Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ila siku ya kulipwa ikifika sasa𤣠burudani yake sio ya nchi hii.Tena serikalin inaweza pita hata miezi mitatu ushamaliza kazi na hela hujalipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila siku ya kulipwa ikifika sasa𤣠burudani yake sio ya nchi hii.Tena serikalin inaweza pita hata miezi mitatu ushamaliza kazi na hela hujalipwa
Huu upumbavu unafungamanaje na umaskini wa taifa hili?Binafsi naamini hakuna umasikini Tanzania bali kuna ujinga uliovuka mipaka, kwa asilimia kubwa sana ya Watanzania.
Upumbavu ni kuitwa kondoo na kukubali kuwa wewe ni kondoo.Huu upumbavu unafungamanaje na umaskini wa taifa hili?
Tenda na serikali zinatoaga matajiri wengi sana. Mabilionea wengi wa kitanzania ndiko walikotokea hukoIla siku ya kulipwa ikifika sasa𤣠burudani yake sio ya nchi hii.
Nchi imefunguliwa ššSasa hivi watu wamerudi Kwa kasi
Mpaka papaa misifa amerudi barabarani
Niligoga sana hizi tenda za serikali kipindi fulani yani kuzipata utazipata ila pesa yake inaliwa na wengi mkuuš¤£Tenda na serikali zinatoaga matajiri wengi sana. Mabilionea wengi wa kitanzania ndiko walikotokea huko
Hata wewe utakufa ubaya unakufa na haujaenjoy maisha kutokana na umasikini wakoSubiri kufa tu hela zako kupotea maana nyie ndiyo mnamiliki hela za manyoka halafu mnaishi kifala
Lazima ule na watu ili uendelee kuwepo kwenye gemu mana wahindi wao kutia hela hawaoni tabu. Wao wanaenda kuwaminya wafanyakaz wao.. ndo mana wahindi wanazipata sana hizi sababu wanatembeza takrima vya kutoshaNiligoga sana hizi tenda za serikali kipindi fulani yani kuzipata utazipata ila pesa yake inaliwa na wengi mkuuš¤£
Nae ni SUPPLIER!Kwann Angela Kiziga š
Kabisa mkuu.Lazima ule na watu ili uendelee kuwepo kwenye gemu mana wahindi wao kutia hela hawaoni tabu. Wao wanaenda kuwaminya wafanyakaz wao.. ndo mana wahindi wanazipata sana hizi sababu wanatembeza takrima vya kutosha
Dah cheka mbaya sanaTabia ya waafrika wengi. Kina Myweather nk ndo zao huko USA. Waafrika kuunda hata kijiko tu shida. Vipi MJapani alieunda hizo gari aringeje. Waafrika kufanya car collection au assets collection tu yaani anajiona amefanikiwa huku kapiga hela za walala hoi.
Waafrika tukifikia hatua ya kuunda vitu sijui itakuwaje majigambo
Imagine mwafrika amiliki simu alioiunda yeye mwenyewe mpaka sisimizi zitajua.
Low IQ ni shida sana huwa ni watu wa EGO.
Mkuu kumbe unawapenda sana nyangumi kama mimi. Nimeiona hiyo avatar picha yako kwenye ID. Napendaga sana wanavyosplash hiyo mikia yao. Nampenda sana Humpback whale.Wasamehe bro
Lakini ni wachache sana wanafanya hivyo. Ila nigger akikamata hata laki tano mshahara kwa mwezi yani ni fujo kitaa.Siyo kweli hakuna watu wanapenda show off kama wahindi.
Angalia harusi ya mtoto wa mukesh ambani ili ndo tabia ya wahindi. Angali jengo lake analoishi ni heaven on slum
Mkuu kweli huo mzigo parking ni hatarii. Range ya mwaka huu. Nimepiga hesabu haraka haraka thamani ya huo mzigo ni billion tano au zaidi.Daah wahuni wanaringishia kwa kodi zetu unakuta hawana hata kitu cha kuuza zaidi ya kulamba Tenda za Serikali kwa ujambazi..mzigo uliopo parking si wa kitoto aisee
GT sawa ni kweli lakini Nigger kazidisha siyo eti kuonyesha tu Nigger anamadharau wewe huna mimi ninayo. ili kupata faraja ni kuroga tuMbona fresh hiyoo š
Hakuna mtu asiyependa
Kuonesha alichokuwa nacho
Ova
Pesa ni zao la kodi za wananchiSioni tatizo, pesa ni zake, muache atambe anavyojisikia.