Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sahihi kusema Arusha ndio Jiji bora Tanzania?

Sheikh hawa vijana waache dharau na misifa isiyokuwepo.
Baada ya miaka miwili watakuja kutuambia babati ni zaidi ya Dubai 🤣

Kuifananisha jiji la mwanza na kijiji cha arusha ni kuikosea heshima kanda ya ziwa.
Kijiji kikubwa cha Wavuvi cha Mwanza haliwezi fikia Miji yenye hadhi kama Arusha 👇

Screenshot_20220427-215630.png


self_said_1651087470996613.jpg


____brachicca_____1648469214621_0.jpg


1645617478559.png


IMG_0155.jpg


IMG_0157.jpg


WhatsApp-Image-2021-10-05-at-5.24.13-PM-950x633.jpeg


1(12).jpg


5e9f0dd603fd9.jpeg


arusha.jpg


images (45).jpeg


20220206_115350.jpg


IMG_9581.jpg


IMG_9588.jpg


IMG_9580.jpg


FJiMI__acAIIQtS.jpeg


IMG_9599.jpg


Arusha_City_view.jpg
 
Kila siku mnatuwekea vigorofa vile vile, vimechakaa, vyakizamani,,,hapo katikati minyumba tangu enzi za mwinyi kama ckosei. Arusha bado sana kwa mwanza. Labda mujilinganishe na mikoa mingine mzehe.
😂😂😂😂 Baada ya kibinyo,tuonyeshe vigorofa vipya kutoka fishing town yenu.

Nikajua umeweka picha hata ya barabara kumbe ni maumivu 😆😆
 
Kabisa ,mimi mwenyewe Nyumbani kwangu ukija hutotamani kuondoka
Well maintained attractive place

Arusha ndio number 1kwa sasa Tz

Tungekuwa na Bandari hii nchi ingekuwa
Mji mmoja Kama huko Canada TORONTO 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.

Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.

Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.

Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.

Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela

Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.

Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city

Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.

Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.

Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.

Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti

Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma

Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.

Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro

Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.

Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k

Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.

View attachment 2038839

View attachment 2038840

View attachment 2038841

View attachment 2038842

View attachment 2038843
.

View attachment 2043041


Mi
 
Maisha ya watu wa kawaida ni magumu jombaa acha kabida
 
Safi
Kabisa ,mimi mwenyewe Nyumbani kwangu ukija hutotamani kuondoka
Well maintained attractive place

Arusha ndio number 1kwa sasa Tz

Tungekuwa na Bandari hii nchi ingekuwa
Mji mmoja Kama huko Canada TORONTO 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿



Mi
 
Ni miaka 10 tu imepita tangu mji huu maarufu kama Geneva of Africa utangazwe kuwa jiji.

Kutoka kuwa mji wa 9 kwa wingi wa watu hadi kuwa mji wa 3 kwa sensa ya mwaka 2012 na halmashauri ya jiji ya pili kwa wingi wa watu, lakini licha ya upya wake.

Lakini ndio jiji lenye hospitali nyingi za Private kwa uwiano wa watu kuliko mji wowote Tanzania sambamba na international schools.

Ndio wilaya inayoongoza kwa Ufaulu kwa matokeo ya shule za msingi na sekondari kwa miaka minne mfululizo.

Arusha inaongoza kwa kuwa na vyuo vya kimataifa vingi mf. Esami, TMA, na Nelson Mandela

Arusha pia ina hoteli 5 zenye hadhi ya kimataifa.

Ujenzi wa satellite cities ambazo zimepimwa kwa asilimia 100 mf. Safari city na Bondeni city

Ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotosheleza Arusha yote na maeneo ya jirani sambamba na ujenzi wa sewage system unaoufanya kuwa mji wa kwanza nchini kuunganishwa na sewage system mji mzima.

Usafiri wa haraka kutoka sehemu moja hadi nyingine.

Arusha inahudumiwa na viwanja viwili vya ndege.

Arusha ndio mji wa pili kwa kuwa na largest foreign community nje ya Dar same as real estate licha ya kuwa na moderate population.

Kuzungukwa na kambi nyingi za Jeshi mf. Makuyuni, Ngaramtoni, Moshono, Oljoro na Duluti

Ufikaji wa urahisi Arusha kutoka kwenye miji mikubwa ya jirani mf. Nairobi, Mombasa, Dar es salaam na mji wetu mkuu Dodoma

Pia ni katikati ya Barabara ya mwanzo kabisa kuunganisha miji mikuu miwili ya utawala wa waingereza barani Afrika yaani Cape town na Cairo na kuwa na alama yake pale Clock tower jijini Arusha.

Uwepo wake karibu na vivutio bora zaidi vya utalii duniani ikiwemo mt. kilimanjaro, serengeti na ngorongoro

Bila kusahau leisure & conference facilities, shopping centers, office za kimataifa na hali ya hewa ya kustaajabisha inayoufanya mji huu kupokea asilimia 80 ya wageni wote wanaotembelea nchi yetu.

Zote hizi zimeshawishi uwepo wa ofisi kuu za mashirika na taasisi kubwa za ndani na nje ya nchi kama vile EAC, Mahakama ya Afrika, Papu, Tanapa n.k

Je, ni sahihi kusema Arusha ndio sehemu bora zaidi ya kuishi Tanzania.

View attachment 2038839

View attachment 2038840

View attachment 2038841

View attachment 2038842

View attachment 2038843
.

View attachment 2043041

View attachment 2043076
Arusha ni mji wa kistaarabu sana Tanzania nzima hakuna mfano wake. Mji unaozoea kupokea watalii kila mwaka ni lazima uwe na mvuto fulani wenye sifa tofauti.

Huwezi kulinganisha na Dar yenye kila aina ya binadamu kutoka kila mkoa. Kero ya Dar ni kwamba washamba wengi ndio wanaojiona wajanja kuliko wajanja wenyewe waliowakuta jijini.
 
Sijajua kwa nini Arusha ni jiji. Ukiona nyumba yoyote imeangalia lami nenda nyuma ya hizo nyumba utakuta nyumba za udongo, tena sio mbali we anzia Sanawari, mianzini, Kwa Iddi kote huko nyuma ya nyumba nzuri unakutana na za udongo na hii hali huwezi kuikuta Dar wala Mwanza. Hivi hiyo barabara ya clock tower kwenda Kisongo unaiweka kwenye viwango vya barabara za Dar na Mwanza?

Hizo Hotel zinazoongelewa zinadaiwa maana zilishafilisika ni majengo yamebaki. Si unajua anguko la Snow crest, Impala, Ngurdoto, ile ya Sanawari yenye vioo vya bluu. Nenda Mwanza uone jinsi wenye Hotel na guest house walivyo wakarimu wanakupeleka hotelini au guest house na kukurudisha stand kwa gharama zao. Hili huwezi kulikuta Arusha wala Dar na hakuna hoteli iliyofilisika.

Hivyo viwanja vya Ndege angalia takwimu za abiria kwenye viwanja vya Tanzania uone ni uwanja gani unaingiza pesa nyingi.

Angalia stendi ya mabasi ya Singida na ya Arusha ipi bora, Soko la Kilombero na la Magomeni lipi bora?

Nafikiri ungeangalia takwimu na kutembelea nchi hii kwanza la sivyo hoja bila takwimu ni kufurahisha jukwaa.
Mazingira ya Arusha yanavutia kuliko ya mikoa mingine iliyobakia. Mzungu akishaishi sehemu anaibadilisha na inakuwa inavutia.
 
Back
Top Bottom