TANZIA Said Akachube (Akachube Road) ambaye ni muuza magari maarufu DSM afariki dunia

Unaweza kujadili hoja na si kunyooshea vidole mtu?
Nani kakwambia hii inamhusu yeye binafsi?
Unaijua nguvu ya kutokuwa na kauli thabiti kwa jambo lolote kweye jamii hata kama wewe si kiongozi wa juu.
Kauli ipi thabiti ya kiongozi inahitajika?
 
Tatizo watu wakivaa barakoa viongozi wa serikali wanazuia, rejea kilichotokea moshi
Kwani njia pekee ya kupambana Ni barakoa? Mbona zile measures zilizotolewa na wizara ikiwemo barakoa hazijazuiliwa? Mbona barakoa zinavaliwa huku mtaani kwa wanaohitaji na hakuna anaekamatwa kuzuiliwa?
 
Bro hivi kansa, kiharusi, magonjwa nyemelezi, ugonjwa wa kisukari, shinikizo la damu yalienda likizo sasa hayaui?
 
Unaweza sema vyovyote, lakini sina uhakika kama unajua thamani ya magonjwa ya mlipuko hata kama yana dawa au hayana dawa. Ni masuala yanayohitaji umakini na si kauli nyepesi kama hizi zako.
Kauli ipi hiyo nzito waitaka?
 
Hakuna corona halafu unaambiwa ujikinge nawe ulivyo bongolala unashindwa kuchanganya akili....
Nchi tajiri wa rasilimali ambazo zimeshindikana kumnufaisha kila mwananchi
 
Subiri kauli uweze jikinga
 
Ukaidi upi?
 
"Chukueni tahadhari na kufuata muongozo wa WHO kupitia wizara ya afya, Corona ipo na inaua"..

Unajua kaka, Mh.Rais amefanya hata mtu ukivaa barakoa kwa sasa uonekane kituko.?????
Chukua tahadhari achana na ukituko shaurilo
 
Kwani njia pekee ya kupambana Ni barakoa? Mbona zile measures zilizotolewa na wizara ikiwemo barakoa hazijazuiliwa? Mbona barakoa zinavaliwa huku mtaani kwa wanaohitaji na hakuna anaekamatwa kuzuiliwa?
Mzee sijakuelewa unabisha hakuna walioamua kujikinga kwa barakoa wakavuliwa?
 
Mpaka sasa sijapata historia iliyokamilika kuhusu marehemu, zaidi ya mabishano na ujirani wa makazi kwa baadhi ya wadau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…