Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kahama imeendela nn? Mji hauna plan. Kahama ni kama likijiji likubwa. Hivi nikikwambia uniambie CBD ya Kahama utaweza? Mji hata stand tu hauna unaulinganisha na moshi? Serious?
Huwa sioni ajabu kwa mchagga kusifia chake hata kama hakina kigezo ilimradi tu ajiridhishe moyo wake, ila wachache wanaelewa.