Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Mchawi siyo mpaka atembee na tunguri. Wachawi ndo kama wewe.Waeleze hao. Wanaamini maisha ya instagram ndo wanafikiri real life.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi siyo mpaka atembee na tunguri. Wachawi ndo kama wewe.Waeleze hao. Wanaamini maisha ya instagram ndo wanafikiri real life.
Lini Harmo alisema anataka kujisimamia mwenyewe!?Win win stuation, kama hamo anataka kusimama mwenyewe na Konde GANGS acha aendelee.
Babu tale yeye mwenyewe mganga,plus akishirika vigagu wenzie mwezi huyo atapotea,harmo angewauliza kwanza mb dog,z anto na spark kilichowakuta,kabla hajafanya hayo maamuziNdo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
Hivi umeangalia hiyo interview kweli!!?? Fella amekimbilia kwenye media au media ndiyo imemkimbilia Fella na kumuuliza hilo swali kupata uhakika!? Mswahili mpe picha tu maelezo atamaliza mwenyewe.
Wakati Diamond anaachana na Ruge alikua kashapata mafanikio ya kutosha majumba ndani na nje ya nchi magari na kupata tuzo za kitaifa na kimataifa na kuwa msanii mzuri africa but still kuna maneno kwamba alikua ananyonywa je kama kweli harmonize anaondoka je anaondoka na mafanikio gani?Hamo hapo kipesa ni mkewe yule mzungu na siyo wasafi. Wasafi wakishakupa pesa ununue gari,upange nyumba baasi. Angalia kina lava lava Rayvan.
[emoji3]Dada naona Kama mada imekupita kushoto na unachokiongea ukijui dada hiv kwel unafuatilia mziki?
Ili povu sio la kawaida...kwi kwi kwi kwi kwiharmo ni Nani mpaka wamfanyie figisu?
Wakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama QueenHamo hapo kipesa ni mkewe yule mzungu na siyo wasafi. Wasafi wakishakupa pesa ununue gari,upange nyumba baasi. Angalia kina lava lava Rayvan.
Nadhani media ndo imemfata!Maneja sijui msimamizi huyu kwanini kaenda kwa media.. si angemuuliza au hana uwezo wa kuongea nae!!! Shame
Mkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Nikadhani nini mimi tu mkuu nimen'gamua iliMkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Wanajua mshiko utapungua. Kila show akipiga asililimia 80 inakwenda wasafi. Si utumwa huo jamani.
Sasa kama mtu anataka akaangalie kwingine ndo nimuonee wivu. Ridhiki mafungu saba.Kabla ya kujiuliza hili , unafahamu ni kiasi gani kilitolewa na WCB ili wewe umsikie huyo harmonize kwenye radio na kumuona kwenye Tv?
Huyu ndie kwanza simtofautishi na mlipuko, ukimsogelea lazima ikule kwako..teh[emoji23][emoji23]Hata huyu now days anajilipua balaa....manengelo
Mkuu..... mibado nasubiri anijibu kwanza, maana sio kwa kuchangamka huku..teh[emoji23]Nikadhani nini mimi tu mkuu nimen'gamua ili