Kama babako alivyokuwa shoga unaambiwa ukweli unaleta uthenge hao walevi na wavuta bangi wastaarabike tangu lin zunguka Wacha kuvaa mitumba unakuwa falaUtakuwa mgogo wewe mwenye tongotongo na kutembeza bakuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama babako alivyokuwa shoga unaambiwa ukweli unaleta uthenge hao walevi na wavuta bangi wastaarabike tangu lin zunguka Wacha kuvaa mitumba unakuwa falaUtakuwa mgogo wewe mwenye tongotongo na kutembeza bakuli
Usiwe muoga kama kuku Arusha ni salama sana
Huku chuga kila mtu bilionea wewe😃Hujatembea mwanza, geita na Shinyanga wewe. Kuna matajiri wa dhahabu, diamonds na viwanda vya maji, juise soda n.k. na ndiyo madini yenye pesa kubwa kuliko tanzanite yenu.
Hii ya ukatatili ni kweli kabisa, bila kusahau walokole wenye unafiki wa kiwango cha sgrArusha sio sehemu salama, huwezi fananisha na kanda ya ziwa, dar n.k. arusha pamezidi, na ukatili upo huko japo co wote.
Arusha na Tarime mnatakiwa muishi pamoja
Huku chuga kila mtu bilionea wewe😃
Kuna wamama wanauza ndizi soko kuu wana pesa balaa😃😃, arusha kumenoga hamieni hukuMpaka machinga na mama ntilie nao ni bilionea 😁 unajua Tanzania bado kuna washamba wengi sanaa. Mtu anaamini eti akimiliki milioni 1 tiari yeye ni milionea, akimiliki bilioni 1 yeye ni bilionea,,,
Sawa lakini sio ya kuilinganisha na Mwanza.Mwanza wametuacha mbali sanaTuwe wakweli Arusha ni mji mzuri sana...
Why not[emoji23][emoji23]Huku chuga kila mtu bilionea wewe[emoji2]
Nimegundua watu wa Arusha wanaogopwa bila sababu.Arusha sio sehemu salama, huwezi fananisha na kanda ya ziwa, dar n.k. arusha pamezidi, na ukatili upo huko japo co wote.
Arusha na Tarime mnatakiwa muishi pamoja
Nimegundua watu wa Arusha wanaogopwa bila sababu.
Bila kusahau wauawaji wakubwa wa vikongwe na albino wa ziwani😢Kwa ukatili sana co! Japo co wote,,,na waarusha wenyewe sidhani kama ni mikatili, labda ungeniambia wachagga japo co wote.
Mchagga+mkurya wanastahili waishi pamoja
Unatafuta Vita na wahaya na wasukuma mkuu😂😂😂Yani watu wangejua Dar es salaam ina watu wengi kuliko los Angeles sijui wangesemaje
Watu hapa wanachanganya ukubwa na uzuri
View attachment 2039101
Akuna maali Kama A Town asee budaa😂😂😂
Sipapendi mwanza kabisa japo nilisomea huko,quality livings standard and cooliness haipo kabisa,+types of peoples wa mwanza nope nope!Kwa Tanzania jiji bora kwangu ni Mwanza
Uko kwingine bila serikali kiwekeza unadhani Kuna mwekezaji kwenye akili zake timamu akajenge ma real estate Kama haya dodoma au mwanza??! Hapana kwa kweli😂😂😂😂Mimi nimemuelewa sana mtoa mada
Watu wengine wa miji mingine wanaleta hoja za population na ukubwa
Wanasahau kwamba ukiongelea population na ukubwa wa mji miji yao yote hata hainusi kwa dar
Lakini kuongelea kuhusu investments na real estate ni mbingu na ardhi Arusha iko mbali mno labda kwa vile nyie mnajengewa stendi na masoko🤣🤣
View attachment 2039170
View attachment 2039171
View attachment 2039172
View attachment 2039173
View attachment 2039174
View attachment 2039175
View attachment 2039176
View attachment 2039177
View attachment 2039178
View attachment 2039180
Kwanza kuna Washamba Sana,mandhari mbaya na Wala Mji hauvutii kwa hiyo hakuna kama Arusha mkuu..Sipapendi mwanza kabisa japo nilisomea huko,quality livings standard and cooliness haipo kabisa,+types of peoples wa mwanza nope nope!
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Sasa Did Q atamwambia Nini Joh? Ukishindwa kumfight mtu ungananaye tu. Ndio alichofanya FidKwahyo Joh makini anamzidi fid q?