DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kweli mkuu nchi sasa imefunguliwaKila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Kama ulibahatika kuishi maisha kati ya 2006-2014 basi aina ile ya maisha ndio iliyopo sasa. Top layer wanafyonza mirija kiroho mbaya, ukiweza kuwa chawa njia ya kutoka ni nyepesi.