Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Life is to shortAnatumiwa kutakatisha pesa haramu za kodi za a Watanzania kwa kupewa tenda feki Serikalini. Lugumi ana mtandao mrefu sana Serikalini. Alidhibitiwa vilivyo enzi za Magu, lakini naona baada ya kifo cha Magu its business as usual. . Hk0o intsa ana smile kila posting na kuja na ridiculous inspirational statements huku akiweka picha akiwa kwenye exclusive, ultra luxurious environments