Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

View attachment 3135806

Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Hatari sana..
 
Muacheni atambe bana kha pesa zake mwenyewe kodi ya serikali analipa yeye alitafuta yeye mwenyew acheni awatie hamasa muhamasike na nyie kutafuta..umaskini mbaya alafu unasababisha ujenge chuki na waliofanikiwa ukiamini kila tajiri anajishow off,ni free masoni anapesa za kichawi..umaskini unasabisha umpabgie mtu namna ya kuishi while muda anastrugle kutafuta pesa ulimuona kama Fala anaepoteza muda na unamuwekea na limit zako asivuke akivuka tu tayari unajenga chuki na mitazamo hasi...LUGUMI EE WANYOOSHE WANYOOKE KAMA RULA SHOW OFF UWEZAVYO
 
View attachment 3135806

Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Maana yake ni kuwa kashfa mliyomzushia imeisha na vyake ni halali hivi sasa.
 
View attachment 3135806

Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.

Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.

Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Lugumi hakuwa maskini bali alitikiswa na Jiwe. Hivyo, baada ya jiwe kufariki amerudi hewani, na anatuma ujumbe kwamba, yeye ni mtoto wa mjini hamumuwezi!

Ila twendeni na ukweli, kwa sasa ni kama vile ufisadi umerudi kwa kasi
 
Jinai haiozi. Lugumi ana scandal, alipata tenda ya kusupply fingerprint machine vituo vote vya polisi. Machine 18 tu ndo wakainstall na 8 hazifanyi kazi. CAG, Bunge na Takukuru wakachunguza, ila ishu ikaishia hewani. Bilioni 37 ndo ikawa imepigwa kirahisi tu hivyo.
ilisemwa wana udugu na Aliyekuwa IGP Mwema na ndiye aliyempa hilo shavu...
 
Muhimu ni kama kapata hela kihalali. Hajaibia MTU wala hajaiibia Serikali. Hata watanzania wengine watapata kujifunza kupitia njia alizopitia yeye kupata huo utajiri. Vijana kwa wazee kwa watoto watahamasika kumuiga ili nao watajirike kwa kufuata njia alizotumia
 
Back
Top Bottom