mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Na Maharage Chande. Ripoti ya CAG ilibainisha ubadhirifu Mkubwa alipokuwa TANESCO Mamlaka zifanye kazi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahalalisha Rushwa bhebhe Ngoosha...Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
sio kila anayeiba anaonekana. wahalifu huwa wana tabia ya kujificha watendapo uhalifu wao.Kwa hiyo wakati anapiga deals hamkujua..mambo mengine ni km majadiliano ya wapumbavu kutaka kupumbaza wengine.
Ccm mmeamua kutafunana Sasa.Mheshimiwa Rais najua kuna watu wanne wamekushauri kuhusu kuchunguza watu kadhaa, Naomba ukumbuke nilidokeza kwenye platform Fulani kwamba hela Ziko Dubai Mauritius na Seychelles !
Huyu balozi wa Tanzania nchini comoro achunguzwe Mara moja
Ndo mshika account fichwa zilizobaki za Makamba na genge lake
View attachment 3051622
Britanicca
Kwel unazeeka vibaya mzee wetu. Kila siku unazid kupuyanga.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Wewe unampa kazi mtu halafu hutaki kufuatilia matendo yake, umechagua malaika? Utakuwa mjinga km unadhani ni sawa kumfatilia baada ya kuiba na kuacha kazi..sio kila anayeiba ansonekana. wahalifu huwa wana tabia ya kujificha watendapo uhalifu wao.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Acha mawazo ya kijima. Kurudisha fedha za umma kunaleta karma kwa namna gani. Au hujui matumizi ya hilo neno. Bora usipewe hata uongozi wa kwaya utakuwa mwiziMkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Yani Anko Mayalla kila siku zinavyozidi kwenda unatoa maboko we mbabu kwlei yani,Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Kwa nini JM aachwe tu bila kuchunguzwa?Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
naona karma kwako iko tofauti sana, kipindi cha nyuma ulikuwa miongoni mwa watu wenye thamani kubwa sana hapa jukwaani ila sasa ile kauli kila mtu ana bei yake kwako naona inafit kabisa.Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Uchapwe makofi ya usoni kama huwezi ona mfanano wao. Wamefanana kabisaYule ni baba mlezi tu.
Dogo acha mbwembwe! unajua makamba ndo alitusanua juu ya mkataba wa hovyo wa dp word na mikataba mingine 30 ya kuuza nchi uarabuni??Ndio inapaswa tuanzie hapa sasa, ikiwezekana account zote wazipige pin na yeye aburuzwe mahakamani kuzitolea maelezo na kama hazina maelezo zirudi hapa zijenge vituo vya Afya na Shule.
Kama Kuna wengine ifanyike hivyo pia, ili wangine wajifunze nini maana ya utumishi wa umma.
Tunga wimbo uimbe wakusikie..bado hawajasikia!TISS fuatilieni! Britanicca hajawahi kukosea
Ama hakika wakati si wa milele, kweli Pasco ndio wakiandika hivi aisee!Mkuu @britannica, baada ya Maza kumtumbua JM, itoshe, kama kuna ma deals alipiga, then hizo ni fedha zake halali, kwasababu viongozi wengi tuu wanapiga deals, kitendo cha kutaka kumuingilia fedha zake ili a suffer, kutamsababishia Maza a bad karma.
Tusimshauri ushauri ambao mwisho wa siku utamgharimu.
Leave JM alone
P
Huo mfanano unaoona inategemea unaangalia kutoka angle gani wakati mwingine ni hisia tu zinakupa hitimisho kuwa kuna mfanano. Yote kwa yote Mama January ndiye anaujua ukweli wote.Uchapwe makofi ya usoni kama huwezi ona mfanano wao. Wamefanana kabisaView attachment 3051705
Dogo acha mbwembwe! unajua makamba ndo alitusanua juu ya mkataba wa hovyo wa dp word na mikataba mingine 30 ya kuuza nchi uarabuni??