PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
HahahaAcha kunifananisha na vitu vya kipumbavu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaAcha kunifananisha na vitu vya kipumbavu mkuu.
Duuh hii gari gani ni Google vizuri?Naelewa ila hii ni battle ya latest machines.🤣 Na mkikaa vibaya nawaweka humu. Ni lazma tuheshimiane tu.
View attachment 3136168
Kuna mtu yuko kwenye mfumo tena yuko front kwenye misafara ya mama(jina kapuni)Niliipata hiyo, nilikuwa napita huko mitaa yako nikaambiwa kinondoni nyumba zinanunuliwa mno sasa hivi.
Hata angekuwa ndugu yako huna mamlaka ya kumpangia aitumieje Pesa aliyoitafuta mwenyewe.Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Kila mtu ni mwizi hata wewe ni mwizi sema huna uwanja mpana wa kuiba.Kodi yako na yangu hiyo wewe kiazi sema unashabikia kwa kuwa kuchwani huna kitu
Si huyo boss alie-ni-quote ananifananisha na Extrovert ndio namwambia, hao ni watu wawili tofauti.Ndo nn?
Umasikini ni kitu kibaya sana mkuuUtapigwa majungu hadi uzimie na mali ni yako
Yaani wangejua ana supply nini na wapi na wapi acha alimbuke....tuuuOf coz kwa regime hii jamaa ni untouchable achilia mbali ile regime ambayo alitamani kuhama nchi kwa visanga na kesi miamia.
Hivi unajua jamaa ni supplier uniform za polisi, na vitu vingine important katika taasisi nyeti nchini, muache atambe regime ni yake na kina Abdul!!
Nisamehe bosi, watu wenye maugomvi yao buanaAcha kunifananisha na vitu vya kipumbavu mkuu.
Century SUV hio 2024 inachuana ligi moja na Rolce Royce Cullinan.Duuh hii gari gani ni Google vizuri?
Sasa Chief Godlove aache sasa kutuonyesha GUTA zake ,avute hizo NDINGA kama yeye ana pesa.View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
NAKAZIABinafsi naona Umasikini unatusumbua Watanzania, unatufanya tuwe na roho mbaya sana
Garage ina split unit kadhaa za ac, full time zipo on.Wewe hata feni huna ila gari inakula kiyoyozi
Hiyo kaka inaitwa ConsumerismUkiona mtu anaenjoy kwa kujivunia nguo 2,000 asizoweza kuzivaa, magari 200 asiyoyahitaji, nyumba 20 zisizokuwa wakazi et al, ujue kuna tatizo kubwa la kiafya ndani ya nafsi na akili yake.
Anahitaji tiba