Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Wivu na umaskini ndio unawasumbua, acheni upuuzi wacha afanye kinachompa raha..leo uko hai kesho umekufa atleast ume enjoy, umeendesha magari unayoyapenda, nyie mnaoshauri kwa nini msitafute zenu kama ni rahisi..

Unasubiri mpaka uumwe ndio ule vizuri?
Bahati mbaya unaumwa na masharti mengi kwenye vyakula na pesa unayo na huwezi kula unachotaka..

Pesa unayo usiendeshe gari unayotaka kesho umeumwa uruhusiwi ku drive tena..

Fanya kile kinachokupa raha, maisha ni mafupi..hawa waja hawana jema.

Bata Maldives, nunua magari ya gharama, perfumes za gharama, mavazi ya gharama,kaangalie mechi ama ndondi live majuu, lala pazuri, tunza afya..enjoy maisha mana ni mafupi..
Usimsahau Muumba wako pia.
Ww ni chawa lake au........
Naona umeandika kipovu povu mwambie akununulie hata ist ukamringishie mkeo
 
Bado hakuna excuse YA ULIMBUKENI. Huyu pimbi bado hana hela na hajui ku-invest. Jamaa hajafika sekondari na alikuwa shoe shiner. Lazima avimbe sana
Kuna story niliwahi kuisikia kwamba alimuoa mtoto wa mkuu wa kaya (phase 4) ndo akaanzia kutobolea maisha hapo…., hivi ni kweli?! Na nilisikia kweli alikuwa shoe shiner baadae akawa dereva taxi 🤔
 
Sasa mwenzio unayempa ushauri kashinda kesi na akalipwa more than 100 Billions juzi juzi tu hapo. Hizo gari hapo hazifiki hata 5% ya hela aliolipwa na still alikuwa ni billionaire hata kabla ya hizo songombingo. Acha ushauri kwa watu waliokuzidi maisha 🤣
Hatari, kumbe na fidia kapewa.....hizi show-off hta za bakresa zpo mbaka yutube huko tena yy ndio balaa kabisaaa.....
 
Back
Top Bottom