Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Said Fella: Harmonize kama ameondoka ni vizuri akiaga

Ndo atakuwa Harmonize sasa.Sema kina babu Tale watashinda kwa waganga, na kumfanyia figisu mtoto wa watu ili kumkwamisha. Ila hawataweza.
Babu tale yeye mwenyewe mganga,plus akishirika vigagu wenzie mwezi huyo atapotea,harmo angewauliza kwanza mb dog,z anto na spark kilichowakuta,kabla hajafanya hayo maamuzi
 
Hamo hapo kipesa ni mkewe yule mzungu na siyo wasafi. Wasafi wakishakupa pesa ununue gari,upange nyumba baasi. Angalia kina lava lava Rayvan.
Wakati Diamond anaachana na Ruge alikua kashapata mafanikio ya kutosha majumba ndani na nje ya nchi magari na kupata tuzo za kitaifa na kimataifa na kuwa msanii mzuri africa but still kuna maneno kwamba alikua ananyonywa je kama kweli harmonize anaondoka je anaondoka na mafanikio gani?
 
Anaenda team kiba [emoji3]

Hapo utaona mawingu watakavo ingilia katii
 
Hamo hapo kipesa ni mkewe yule mzungu na siyo wasafi. Wasafi wakishakupa pesa ununue gari,upange nyumba baasi. Angalia kina lava lava Rayvan.
Wakukaya unakwama wapi dem wa Rayvanny asingeishi nae kama hana fedha yule dem nilikutana nae century cinema mlimani aisee ana spend pesa nadhani anatumia zaidi ya 3M kwa siku na kalikuwa na msururu wa watu wanakafanya kama Queen
 
Hata huyu now days anajilipua balaa....manengelo
Mkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
 
Mkuu, naomba nitoke nje ya mada...
Kipindi kile nakusoma hapa ulikuwa kapole sana, tofauti sana na mapema mwakahuu umekuwa m-bishi na umepoteza woga.
Naomba niishie hapa kwa leo
Nikadhani nini mimi tu mkuu nimen'gamua ili
 
Nauliza kwa WCB fans, kwann wanasema Harmonise au sijui konde boy akitoka WCB watafuta nyimbo zake na hawatamsapoti na kumtukana matusi kibao, kwamba wanaashabikia mziki mzuri na msanii mzuri au wanashabikiaa timu nzima ya WCB hata kama wanatoa nyimbo mbaya
 
Back
Top Bottom