pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Tafuta hela mzee..watu wana heraa..utaumiza kichwa chako bure..tafuta hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza roho mbaya kaka....katika moja ya vitu vilivyonifanya nimchukie magufuri ni kuwachukia wasomi Na matajiri..View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Cheti kinatafunwa na panya...Sasa hilo la kutoka kuwa shoe shiner hadi akawa alipo hapo mpe credit zake maana watu na PhD zao bado hoi bin taabani
Kaa hapo hapo uendelee kusubiri kodi itumike vizuri hadi uzeeke. 😂Kodi yako na yangu hiyo wewe kiazi sema unashabikia kwa kuwa kuchwani huna kitu
Ila lugumi pesa ipo na hana kelele kama wale wajinga akina Doto magari na yule mwenzake isa tambuu wenye hela za mawazoView attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Mafukara bwana 😂😂Subiri kufa tu hela zako kupotea maana nyie ndiyo mnamiliki hela za manyoka halafu mnaishi kifala
😂😂 Sasa mbona umekuja kwa hasira kwa mdau..tafurta hela uondoe ufukara mzee..utakufa na watakusahau kama hata ulikuepoWw ni chawa lake au........
Naona umeandika kipovu povu mwambie akununulie hata ist ukamringishie mkeo
Juzi kati alikuwa Europe na baadhi ya makanali wa jeshi la wananchi wa Tanzania walikuwa kwenye mission ya kununua silaha kwa ajili ya jeshi la wananchi (JWTZ). Hii ni syndicate kubwa sana wako vigogo wakubwa nyuma ya lugumi. JWT, Police na baadhi ya mawaziri na makatibu wakuu na baadhi ya wakurugenzi wizara ya fedha. Baada ya IGP Said Mwema kuanzisha hili deal na Lugumi na baadhi ya maofisa wa police procurement team,naona deal limeenda mpaka jeshi letu pendwa. Hii ni kashifa kubwa sana kwa jeshi letu. Lugumi ni darasa la Saba. Kazi yake ilikuwa shoeshine hapo Mwanza hotel jijini Mwanza kabla ya kumupataa mke wake mdogo wake Said Mwema (IGP). Hivyo mambo anayofanya Lugumi ni kwa sababu ya Elimu yake ndogo anataka kuwakomoa wasomi waonekane takataka na kwamba shule haina maana.
Mafukara bwana 😂😂
Kauli za kimaskin hizi 😂😂😂Hata siku ya mwisho wa maisha yake afanye hivyohivyo
Pesa nitafute mimi tena kwa taabu halafu wakati wa kutumia unipangie wewe, pengine vyote unavyodhania sijafanya nilishafanya kitambo na hili ni mojawapo ya hitaji langu.Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Ukute hata bando umesongesha.Nimeona video ya masikini wakidiscuss magari ya tajiri mwenzangu said lugumi baada ya Mimi kumtembelea mara wanamuita limbukeni Sasa masikini wa humu Kwa njaa zao zinavyowapiga wanaona hasira zao wamalizie kumtukana tajiri mwenzangu Sasa napenda kuwaambia nyie mafukara tafuteni hela acheni ujinga yaani unakuta dume Zima linadiscuss Mali za mwanaume mwenzie tutawalia sana wake zenu
Mkwe wa former igp huyo mkuu.Ni banana republic tu utawaona watu kama hawa!
Kafanya ufisadi wa kufa mtu! Kalindwa na yuko mitaani akiwaringishia raia wanaokuwa mlo mmoja kwa siku! Na dola hata HAIMGUSI!
Ninazo😂😂 Sasa mbona umekuja kwa hasira kwa mdau..tafurta hela uondoe ufukara mzee..utakufa na watakusahau kama hata ulikuepo
Usirusirudie kuweka dhihaka kwa usie mjua.Yes mimi kapuku..
Umefurahi?
Wewe una enjoy nini kwani kunizidi? Si nafuu niwe na hela yangu ndogo lakini sina masharti ya kuitumia!! Utakuta una hela halafu unalala stoo kwenye maboksi ya nyumba yako!! Huo ni ufalaHata wewe utakufa ubaya unakufa na haujaenjoy maisha kutokana na umasikini wako
Kwao masikini kibao kisha anakusanya mabati anayajaza nyumbani. Nyerere alisema hayo ni mabati na plastic na vyuma vilivyopakwa rangi. Nyerere alisema asset alisema ni miti tu iiyojazana tabora ila imepigwa msasa ulaya na kupakwa rangi so kwa nini ubabaike kiasi uagize kutoka nje ? jibu kuwa ni upungufu wa akili.Lakini ni wachache sana wanafanya hivyo. Ila nigger akikamata hata laki tano mshahara kwa mwezi yani ni fujo kitaa.
Mkuu kweli huo mzigo parking ni hatarii. Range ya mwaka huu. Nimepiga hesabu haraka haraka thamani ya huo mzigo ni billion tano au zaidi.