Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale Kuna 2024 RR, 2024 G Wagon,2020s Bentley na LC300 hapo kuna 2-3b rides!Tumekubaliana na matusi yake🤣 tajiri hapingwi
Ni ngumu sanaMuhimu ni kama kapata hela kihalali. Hajaibia MTU wala hajaiibia Serikali. Hata watanzania wengine watapata kujifunza kupitia njia alizopitia yeye kupata huo utajiri. Vijana kwa wazee kwa watoto watahamasika kumuiga ili nao watajirike kwa kufuata njia alizotumia
Sasa mwenzio unayempa ushauri kashinda kesi na akalipwa more than 100 Billions juzi juzi tu hapo. Hizo gari hapo hazifiki hata 5% ya hela aliolipwa na still alikuwa ni billionaire hata kabla ya hizo songombingo. Acha ushauri kwa watu waliokuzidi maisha 🤣Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Amini nakwambia mwamba katunyoosha na hapo bado sijaiona ile 2023 black badge Cullinan yenye herufi mbili "LS".Pale Kuna 2024 RR, 2024 G Wagon,2020s Bentley na LC300 hapo kuna 2-3b rides!
Watanzania ndivyo tulivyo🚮View attachment 3135806
Kuna clip inatembea kwenye magroup ya WhatsApp. Anaonekana Said Lugumi akimkabidhi hela Chief Godlove na kumuonyesha garage ya magari ya kisasa ambayo Lugumi anamiliki kama G-Wagon, Bentley etc.
Huyu mtu ali TREND sana wakati Magufuli alitaka kuuza nyumba zake kwa sababu ya kutomaliza zabuni ya ugavi wa vifaa vya kieletroniki kwa Jeshi la Polisi.
Ameibuka upya kwa namna hiyo. Najiuliza huu ni ULIMBUKENI au ni utajiri ??
Zinapolala gari geto langu halioni ndani🥲Mnapata makasiriko na hizo gari, mngeijua hio nyumba hizo gari zinapolala sijui mngesemaje.
True.TAfuta pesa mkuu ili watu wakiwa wanafurahia pesa zao kwa matoys kama hayo usione kama ni ulimbukeni au wanakuringishia, uone tu ni kama ambavyo wewe unavyopost tu ukiwa na ka samsung kako mezani ukisoma gazeti.
Jamaa yuko clean na ndio maana haogopi ku floss🤣! Fedha halali hio amna uchawi wala freemasonry.Interesting part is, what business does he do? Selling arms? To whom? Tanzania government or other legitimate governments? or rebels for that matter?
Kuna lapse of information somewhere. There is kind of arrogance which he displays, which brings alot of questions than answers.
Wewe hata feni huna ila gari inakula kiyoyoziZinapolala gari geto langu halioni ndani🥲
Acha tu... bill ya mwezi ya Ac kwa ajili ya gari zake ni kama bill yangu ya umeme mwaka mzima.Zinapolala gari geto langu halioni ndani🥲
Mzee yaani umewaza kama mimi😆 Sijui kwanini ila hiyo video kuna namna imenifanya kama vile nikate tamaa sijui ndio mfadhaikoZinapolala gari geto langu halioni ndani🥲
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake. Kama ulibahatika kuishi maisha kati ya 2006-2014 basi aina ile ya maisha ndio iliyopo sasa. Top layer wanafyonza mirija kiroho mbaya, ukiweza kuwa chawa njia ya kutoka ni nyepesi.Lugumi hakuwa maskini bali alitikiswa na Jiwe. Hivyo, baada ya jiwe kufariki amerudi hewani, na anatuma ujumbe kwamba, yeye ni mtoto wa mjini hamumuwezi!
Ila twendeni na ukweli, kwa sasa ni kama vile ufisadi umerudi kwa kasi
Jomba haujapata hio fursa tu, Sugu ni mtu mzima ila maisha aliyotokea hakuwahi fikiri siku ataweza kumiliki hata billion 1 kwenye account yake na biashara ya maana kama hotel na usafirishaji. Amewehuka kabisa na kuona kila mtu masikini.Anatakiwa amshukuru sana kikwete na aliyekua IGP Saidi mwema baba mkwe wake. Lugumi ndio alikua supplier mkuu wa jeshi la Polisi wakati huo Kila unachokiona katika jeshi kaleta lugumi Tena wakati huo ndio nchi ipo uchi wanajichotea tu. Sasa Leo akitangaza hadharani anawaambia watanzania fanyeni kazi kwa bidii. Mimi ningekua lugumi ningekaa kimya ila pesa Ina ulimbukeni kama hautatuliza akili siwezi kumsema sana.
Sijamkandia brother.nimejaribu tu kueleza vyanzo vya pesa yake maana yake nafahamu. Lugumi pesa kapatia Serikalini na ndio maana marehemu magufuli alikua na hasira nae sana akakimbia nchi kama unakumbuka mpaka nyumba zake zikataka kuuzwa na serikali lile sakata la Dr. Shika Mzee wa mia 9 itapendezaJomba haujapata hio fursa tu, Sugu ni mtu mzima ila maisha aliyotokea hakuwahi fikiri siku ataweza kumiliki hata billion 1 kwenye account yake na biashara ya maana kama hotel na usafirishaji. Amewehuka kabisa na kuona kila mtu masikini.
Usifanye mchezo na pesa wewe unaweza ukafanya mambo ya hovyo kuliko hata huyo Lugumi unayemkandia.
Jamaa yuko clean na ndio maana haogopi ku floss🤣! Fedha halali hio amna uchawi wala freemasonry.