Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli sina. Kama ww sio kapuku tushindane kugawa hela humu jfMambo ya kike kuwapangia wanaume jinsi ya kuishi,tafuta pesa upunguze lawama, hata ukiniona chawa ni sawa ila ninavyomiliki nina uhakika huna
Mzee n kama ameamua kutu motivate. Gari ziko kwenye Air condition afu kuna keyboard warrior yuko kwenye ka store ka kupanga,joto feni linapuliza vumbi tupu. kagodoro chini afu anaponda.Umeongea kiume. Fanya kitu ambacho kinakupa furaha Sasa. Sote tutakufa, Sasa kwanini ujibane?
Acha aliyepata atumie atakavyo
Yes mimi kapuku..Ni kweli sina. Kama ww sio kapuku tushindane kugawa hela humu jf
View attachment 3135806 Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc. Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi. Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Hata siku ya mwisho wa maisha yake afanye hivyohivyoView attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Inaweza isisfike 40k ila ikafika 10k hiyo ni nyingi mkuu kwa Tz hii sio ndogoOyaaa ! Tusake noti wazee
Hiyo pesa dollar 40000 Kwa mwezi kama malipo ya rent ,kuna waajiriwa wa serikali na private mpaka wanazeeka hata madai yao hayafiki hapo hata nusu ya hiyo pesa .
Acha kabisa
Daaah 🤣🤣Wewe hela zako unapeleka English Medium kwanini usiwe masikini. Haya haraka sana toa watoto wako ENGLISH MEDIUM warudishe Kayumba.
Utakuja kunishukuru 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tutafute wapi pesa? Za kazi gani? Wewe magari yako yako wapi?
Lugumi yuko kimya sana na humble,problem ni huyo anaemuuzia gari.Kwa magari hayo na attitudes anayoonyesha sioni ubaya wake
Mkono wake mfupi..pesa inaliwa na wengi na inachelewa pia. kuna jamaa yangu anasubiri hela ya Tarura huu tangu mwezi wa nne mpk sasa bado hajalipwa.
Na huo ujinga umelelewa na Nyerere na Chama alichoanzishaBinafsi naamini hakuna umasikini Tanzania bali kuna ujinga uliovuka mipaka, kwa asilimia kubwa sana ya Watanzania.
View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Hizi ni motivation kwa sisi vijana wenye akili timamu na ndoto kubwaView attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Ni tshs 108,000,000 kwa mwezi,ambayo kwa mwaka mmoja tu ni zaidi ya tshs 1.2 billion. Siyo habaOyaaa ! Tusake noti wazee
Hiyo pesa dollar 40000 Kwa mwezi kama malipo ya rent ,kuna waajiriwa wa serikali na private mpaka wanazeeka hata madai yao ya mafao hayafiki hapo hata nusu ya hiyo pesa .
Acha kabisa
Kashatembeza, itakuwa wengine mgao haujawafikia. hao washenzi wanataka ule nao hadi pasu kwa pasu.Mkono wake mfupi..