Saidi Lugumi kuringishia Magari yake, Ni Ulimbukeni au Utajiri?

Punguza roho mbaya kaka....katika moja ya vitu vilivyonifanya nimchukie magufuri ni kuwachukia wasomi Na matajiri..
 
Ila lugumi pesa ipo na hana kelele kama wale wajinga akina Doto magari na yule mwenzake isa tambuu wenye hela za mawazo
 

Kuna wakati ili mambo yaende, inabidi kuwa mjinga na kujifanya uongo wanaousema ndio ukweli. Ila muda una tabia nzuri. lazima ukweli na uongo ujitenge ili dunia iendelee kuzunguka.
Na huwa unaanzisha mambo yake pale inapoonekana ni budi. It can even take very long. But it will happen. Kwa maana hiyo, tuwe wakweli.
sababu ya kutumia third parties kwenye baadhi ya manunuzi ni kurahisha namna migao itakavyo kwenda. Maana pia hatukatazwi kununua moja kwa mopja kutoka kwa suppliers. Unless tumewekewa vikwazo, na tunataka kuvikwepa
 
Mafukara bwana 😂😂

Sio kweli pesa ni kila kitu. Unalala kitanda kimoja, unakula chakula kama wanadamu wengine, unaendesha gari sawa na wengine hata kama gari lina mambp yote unayoyasema yapo.
Na mwisho, wwote tunakufa. Kuzikwa ni maamuzi yako utazikiwa wapi, ila lazima pia utazikwa. kafa Lenin na Bolshevik yake. Kafa Stalin na kaiacha USSR ambayo aliifanya mali binafsi. Kafa Hitler na mazagazaga yake...sembuse sisi ambao tunasema hela ndio kila kitu?
Labda wenye hela wanakunya dhahabu...that I have to find out
 
Sisi ngozi nyeusi shids sana ukipata senti kidogo utataka mpaka sisimizi waju! Wenzetu wahindi wao wakipata wanawekeza kwenye vitu vya maana sisi unakimbilia vitu vya anasa ambavyo havizalishi ! maskini Lugumii !
Pesa nitafute mimi tena kwa taabu halafu wakati wa kutumia unipangie wewe, pengine vyote unavyodhania sijafanya nilishafanya kitambo na hili ni mojawapo ya hitaji langu.
 
Ukute hata bando umesongesha.
 
Ni banana republic tu utawaona watu kama hawa!
Kafanya ufisadi wa kufa mtu! Kalindwa na yuko mitaani akiwaringishia raia wanaokuwa mlo mmoja kwa siku! Na dola hata HAIMGUSI!
 
Hata wewe utakufa ubaya unakufa na haujaenjoy maisha kutokana na umasikini wako
Wewe una enjoy nini kwani kunizidi? Si nafuu niwe na hela yangu ndogo lakini sina masharti ya kuitumia!! Utakuta una hela halafu unalala stoo kwenye maboksi ya nyumba yako!! Huo ni ufala
 
Kwao masikini kibao kisha anakusanya mabati anayajaza nyumbani. Nyerere alisema hayo ni mabati na plastic na vyuma vilivyopakwa rangi. Nyerere alisema asset alisema ni miti tu iiyojazana tabora ila imepigwa msasa ulaya na kupakwa rangi so kwa nini ubabaike kiasi uagize kutoka nje ? jibu kuwa ni upungufu wa akili.
Mtanzania ametukuza kila kitu na hatomae kapoteza utu wake. Wengine huko magari ni usafiri kwetu na USA magari ni utajjiri. Waafrika sijui tutaamka lini. Gari la milioni 600 linafaida gano ? Ni bora hata angekuwa amekusanya malori ambayo ni kama
kiwanda. Ila TZ ujinga huwa unakuzwa na kufanywa ujanja.
Kuna mwanasaokolojia nomemskia akisema ujinga ukkubalika na wengi huwa unageuka kuwa fact. Car collection imegeuka kuwa fact na ujanja.
Tujiulize kungekuwa na viwanda vya magari hapa TZ mtu angekusanya hayo magari na kujifanya tajiri wakati kuna watu wao wanayazalisha kwa maelfu ? Unagundua umasikini wa kichwa ndio unatusumbua.
Wengine tunawaza jinsi gani tutaanza kuyeyusha mabati tupate magari kuna we gine akili zao wanawaza kuyakusanya hayo mabati na kuyajaza nyumbani ili watoto wao waje warithi scraper.
Jamani tufunguke akili. Wajapani wanarithishana viwanda sio uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…