britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mmeamua kumsagia kunguni januari ,wasambaa wapo kwenye kikao na waganga zaoMheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
Britanicca
Januari ni Mhaya siyo Msambaa, kama Nape alivyo Mnyakyusa na si MmakondeMmeamua kumsagia kunguni januari ,wasambaa wapo kwenye kikao na waganga zao
USSR
Inapatikana wapi mkuu.platform Fulani
Yes yule ni muhaya pureJanuari ni Mhaya siyo Msambaa.
How mkuu ikiwa mzee wake ni msambaa?Januari ni Mhaya siyo Msambaa.
Kama huyo unayemwambia hakujua hadi mtu anaficha hela huko unakotaja..unadhani ni umbumbumbu au kutojali au na yeye anafanya hivyo..jiulize kwanza!Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
Britanicca
Afanyiwe upasuaji wa haraka asikie yanayojiri kwa usalama wakeSawa, ila chura kiziwi ana ubavu huo kweli? Maana yeye ni chura kiziwi.
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.Samaki nguru akichomwa, harufu yake mpaka mtaa sa saba. Naona watu wanachoma nguru tu.
#UbayaUbwela
Mama yake ni mhaya najua na amesomea ihungo ila baba yake ni msambaaJanuari ni Mhaya siyo Msambaa, kama Nape alivyo Mnyakyusa na si Mmakonde
Yule ni baba mlezi tu.How mkuu ikiwa mzee wake ni msambaa?
Hata kama ni uongo huu wako umezidi. Hakuna haja ya DNA kujua kuwa Januari ni mtoto wa Makamba.Yule ni baba mlezi tu.
Mkuu PascoMkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Wewe mzee kama KARMA ingekuwa inafanya kazi ingewaadhibu wanaCCM wote wanaokupiga chini kila ukijitokeza kugombea chochote. Hizo habari zako za karma ni za kupuuzwa.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Ni kweli kwani huko CCM wote ni wapigaji tu wanazidiana viwango tu, hata Maza naye ana vimeo vyake kibao ndiyo maana ya ile kauli mbiu ya kula kwa urefu wa kamba.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P