu anasema Arusha wote ni wala mirungi hajui kule kuna masheikh na wachungaji??
ukijibu kwa hoja tutakujibu kwa hoja
ukitujibu kwa mihemko sisi ndio wataalamu wenyewe wa propaganda sasaπ€£π€£
Mwanza naijua vizuri sana na pia Arusha.Barabara ya kilimahewa to nyasaka.
Barabara ya sabasaba buswelu via kanyerere
Barabara ya kisesa usagara
Barabara ya nyakato busweru to kahama
Barabara ya iseni to sauti
Barabara ya mkuyuni butimba nk nk
Zipo barabara nyingi sana mwanza
Umenichekesha ila haifikii Mwanza kwa vijumba vingine viliivyopo kwenye vimilima vya kwenye JijiArusha kwenye barabara tu mko vizuri. Kwingine huko ushuzi m2pu. Mjini vinyumba vya kizamani bora hata ya kahama
nyumba zao hiziUmenichekesha ila haifikii Mwanza kwa vijumba vingine viliivyopo kwenye vimilima vya kwenye Jiji
ππππ
Arusha pia ndio Jiji lenye pisi kali TanzaniaNi miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.
Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.
Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania.
Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.
Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.
Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.
Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.
Bila kusahau leisure facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.
Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.
View attachment 2038839
View attachment 2038840
View attachment 2038841
View attachment 2038842
View attachment 2038843
.
View attachment 2039251
Stand mpya ya Arusha inajengwa mwakani kwenye mradi wa Tactic,kwa hiyo stand sio kitu cha kulingia.
flat labda.Arusha pia ndio Jiji lenye pisi kali Tanzania