Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Anatakiwa amshukuru sana kikwete na aliyekua IGP Saidi mwema baba mkwe wake. Lugumi ndio alikua supplier mkuu wa jeshi la Polisi wakati huo Kila unachokiona katika jeshi kaleta lugumi Tena wakati huo ndio nchi ipo uchi wanajichotea tu. Sasa Leo akitangaza hadharani anawaambia watanzania fanyeni kazi kwa bidii. Mimi ningekua lugumi ningekaa kimya ila pesa Ina ulimbukeni kama hautatuliza akili siwezi kumsema sana.
Mistari yako miwili ya chini imesema kitu kikubwa sana. Tukae tu kimya mkuu manaa huwezi isifia mvua hivhiv😁😁
 
Kuna mtu yuko kwenye mfumo tena yuko front kwenye misafara ya mama(jina kapuni)
Anawavua watu balaa...

Ova
Daaah, kama code znakuja tyar....lakn ni kweli walioko kwny mfumo ni balaa kabisaa......mengine tunayaona huku mtaani ni moto kabisaaa...alafu kuna kama ushindani sahv wa hizi mashine huko road ni balaaa kabisaaa

Ova
 
Bado hakuna excuse YA ULIMBUKENI. Huyu pimbi bado hana hela na hajui ku-invest. Jamaa hajafika sekondari na alikuwa shoe shiner. Lazima avimbe sana
Kuwa na hela na jinsi ya kuzitumia kufurahisha moyo ni vitu viwili tofauti.Acha avimbe. Hiyo nyumba ameombwa na ubalozi flani aiachie kwa kodi ya usd 40,000 KWA MWEZI amekataa.
 
Kama anamiliki G-Wagon na Bentley among his 'toys' ina maana senti zipo kwa sababu ukiachilia kuyanunua hata running costs kwa mganga njaa lazima mashine za hivyo aziuze.
Ila hundred percent ulimbukeni anao kwa sana tu, kitendo cha kuirekodi hiyo showoff scenario na kuirusha ni ulimbukeni.
Kuonesha magari anayemiliki siyo ulimbukeni
 
Anatakiwa amshukuru sana kikwete na aliyekua IGP Saidi mwema baba mkwe wake. Lugumi ndio alikua supplier mkuu wa jeshi la Polisi wakati huo Kila unachokiona katika jeshi kaleta lugumi Tena wakati huo ndio nchi ipo uchi wanajichotea tu. Sasa Leo akitangaza hadharani anawaambia watanzania fanyeni kazi kwa bidii. Mimi ningekua lugumi ningekaa kimya ila pesa Ina ulimbukeni kama hautatuliza akili siwezi kumsema sana.
 
Hivi itakuwaje kila Mtanzania. akiamua kuwa motivated na kutafuta pesa kwa njia haramu? Mana kwa sasa wale ambao tumemtanguliza Mungu hatutaki kuiba mali za Watanzania tunaonekana wajinga, halafu watumishi wa umma au wafanyabiashara wakifanya hujuma na kupata pesa zaidi ya shughuli zao halali ndio wanaonekana wajanja!
Siyo lazima uibe
 
Back
Top Bottom